Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 4,655
- 4,157
Oh yeees, hata vigagu wamepitiwa na KIMBUNGA!Hatimae Wazee wa Gambosh wamkubali Tundu Lissu
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
Oh yeees, hata vigagu wamepitiwa na KIMBUNGA!Hatimae Wazee wa Gambosh wamkubali Tundu Lissu
Shehe wa Dar ameunajizi uislam kwa kuendesha dua kwa jina la kristu ilihali waislam wanampinga kristu
Nakumbuka ustaz Hassan ilunga Allah amrehemu alisema adui namba moja kwa waislamu ni Bakwata.
Ukweli haupingiki. Adui wa waislamu ni bakwataAdui namba moja wa Wanyama mwituni ni Silaha au anaetumia Silaha?
Sasa unafikiri kwamba hao Bakwata wanaweza kumshawishi mtu asiyetaka kuichagua CCM akabadilika akaamua kuichagua. Hawana uwezo wa kuwashawishi watuHakuna ubaya Bakwata kuipigia kampeni CCM!
Sana,Baraza Kuu la Waislam WanafikI Tanzania (BAKWWATA)
Aaisee hivi Ilunga nini hasa kilimuua? Dah jamaa alikua mchochezi haswaa. Yaani akielezea historia ya uhuru wa Tanganyika unaweza chukua mafuta na kiberiti ukachome kanisa.Nakumbuka ustaz Hassan ilunga Allah amrehemu alisema adui namba moja kwa waislamu ni Bakwata.
Wamfukuze huyo Shehe wa Dar mpenda viboga
CcMufti
Kwenye ile video clip amekiri kwa Kinywa chake kuwa Yesu ana mamlaka ya kufanya litokee jambo ama lisitokee.
UbwabwaSheikh Ubwabwa wa DSM atawafukuza nyie akina Chizenga
No mpenda ubwabwaWamfukuze huyo Shehe wa Dar mpenda viboga
CcMufti
Kisukari.Aaisee hivi Ilunga nini hasa kilimuua? Dah jamaa alikua mchochezi haswaa.... Yaani akielezea historia ya uhuru wa Tanganyika unaweza chukua mafuta na kiberiti ukachome kanisa
Mkuu nimecheka sana hii ifungulie uzi.Hatimae Wazee wa Gambosh wamkubali Tundu Lissu
Ukweli mtupu ila tatizo mifumo hii nchi ni ya kihuni sana na nyiye wazee umekaa kimya na kibaya sana ni hawa viongozi wadini yani wajinga sana ningekuwa na uwezo ningefuta hizi dini maana sasa faida au michango yake kwenye jamii kama wanakaribisha viongozi waovu na mpaka dua njema wanawaombe sijiunga huu