EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
wanajamvi ni wazi kwa waliotizama ufunguzi wa kampeni arumeru mjionea wazi jinsi watu walivyohamasishwa na wakahamasika kutoa kitu chochote kama sadaka kuichangia cdm.
Hii inaonesha wazi ni jinsi gani wananchi walivyo na imani na chadema kwani wao ndio wametoa pesa kuimarisha chama, tofauti na ccm ambao wao hutoa pesa ili wachaguliwe.
Je ccm mmepata funzo gani hapa !
Nyie mnatoa pesa kwa wananchi wao wanazipeleka chadema.
Nikiwa bado pale pale Arumeru cdm imejinadi kuwasaidia wananchi ktk kujikwamua kwenye umasikini na ni moja kati ya sera zao ktk mikutano yao nchi nzima.
Kama mmetambua wananchi hao ni masikini je ni fair kuwaomba watoe sadaka japo si lazima !
Na idadi yao kubwa ndio hao waishio chini ya $ 1 !
Nawasilisha.
Hii inaonesha wazi ni jinsi gani wananchi walivyo na imani na chadema kwani wao ndio wametoa pesa kuimarisha chama, tofauti na ccm ambao wao hutoa pesa ili wachaguliwe.
Je ccm mmepata funzo gani hapa !
Nyie mnatoa pesa kwa wananchi wao wanazipeleka chadema.
Nikiwa bado pale pale Arumeru cdm imejinadi kuwasaidia wananchi ktk kujikwamua kwenye umasikini na ni moja kati ya sera zao ktk mikutano yao nchi nzima.
Kama mmetambua wananchi hao ni masikini je ni fair kuwaomba watoe sadaka japo si lazima !
Na idadi yao kubwa ndio hao waishio chini ya $ 1 !
Nawasilisha.