Bakhresa atesa Msumbiji na Malawi

.
Lakini fact lazima iwe na ushahidi wa kuback up hiyo fact au unasemaje? Sasa umeshindwa hipi kulitaja jina la huyo mheshimiwa ambaye aliamua hao wafanyabiashara wasamehewe hizo kodi?

Nafahamu wewe siyo mfanyakazi wa TRA lakini uliposema kuwa ni fact inamaana kuwa unazo data za kutosha kuback up maneno yako au vipi?Kuhusu Manji sidhani kama iapofika suala la kodi ni responsibility yake kuwajibu magazeti. Yeye kama mfanyabiashara mlipa kodi responsibility yake iko kwa TRA.je waweaa kunijibu:

Je hao TRA wanamdai kiasi gani?
Je agreement ya kulipa kodi zake kwa TRA zinasemaje?
Je aligoma kulipa Kodi?
Kiasi gani?
Je TRA wameshamshitaki?
Kuhusu magodowan yake ni kweli anaweza akawa aliyauza lakini kwa hasara je hapo serikali inasemaje? hivi mfano kama TRA walikadiria kila Godown atakuwa kaliuza kwa shilingi 100/ lakini akayauza kwa shili 20/ je bado kuna uhalali gani wa kumdau kodi ya shilingi 5,000/?

Mfanya biashara yoyote yule anayo haki ya despute bill anayoletewa kama anao ushahidi wa kuonyesha kuwa bill siyo halali sasa sioni tatizo la Manji kupinga kulipa hiyo bill ya 1.3 billion. Ndio maana nikasema kuwa kama hakuna TRANSPARENCY toka kwa TRA wenyewe tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu matokeo yake tunajadiliana bila ya kuwa na data za kuback up arguments zetu
Je unaweza kutuletea TRA tax rates au codes ili walau tuwe na pakuanzia?


Credibility ya media yetu naweza kukuhakikishia ni nothing but ZERO! Je unajua kama JAMBO FORUMS ina more credibility kuliko media ya Tanzania? mambo mangapi umeyasoma humu ambayo magazeti yameshindwa kuyaandika? Je unajua magazeti mangapi yameshitakiwa kwa kuandika uzushi bila kuwa na ushahidi wa kutosha? kama nilivyokuambia when it comes to tax matters MANJI is answerable to TRA and not THIS DAY, UHURU and RAHA LEO to name a few


Waulize Watanzania kama wangeyajua ya Mkapa kufanya biashara akiwa Ikulu kama sio magazeti, waulize Watanzania kama wangejua kashfa nzito dhidi ya Richmond, BOT, Buzwagi na mengineyo mengi kama siyo magazeti ya Tanzania. Sasa itakuwaje magazeti yaliyoandika kashfa mbali mbali dhidi ya viongozi wa juu ndani ya sirikali na hadi hii leo hakuna yeyote katika uongozi huo aliyethubutu kukanusha habario hizo. Kama wewe unaona credibility ya Magazeti ni ZERO hayo ni maoni yako, lakini kwa Watanzania wengi wasingejua uchafu mwingi uliofanywa na unaoendelea kufanywa na viongozi wa juu wa CCM na sirikali kama sio magazeti.

Hayo maswali yako mengi yanajirudia rudua na sina muda wa kujibu maswali yanayorudiwarudiwa.
 
Waulize Watanzania kama wangeyajua ya Mkapa kufanya biashara akiwa Ikulu kama sio magazeti, waulize Watanzania kama wangejua kashfa nzito dhidi ya Richmond, BOT, Buzwagi na mengineyo mengi kama siyo magazeti ya Tanzania. Sasa itakuwaje magazeti yaliyoandika kashfa mbali mbali dhidi ya viongozi wa juu ndani ya sirikali na hadi hii leo hakuna yeyote katika uongozi huo aliyethubutu kukanusha habario hizo. Kama wewe unaona credibility ya Magazeti ni ZERO hayo ni maoni yako, lakini kwa Watanzania wengi wasingejua uchafu mwingi uliofanywa na unaoendelea kufanywa na viongozi wa juu wa CCM na sirikali kama sio magazeti.

