Bakhresa atesa Msumbiji na Malawi

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,269
54,664
Mozambique: IFC in U.S.$30 Million Loan Proposal to Dar Grain Group

East African Business Week (Kampala)

Daniel Christopher
Dar es Salaam

A member of the World Bank Group, the International Finance Corporation (IFC) is proposing a corporate loan facility of up to $30 million to Bakhresa Grain Milling (Mozambique) Limited aimed at financing Mozambique's Nacala Port Project.

The facility would also support other projects in Malawi and Tanzania at a later stage.


Already, the summary of the proposed investment has been prepared and distributed to the public in advance of the IFC board of directors' consideration of the proposed transaction.

This, according to IFC, aims to enhance transparency of the IFC's activities. The IFC board of directors is expected to meet on November 30th, 2007.

In this investment, the Bakhresa Group is considering building silos for the storage of wheat at the Nacala Port, Mozambique. The silos would be erected at the port of Nacala with BGM Mozambique.

Construction of modern grain bulk handling and a storage facility, refinancing of debt and elected capital expenditures for operating flour mills in Malawi and Tanzania would be part of this multimillion dollar investment program.

According to IFC, the project would ensure significant development impact including jobs maintenance and creation as well as ensuring food security.


It will increase government's revenue, both in Mozambique and Malawi through increased corporate tax and it's also expected to improve the rail's operation between Mozambique and Malawi.

The role of the IFC would be to help improve Bakhresa's corporate governance and achieve high environmental and social standards, including food safety to comply with international standards, labour management and reduce incidence of HIV/AIDS.

IFC believes that such a project is a strong sign of confidence to the market for Mozambique, Malawi and Tanzania.
 
A very good question. There is a possibility that he is paying very little or nothing at all! His foreign income should be liable to taxation too.
 
A very good question. There is a possibility that he is paying very little or nothing at all! His foreign income should be liable to taxation too.

Why? does our tax system allow that?

Badala ya kuandikia mate now lets refer this question to our esteeme TANZANIA REVENUE AUTHORITY website where you will get all the info you need


http://www.tra.go.tz/

Ooops...

hakuna mjadala hapa kwani point of reference kama mnavyoiona hiyo
 
Sina gere kwa mtu yeyote anayepata mali yake wakati huo huo kulipa kodi kama wanavyolipa wafanyakazi wa Tanzania ambao wana kipato kidogo. Sasa kama Bakhresa anaingiza mabilioni kwa nini asikatwe kodi!? au kwa sababu kawashika viongozi wa chama na siri kali mahali pabaya!?
 
malink TZ imekuwa kama fashion, ukiingia ndani kweuupeeee! Sasa wame-paste madocument ambayo sio user friendly ili iweje? Hawawezi ku-summarise for consumption purposes?
 
Nilisema wazi hapo mwanzo hapa hakuna cha kudiscuss kwani hakuna mwenye enough supporting data on our TAX LAWS
 
Nilisema wazi hapo mwanzo hapa hakuna cha kudiscuss kwani hakuna mwenye enough supporting data on our TAX LAWS

GT, tax laws zinaweza kupindishwa wakati wowote ule kwa manufaa ya wachache na sio ya Watanzania. Manji kauza magodown yake kwa bilioni 47 na kutakiwa kulipa bilioni 1.3, lakini hadi hii leo hajalipa kwa visingizio mbali mbali ambavyo havina kichwa wala miguu. Sheria za kodi zingekuwa na nguvu hii 1.3 bilioni ingeshalipwa siku nyingi sana, lakini huyu Manji anajua viongozi wote wa juu wa chama na siri kali wako mifukoni mwake hivyo hakuna wa kumgusa! Ndio Tanzania yetu hiyo GT inaliwa na kubomolewa na wenye meno!
 
GT, tax laws zinaweza kupindishwa wakati wowote ule kwa manufaa ya wachache na sio ya Watanzania. Manji kauza magodown yake kwa bilioni 47 na kutakiwa kulipa bilioni 1.3, lakini hadi hii leo hajalipa kwa visingizio mbali mbali ambavyo havina kichwa wala miguu. Sheria za kodi zingekuwa na nguvu hii 1.3 bilioni ingeshalipwa siku nyingi sana, lakini huyu Manji anajua viongozi wote wa juu wa chama na siri kali wako mifukoni mwake hivyo hakuna wa kumgusa! Ndio Tanzania yetu hiyo GT inaliwa na kubomolewa na wenye meno!


sawa lakini hatuwezi kufanya huu mjadala based on hearsay. Je kwanza kuna transparency katika masuala yetu ya Kodi?

Je kama Bakhresa anatakiwa kulipa kodi za viwanda vyake vilivyopo nje je ni sheria gani inayosema anatakiwa kufanya hivyo? Je kama hajaingiza profit yoyote huko Malawi na kwingineko je kuna sheria gani ya kumlazimisha alipe tuu hiyo kodi?

