X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Wamisri si Waafrika (alama ya mshangao) Kuwa mweusi ni Uafrika(alama nyingine ya mshangao)... Dakika chache za kufikiri Kidogo... nahisi kama akili imedata...!Amani iwe juu yako ndugu Kituko,
Elimu na utumiaji wa akili ni vitu 2 muhimu sana, ndugu Kituko, wasudani sio waarabu lakini wanaongea tu lugha ya kiarabu hata Raisi Omar Bashiri sio mwarabu yeye asili yake ni mwafrika anaye ongea kiarabu, sisi waafrika tunachonganishwa sisi kwa sisi bila ya kujitambua tunawauza ndugu zetu wazima wazima!! Wapo maadui zetu wanaotaka sisi waafrika tuwe nyuma daima bila maendeleo yeyote. kama hauniamini kuwa wasudani ni waafrika kama sisi walenganishe na wamisri utaona tofauti ya rangi zao (wamisri weupe lakini wasudani weusi), wasudani wanaongea kiarabu lakini sio waarabu ni waafrika kama sisi.
Asante.
Baadae kidogo nagundua kuwa kumbe hii ni jamii forum... The Home Of Great sinkers... I mean Thinkers sorry.