johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Bakwata imempongeza Rais Samia kwa kusikiliza kilio cha wananchi kufuatia bunge kupitisha tozo ya miamala ya simu ambazo zinaumiza wananchi maskini.
Bakwata imemuomba Rais Samia azifutilie mbali tozo hizo.
Hayo yamesemwa katika Baraza la Eid lililofanyika katika msikiti wa kwa Mtoro mgeni rasmi akiwa waziri mkuu mh Majaliwa
Chanzo: ITV habari
Bakwata imemuomba Rais Samia azifutilie mbali tozo hizo.
Hayo yamesemwa katika Baraza la Eid lililofanyika katika msikiti wa kwa Mtoro mgeni rasmi akiwa waziri mkuu mh Majaliwa
Chanzo: ITV habari