Android 00
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 774
- 221
Sisi wananchi wa Mbagala,Mbande tunaenda kumwambia Bakhresa atuletee usafiri wa uhakika mbadala wa treni za umeme.
Akuwekee picha ya wapi? Mbagala, mbande au ya Bakhresa
badilisha title kwanza,,awajengee tren au reli?
akijenga reli,umeme wenyewe uko wapiwa uhakika?kuna tren za diessel za kasi pia
sio lazima za kutumia ule umeme wa tanesco .
Huyu bwana ana hela kuijenga ni kazi rahisi kwake
atapewa support na waarabu na wahindi wenzake
Sisi wananchi wa mbagala,mbande tunaemda kumwambia baharesa atuletee usafiri wa uhakika mbadala wa treni za umeme.
Sisi wananchi wa mbagala,mbande tunaemda kumwambia baharesa atuletee usafiri wa uhakika mbadala wa treni za umeme.
Hilo suala la kudai picha limekuwa kama fasheni hapa jf. Mtu akiwa hana cha kuchangia basi atadai awekewe picha hata kama uzi wenyewe hauendani na picha. Hii ndiyo JF bana!
kumbe bakhresa ndio anaokusanya kodi sasa hivi.
kodi akusanye mwingine. reli ajenge mwingine mbona majanga
Hilo suala la kudai picha limekuwa kama fasheni hapa jf. Mtu akiwa hana cha kuchangia basi atadai awekewe picha hata kama uzi wenyewe hauendani na picha. Hii ndiyo JF bana!
Kuna mtu aliuliza hivi kwanini watu wa siku hizi hawasomi thread kabla ya kujibu! Kuna jamaa kaja anasema PICHA TAFWAZALI. Sasa sijui mtu kama huyu anadai picha ya nini.