Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,385
Usichokijua ni kwamba BAKWATA ni tawi la CCM la kuwatawala waislam na kuwanajisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nyiynyi mpaka mnataka kila mtu amjue huyo mwanaeagle wing?Ninajua Sheikh wa Mkoa was Dar es Salaam alizoea kualikwa katika hafla mbalimbali za kitaifa na pengine alikuwa anafaidika kinamna fulani, sasa anaelekea kuvuka mipaka.
Mamlaka yake yanaishia Dar es Salaam lakini inaonekana uamuzi was kuhamia Dodoma ulimuumiza sana sasa kaamua kuvamia hafla za Viongozi /Serikali hapa Dodoma. Ina maana Dodoma hakuna Sheikh wa mkoa? Kwa nini huyu was Dar es salaam aje Dodoma?
Hizi ni chokochoko, tunaomba BAKWATA Dodoma wakatae, kama ni posho wote tunazitaka, was DSM mlizila sana kipindi serikali iko DSM, sasa ni zamu yetu
N.B
Alhaji Mussa leo yuko Dodoma katika hafla ya siku ya mazingira Duniani
Siku hizi hakuna Sheikh Mkuu wa Tz?Ninajua Sheikh wa Mkoa was Dar es Salaam alizoea kualikwa katika hafla mbalimbali za kitaifa na pengine alikuwa anafaidika kinamna fulani, sasa anaelekea kuvuka mipaka.
Mamlaka yake yanaishia Dar es Salaam lakini inaonekana uamuzi was kuhamia Dodoma ulimuumiza sana sasa kaamua kuvamia hafla za Viongozi /Serikali hapa Dodoma. Ina maana Dodoma hakuna Sheikh wa mkoa? Kwa nini huyu was Dar es salaam aje Dodoma?
Hizi ni chokochoko, tunaomba BAKWATA Dodoma wakatae, kama ni posho wote tunazitaka, was DSM mlizila sana kipindi serikali iko DSM, sasa ni zamu yetu
N.B
Alhaji Mussa leo yuko Dodoma katika hafla ya siku ya mazingira Duniani
waDar alikunywa chanjo ya Corona, wa Dodoma bado.ile ya madagaskaNinajua Sheikh wa Mkoa was Dar es Salaam alizoea kualikwa katika hafla mbalimbali za kitaifa na pengine alikuwa anafaidika kinamna fulani, sasa anaelekea kuvuka mipaka.
Mamlaka yake yanaishia Dar es Salaam lakini inaonekana uamuzi was kuhamia Dodoma ulimuumiza sana sasa kaamua kuvamia hafla za Viongozi /Serikali hapa Dodoma. Ina maana Dodoma hakuna Sheikh wa mkoa? Kwa nini huyu was Dar es salaam aje Dodoma?
Hizi ni chokochoko, tunaomba BAKWATA Dodoma wakatae, kama ni posho wote tunazitaka, was DSM mlizila sana kipindi serikali iko DSM, sasa ni zamu yetu
N.B
Alhaji Mussa leo yuko Dodoma katika hafla ya siku ya mazingira Duniani