Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 2,699
- 3,088
Umefika wakati sasa kama utawekwa utaratibu mzuri na uwazi waislam wa Tanzania wanaweza wakaanza kutoa zaka za Mali zao wanazomiliki kila mwaka.
Inawezekana kabisa waislam wanatamani sana kutoa zaka za Mali zao kama dini yetu inavyotaka lakini je ! Utaipeleka wapi na itatumika vipi?
Kama utawekwa utaratibu mzuri wa kukusanya hizi pesa zingeweza kusaidia sana kutatua changamoto za kijamii na kiuchumi miongoni mwa waislam kama vile
BAKWATA mnatakiwa akili zenu ziwe zinachaji na kuweka ubunifu jinsi ya kuiongoza jamii ya kiislam kisasa bila ya kutoka katika misingi ya dini
Nilisikitika sana kipindi kile mfalume wa morroco anawauliza BAKWATA mnataka nikufanyieni nini mkachagua mjengewe msikiti hivi kweli waislam wa Tanzania tuna shida ya misikiti kwanza uzuri wa msikiti muujenge wenyewe waumini kwa michango yenu mtapata fadhira nyingi kutoka kwa Allah na sio nyinyi mkae tu aje mtu akujengeeni alafu nyinyi kazi yenu kuingia tu kufanya ibada
Mlitakiwa mumwambie mfalume wa Morocco atujengee Hospital au chuo cha ufundi ili watoto wa kiislam wapate ujuzi
Inawezekana kabisa waislam wanatamani sana kutoa zaka za Mali zao kama dini yetu inavyotaka lakini je ! Utaipeleka wapi na itatumika vipi?
Kama utawekwa utaratibu mzuri wa kukusanya hizi pesa zingeweza kusaidia sana kutatua changamoto za kijamii na kiuchumi miongoni mwa waislam kama vile
- Huduma za afya
- Elimu
- Na hata waislam kuchukua mikopo isiyo na riba
BAKWATA mnatakiwa akili zenu ziwe zinachaji na kuweka ubunifu jinsi ya kuiongoza jamii ya kiislam kisasa bila ya kutoka katika misingi ya dini
Nilisikitika sana kipindi kile mfalume wa morroco anawauliza BAKWATA mnataka nikufanyieni nini mkachagua mjengewe msikiti hivi kweli waislam wa Tanzania tuna shida ya misikiti kwanza uzuri wa msikiti muujenge wenyewe waumini kwa michango yenu mtapata fadhira nyingi kutoka kwa Allah na sio nyinyi mkae tu aje mtu akujengeeni alafu nyinyi kazi yenu kuingia tu kufanya ibada
Mlitakiwa mumwambie mfalume wa Morocco atujengee Hospital au chuo cha ufundi ili watoto wa kiislam wapate ujuzi