Paulo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 350
- 66
amani iwe kwenu great thinkers! Kwakweli huu upotoshaji ambao umekua ukifanywa na ccm kupitia majukwaa na vyombo vya habari na baaadae bakwata kuhusu suala na kukamatwa dc kimario inabidi tusiufumbiw macho bali tuupinge kwa nguvu zetu zote.
Kamaambavyo wengi wetu tulivyoshuhudia kweye picha jinsi dc alivyokamatwa ni kwamba kile kitambaa kidogo (ushungi) alichokua amejitanda usoni ndicho kilichomvuka na sii hijabu ambalo hutanda mwili mzima kama gauni.
Kile kitambaa kilimficha uso ili asitabulike baada ya kufanya ouvu wa kupiga kampeni za ndani hivyo ikabidi kile kitambaa kisogezwe ili uso uonekane na apigwe picha.
Hivyo ningependa kwa niaba ya wote wanaotakia mema na amani ya nchi hii kupinga upotoshaji wa dhahiri uliofanywa na baraza la maulamaa kusema eti kimario alivuliwa hijab badala ya ushungi. Wakiwa kama viongozi wa dini wafahamu kua kunena uongo ni dhambi na hata kurubuniwa na ccm ili kupenyeza uchochezi huu ni dhambi pia.
Mungu ibariki tanzania. Mungu ilinde chadema dhidi ya uongo huu unaoenezwa na taasisi ya kidini.
Kamaambavyo wengi wetu tulivyoshuhudia kweye picha jinsi dc alivyokamatwa ni kwamba kile kitambaa kidogo (ushungi) alichokua amejitanda usoni ndicho kilichomvuka na sii hijabu ambalo hutanda mwili mzima kama gauni.
Kile kitambaa kilimficha uso ili asitabulike baada ya kufanya ouvu wa kupiga kampeni za ndani hivyo ikabidi kile kitambaa kisogezwe ili uso uonekane na apigwe picha.
Hivyo ningependa kwa niaba ya wote wanaotakia mema na amani ya nchi hii kupinga upotoshaji wa dhahiri uliofanywa na baraza la maulamaa kusema eti kimario alivuliwa hijab badala ya ushungi. Wakiwa kama viongozi wa dini wafahamu kua kunena uongo ni dhambi na hata kurubuniwa na ccm ili kupenyeza uchochezi huu ni dhambi pia.
Mungu ibariki tanzania. Mungu ilinde chadema dhidi ya uongo huu unaoenezwa na taasisi ya kidini.