Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Nimejenga hoja kuwa kama kweli wanataka kukomesha mtandao wa wahalifu katika ngazi mbalimbali za serikali na utumishi wa umma, hususan kuanzia na BoT, wampe kinga aliyekuwa Gavana wa Benki hiyo Bw. Daud Balali.
Ni hoja ndefu, unaweza kuisoma kwenye Tanzania Daima. Je, serikali watakuwa tayari kumpa kinga Balali?
Ni hoja ndefu, unaweza kuisoma kwenye Tanzania Daima. Je, serikali watakuwa tayari kumpa kinga Balali?