Lets have some perspective na kujadili haya mabo based on data available otherwise tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu


uhusu Maji nakuomba uje na stats za kuback up hayo maneno yako...hii nakuomba isiwe magazeti au newslips bali credible info
toka kwa hawa hawa TRA kisha tutajua mchele ni upi au pumba ni zipi
 
..sheria za kodi ziko wazi kabisa ila kuna huu upuuzi wa Waziri,commissioner,President blah blah an endless list wana kuwa na kauwezo ka kusamehe au kupunguza kodi katika mazingira fulani...basi hapo wataalam ndio washaliona shimo hilo na wanalitumia effectively kutolipa kodi
 
Huyu Jamaa ktk walipaji kodi wazuri na wasiokuwa na matatizo NCHINI na yeye yumo,Ktk kutoa ajira kwa wazawa amejitahidi,Ktk Kusaidia masikini hilo ndiyo kila wiki kuna watu wamo kwenye pay roll ya misaada wanakwenda kuchota kwake wakiwemo wagonjwa na masikini wasio na uwezo ,KUNA WANAOMBA MSAADA WA KUSOMESHWA AIDHA KULIPIWA KICHELE AU KICHELE NA KARO ,Na kitu kizuri kwake huwa hajitangazi kwamba anafanya hivyo vitu.
 
...hivi tax paid by companies or individuals nafikiri ni public record,haya mwenye nazo tuonyeshe kalipa ngapi mwaka jana mana unyamwezini tunajua mpaka Bush kalipa ngapi mwaka jana...sio kutoa misifa tuu kumbe kanyabwoya ya nguvu
 
Jamani Mambo ya TRA yaacheni yalivyo. Hizo sheria ni kama vile zipo tuu na wala hazifanyiwi kazi. Kero za TRA huwezi kuzijua hadi utakapo kuwa na issu kule ndio utajuta. Nakumbuka nilishawahi kuweka Thread ya kuhusu TRA wanavyonyanyasa wananchi na wanao umia sio wafanya biashara wakubwa kwama Bakheresa bali ni sisi.

Hebu jaribu kutuma kitu nyumbani kama walau TV au Kagari uone kodi yake kwanza watauplift gharama na kisha wanakutandika kodi ya kufa mtu. Unaambiwa inabidi ufahamiane na mtu. Hayo yalishanikumba mimi na naamni yanaweza kuwa kumba.

Kama bakharesa analipa kodi vizuri, anatoa ajira na wafanyakazi wake wanalipa kodi mimi naunga mkono apate suport. Mchango wake kwa uchumi upo. Sijajua kama huwa malighafi kama mahindi na Ngano ananunua kwa wakulima au anaimport. Nadhani kama ananunua nnje basi msaada wake kwa taifa ni mdogo sana lakini kama ananunua ndani ya nnchi multplier effect ni kubwa na anastahili kuungwa mkono.
 


sawa lakini hatuwezi kufanya huu mjadala based on hearsay. Je kwanza kuna transparency katika masuala yetu ya Kodi?

Je kama Bakhresa anatakiwa kulipa kodi za viwanda vyake vilivyopo nje je ni sheria gani inayosema anatakiwa kufanya hivyo? Je kama hajaingiza profit yoyote huko Malawi na kwingineko je kuna sheria gani ya kumlazimisha alipe tuu hiyo kodi?

Lets have some perspective na kujadili haya mabo based on data available otherwise tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu


uhusu Maji nakuomba uje na stats za kuback up hayo maneno yako...hii nakuomba isiwe magazeti au newslips bali credible info
toka kwa hawa hawa TRA kisha tutajua mchele ni upi au pumba ni zipi

Sina kawaida ya kutwanga maji kwenye kinu. Kuna ushahidi wa kutosha unaonyesha wafanyabiashara mbali mbali waliosamehewa kodi kienyeji kwa kuwa mmoja wa waheshimiwa au zaidi kaamua hivyo. Hii ni fact wala sio hearsay.

Mimi sio mfanya kazi wa TRA unategemea nitazipata wapi info za ndani ya Agency hiyo kama sio toka kwenye magazeti ambayo hadi hii leo habari hizo hazijakanushwa na Manji wala TRA, kwamba hadi hii leo bado anapinga kulipa kodi ya 1.3 billioni kufuatia mauzo ya magodown yake kwa 47 billioni.

