chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,996
- 20,647
Ninajua Sheikh wa Mkoa was Dar es Salaam alizoea kualikwa katika hafla mbalimbali za kitaifa na pengine alikuwa anafaidika kinamna fulani, sasa anaelekea kuvuka mipaka.
Mamlaka yake yanaishia Dar es Salaam lakini inaonekana uamuzi was kuhamia Dodoma ulimuumiza sana sasa kaamua kuvamia hafla za Viongozi /Serikali hapa Dodoma. Ina maana Dodoma hakuna Sheikh wa mkoa? Kwa nini huyu was Dar es salaam aje Dodoma?
Hizi ni chokochoko, tunaomba BAKWATA Dodoma wakatae, kama ni posho wote tunazitaka, was DSM mlizila sana kipindi serikali iko DSM, sasa ni zamu yetu
N.B
Alhaji Mussa leo yuko Dodoma katika hafla ya siku ya mazingira Duniani
Mamlaka yake yanaishia Dar es Salaam lakini inaonekana uamuzi was kuhamia Dodoma ulimuumiza sana sasa kaamua kuvamia hafla za Viongozi /Serikali hapa Dodoma. Ina maana Dodoma hakuna Sheikh wa mkoa? Kwa nini huyu was Dar es salaam aje Dodoma?
Hizi ni chokochoko, tunaomba BAKWATA Dodoma wakatae, kama ni posho wote tunazitaka, was DSM mlizila sana kipindi serikali iko DSM, sasa ni zamu yetu
N.B
Alhaji Mussa leo yuko Dodoma katika hafla ya siku ya mazingira Duniani