Tatizo la viongozi wetu ni kutaka kucoment katika kila kitu anachoulizwa hata kama hana data, na hii inadhibitisha kuwa ndani ya serikali ya JK na CCM hakuna msimamo mmoja kuhusiana na maswala mbalimbali yanayo affect jamii yetu, kila mtu anaongea kulingana na anavyoona inafaa.
Inawezekana hili swala halikuwahi hata kuongelewa kwenye kikao cha baraza la mawaziri, ndo maana hakuna msimamo mmoja. Hii ni sawa na swala la Mh. Shemhuna (samahani kama nimekosea) kuropoka kuwa hakutakuwa na serikali ya mseto halafu kesho yake katibu mwenezi wa CCM anakanusha kuwa yule ameongea kwa niaba yake, mbona hakutaja kuwa yale yalikuwa maoni yake na si ya CCM, Mbona Mkullo na yeye ametumia statement za kuonyesha kuwa anawakilisha serikali.
Mh. Mkullo umejidhalilisha sana hata kabla ya Ikulu kubrand maneno yale kama mawazo yako, wewe ni nani mpaka umtafute Balali, au kuwa waziri wa fedha unakuwa polisi pia, usifanye watu wakaanza kutilia mashaka CV yako kwa maneno madogo ambayo ungeweza kusema no comment.
Inawezekana hili swala halikuwahi hata kuongelewa kwenye kikao cha baraza la mawaziri, ndo maana hakuna msimamo mmoja. Hii ni sawa na swala la Mh. Shemhuna (samahani kama nimekosea) kuropoka kuwa hakutakuwa na serikali ya mseto halafu kesho yake katibu mwenezi wa CCM anakanusha kuwa yule ameongea kwa niaba yake, mbona hakutaja kuwa yale yalikuwa maoni yake na si ya CCM, Mbona Mkullo na yeye ametumia statement za kuonyesha kuwa anawakilisha serikali.
Mh. Mkullo umejidhalilisha sana hata kabla ya Ikulu kubrand maneno yale kama mawazo yako, wewe ni nani mpaka umtafute Balali, au kuwa waziri wa fedha unakuwa polisi pia, usifanye watu wakaanza kutilia mashaka CV yako kwa maneno madogo ambayo ungeweza kusema no comment.