Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,426
- 7,737
Leo Oktoba 15, Baraza Kuu la Ulamaa BAKWATA Taifa limeketi kikao cha dharura na limetoa nasaha na maelekezo matano. Sehemu kubwa ya tamko hilo ni juu ya mienendo ya viongozi wake hasa kipindi hiki cha kampeni.
Miongoni ni kukemea Dua zinazofanywa kinyume na mafundisho ya dini ya Kiislam na kutaka kauli na Dua itakayofanywa na kiongozi yeyote wa Baraza kinyume na mafundisho kamwe isihusishwe na Baraza.
Pia limewataka viongozi wake kutofanya kampeni kwa chama chochote cha siasa. Mwisho limesema linafatilia mienendo ya viongozi wake na watachukua hatua za kinidhamu watakaokwenda kinyume.
Wiki hii Sheikh wa mkoa wa Dar es Saalam alifanya kampeni kwenye moja ya mkutano wa wagombea Urais na kuomba Dua ambayo inasemwa kuwa kinyume na mafundisho ya Dini ya Kiislam.
PIA, SOMA:
Miongoni ni kukemea Dua zinazofanywa kinyume na mafundisho ya dini ya Kiislam na kutaka kauli na Dua itakayofanywa na kiongozi yeyote wa Baraza kinyume na mafundisho kamwe isihusishwe na Baraza.
Pia limewataka viongozi wake kutofanya kampeni kwa chama chochote cha siasa. Mwisho limesema linafatilia mienendo ya viongozi wake na watachukua hatua za kinidhamu watakaokwenda kinyume.
Wiki hii Sheikh wa mkoa wa Dar es Saalam alifanya kampeni kwenye moja ya mkutano wa wagombea Urais na kuomba Dua ambayo inasemwa kuwa kinyume na mafundisho ya Dini ya Kiislam.
PIA, SOMA: