Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo.kiboko yake Mange Kimambi tuWamfukuze huyo Shehe wa Dar mpenda viboga
CcMufti
shehe wa Dar atakuwa kuni za moto wa jehanum!
Namjuaaa sana tuAisee kumbe unamfahamu
Nimekula Sana futari yake hapo shaurimoyo
Mods wataifuta hahahaMkuu nimecheka sana hii ifungulie uzi....
Uko sahihi kabisa, huwezi kukataza jumuiya za chama kushiriki kampeni.Hakuna ubaya Bakwata kuipigia kampeni CCM!
Kwani huyu Alhad ni mwislamu?Umenikumbusha jinsi Mange alivyoanika uchafu wake hadharani akawa mdogo kama sisimizi
Katibu wa Bakwata anafuga nguruwe, na mke wake ni mkristo mkatoliki na ni kiongozi wa Wawata huko parokiani.Kama hawajamfukuza usheikh huyo jamaa sisi hatuwaelewi
Kwani huyu Alhad ni mwislamu?
Katibu wa Bakwata anafuga nguruwe, na mke wake ni mkristo mkatoliki na ni kiongozi wa Wawata huko parokiani.
Kitambo sana huyu sheikh,Chizenga bado yuko BAKWATA tu
Ova
Sio kwamba ngurue anafuga mke wake?Katibu wa Bakwata anafuga nguruwe, na mke wake ni mkristo mkatoliki na ni kiongozi wa Wawata huko parokiani.
Shekhe Kaona isiwe tabu,Kaona ata hao mabikra 72 sio kitu mbele ya Yesu 😁!! Mungu wa Isaka na Yakobo amrehemu Shekhee wetu,amjalie uzima wa milele🙏🙏Yesu ni Mungu sheikh kaona isiwe taabu ataihadaa nafsi yake hadi lini? Alhadi kawa mkweli maana anajua siku ya mwisho ya hukumu ya Mungu kwa wanadamu nani atakuwa kashikilia rungu. Asije akamuambia ondoka hapa sikujui wewe. Afate tu ule utaratibu akamilishe mambo.