Kwa mtazamo wangu kama habari hiyo iliyoandikwa katika magazeti mbali mbali ambayo yana credibility kubwa ndani ya Tanzania basi Manji au TRA wangeshakanusha yale yaliyoandikwa, lakini hadi hii leo hatujasikia TRA wala Manji kukanusha. Sasa iweje hearsay wakati wahusika wakuu katika habari hiyo hawajakanusha yale yaliyoandikwa!?
:confused:
 
hatuwezi kuijadili kampuni bilaya kuwa na data za uhakika kutoka kwa watoza kodi.

mwenye uwezo na atumwagie hapa, rekodi za kodi alizolipa bakhresa kisha ndio tuanze kumchambua
 
Cha muhimu nampa hongera Bakheresa Group ku-invest in Mozambique, anatutengenezea mazingira mazuri watanzania wengine...

Mambo ya nani analipa nani halipi kodi... anzisheni thread nyingine ya kuchambua large tax payers,
 
Cha muhimu nampa hongera Bakheresa Group ku-invest in Mozambique, anatutengenezea mazingira mazuri watanzania wengine...

Mambo ya nani analipa nani halipi kodi... anzisheni thread nyingine ya kuchambua large tax payers,

....eti kutengenezewa mazingira mazuri? kazi ipo kweli kweli kwa imani kama hizi
 
Bakhresa ni miongoni wa wafanyabiashara wachache wazawa waliosafi. Tuache majungu kama mtu ana ushahidi au hata tetesi za ukwepaji wa kodi au aina nyingine yeyote ya kashfa aweke hapa si tunasema hapendwi mtu..
 
=Bubu ataka kusema;92511]Sina kawaida ya kutwanga maji kwenye kinu. Kuna ushahidi wa kutosha unaonyesha wafanyabiashara mbali mbali waliosamehewa kodi kienyeji kwa kuwa mmoja wa waheshimiwa au zaidi kaamua hivyo. Hii ni fact wala sio hearsay
.
Lakini fact lazima iwe na ushahidi wa kuback up hiyo fact au unasemaje? Sasa umeshindwa hipi kulitaja jina la huyo mheshimiwa ambaye aliamua hao wafanyabiashara wasamehewe hizo kodi?
Mimi sio mfanya kazi wa TRA unategemea nitazipata wapi info za ndani ya Agency hiyo kama sio toka kwenye magazeti ambayo hadi hii leo habari hizo hazijakanushwa na Manji wala TRA, kwamba hadi hii leo bado anapinga kulipa kodi ya 1.3 billioni kufuatia mauzo ya magodown yake kwa 47 billioni.
Nafahamu wewe siyo mfanyakazi wa TRA lakini uliposema kuwa ni fact inamaana kuwa unazo data za kutosha kuback up maneno yako au vipi?Kuhusu Manji sidhani kama iapofika suala la kodi ni responsibility yake kuwajibu magazeti. Yeye kama mfanyabiashara mlipa kodi responsibility yake iko kwa TRA.je waweaa kunijibu:

Je hao TRA wanamdai kiasi gani?
Je agreement ya kulipa kodi zake kwa TRA zinasemaje?
Je aligoma kulipa Kodi?
Kiasi gani?
Je TRA wameshamshitaki?
Kuhusu magodowan yake ni kweli anaweza akawa aliyauza lakini kwa hasara je hapo serikali inasemaje? hivi mfano kama TRA walikadiria kila Godown atakuwa kaliuza kwa shilingi 100/ lakini akayauza kwa shili 20/ je bado kuna uhalali gani wa kumdau kodi ya shilingi 5,000/?

Mfanya biashara yoyote yule anayo haki ya despute bill anayoletewa kama anao ushahidi wa kuonyesha kuwa bill siyo halali sasa sioni tatizo la Manji kupinga kulipa hiyo bill ya 1.3 billion. Ndio maana nikasema kuwa kama hakuna TRANSPARENCY toka kwa TRA wenyewe tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu matokeo yake tunajadiliana bila ya kuwa na data za kuback up arguments zetu
Je unaweza kutuletea TRA tax rates au codes ili walau tuwe na pakuanzia?

Kwa mtazamo wangu kama habari hiyo iliyoandikwa katika magazeti mbali mbali ambayo yana credibility kubwa ndani ya Tanzania basi Manji au TRA wangeshakanusha yale yaliyoandikwa, lakini hadi hii leo hatujasikia TRA wala Manji kukanusha. Sasa iweje hearsay wakati wahusika wakuu katika habari hiyo hawajakanusha yale yaliyoandikwa!?

Credibility ya media yetu naweza kukuhakikishia ni nothing but ZERO! Je unajua kama JAMBO FORUMS ina more credibility kuliko media ya Tanzania? mambo mangapi umeyasoma humu ambayo magazeti yameshindwa kuyaandika? Je unajua magazeti mangapi yameshitakiwa kwa kuandika uzushi bila kuwa na ushahidi wa kutosha? kama nilivyokuambia when it comes to tax matters MANJI is answerable to TRA and not THIS DAY, UHURU and RAHA LEO to name a few
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom