johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,559
Kiukweli ukiziangalia ofisi za CCM tawi la Masaki halafu ukayapitia makao makuu ya chama kikuu cha upinzani pale Ufipa lazima utajifunza kitu.
Ofisi za CCM masaki zimejengwa na billionea Bakhresa.
Najiuliza tu kuna wakati bilionea Sabodo alitangaza kuwajengea Chadema jengo la makao yao makuu......hivi mpango ule uliishia wapi.
Nafahamu Chadema inaamini kuwa umaskini ni laana..... Lakini makao makuu ya Ufipa hayaakisi hiyo imani.
Maendeleo hayana vyama!
Ofisi za CCM masaki zimejengwa na billionea Bakhresa.
Najiuliza tu kuna wakati bilionea Sabodo alitangaza kuwajengea Chadema jengo la makao yao makuu......hivi mpango ule uliishia wapi.
Nafahamu Chadema inaamini kuwa umaskini ni laana..... Lakini makao makuu ya Ufipa hayaakisi hiyo imani.
Maendeleo hayana vyama!