Hayo maswali yako mengi yanajirudia rudua na sina muda wa kujibu maswali yanayorudiwarudiwa.

sawa basi naomba data za TRA kuback up argument hizo za MANJI v/s TRA
 
sawa basi naomba data za TRA kuback up argument hizo za MANJI v/s TRA

Ushahidi nitakaokupa mimi ndio huo huo wa magazeti yenye ZERO CREDIBILITY


Quality Group loses appeal against TRA-imposed tax




THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

QUALITY Group Limited has lost an appeal against a 1.3bn/- tax arrears bill charged by the Tanzania Revenue Authority (TRA), based on the company’s sale of its Ubungo godowns in Dar es Salaam to the National Social Security Fund (NSSF) for a staggering 47.5bn/-, it has been confirmed.

According to sources within the National Tax Revenue Appeals Board, the company ? which was disputing the TRA’s capital gains assessment figures - will now have to pay the assessed amount in full.

Contacted for comment, board secretary Respicius Mwijage declined to give details of the board’s March 23 ruling, apart from confirming that it was basically in TRA?s favour.

He said a copy of the case proceedings and final ruling would only be available after the Easter holidays.

According to our sources, the board ruled that TRA had jumped the gun in collecting, by dint of a distress warrant, 500m/- from a local bank account belonging to Quality Group, saying ’’it was too early for TRA to collect that money.’’

Following the TRA’s action of taking the 500m/- as an advance payment of sorts on the total 1.3bn/- arrears debt, Quality Group went ahead and lodged its appeal with the National Tax Revenue Appeals Board.

’’Now after this ruling, Quality Group will have to pay the difference, which amounts to 800m/-. All TRA has to do is reconcile the transactions,’’ a government tax expert told THISDAY.

Quality Group, which is owned by prominent local businessman Yusuf Manji, was said to have tried to dodge paying capital gains tax by failing to disclose to TRA the sale of its Ubungo godowns to NSSF.

According to well-placed government sources, even after NSSF made final payment to Quality Group for the Hifadhi EPZ warehouses at Ubungo in the city, the company appeared to intentionally dilly-dally in informing TRA about the sale as required by law.

Regulations required the privately-owned company as seller to inform TRA as quickly as possible about such a transaction for tax purposes.

Quality Group’s tax obligations in the deal are understood to have consisted mainly of capital gains tax, being 10 per cent of the selling price minus adjusted costs such as depreciation and other costs.

However, according to our sources, TRA came to learn about the transaction by itself quite a while after the final payment was made to Quality Group by NSSF.

’’That was when TRA officials started following up the matter to try and establish if the relevant taxes were paid. It was later revealed that Quality Group had not informed TRA of the sale as required by law, and had thus dodged to pay taxes,’’ said a government official familiar with the transaction.

The sources said the Quality Group CEO, Manji, refused to disclose details of the transaction even after officials from TRA’s domestic revenue department contacted him directly about the deal.

It was only after an independent assessment of the revenue implications tied in with the transaction, that the TRA officials are said to have discovered that the company had dodged taxes amounting to a total of 1.3bn/-.

According to the government official, the initial 10 per cent capital gains tax estimate on the transaction amounted to 4.75bn/-, but the figure was lowered to 1.3bn/- after adjusting for depreciation and other costs.

’’When Manji was initially confronted by TRA officials over payment of the due taxes, he did not cooperate and even refused to pay. He only obliged after being served with a distress warrant sometime last year,’’ explained another source.

The TRA serves a distress warrant to taxpayers who resist to pay their due taxes after the commissioner-general has confirmed the revenue assessment.

If a taxpayer fails to pay within 10 days of being served with the warrant, the TRA has the right to seize any property belonging to the defaulting taxpayer after appointing a broker, so as to recover the money.

In this case, the source said that Manji ’sensed danger’ and eventually complied before the expiry of the ultimatum, submitting his company’s records to TRA and initially paying 500m/- of the 1.3bn/- taxes due.

He is then said to have immediately submitted a formal appeal with the National Tax Revenue Appeals Board, disputing the TRA order for him to pay the assessed amount of taxes.

To appeal, a taxpayer must pay at least one-third of the assessed amount he is rejecting as being excessive.
 
Jeneza lenye mwili wa Hayati Sheikh Abeid Amani Karume ukipelekwa Kisiwandui kwa maziko Aprili 1972.

CFCoXJwW0AA4i16.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom