mwanakwetuu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 407
- 807
kipande, Ko chadema wakijenga ofisi kila sehemu matatz y watz yatakuwa yamekwisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MEKUWEKEA HIZI LINK MBILI HAPO CHINI HEBU JIELIMISHE, ALAFU JIULIZE KAMA HAWA WANA BARAKA AU KAMA DUA ZAO ZITAKUFIKIA KWELIKama kunyang'anya ni rahisi nenda na wewe!
Serikali ilivyojenga shule na Vituo vya Afya kwenye kila Wilaya matatizo ya watz yaliisha? Mbona leo bado mnalalamika watoto wanakaa chini? Kwani nchi nzima watoto wanakaa chini?Ko chadema wakijenga ofisi kila sehemu matatz y watz yatakuwa yamekwisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuongea uongo kwa ajili ya kutaka kujustify hoja yako. Lini makada wa CCM wamelipwa na Serikali?..kweli cdm inapokea 300 million.
..lakini ccm inapokea mara 4 ya wanachopewa cdm.
..kwa hiyo ccm wanapokea 1.2 billion kwa mwezi.
..zaidi MATAJIRI WAKUBWA wanawachangia.
..pia makada wa ccm wanalipwa na serikali kwasababu ccm ni CHAMA DOLA.
..sasa 1.2 billion za ruzuku wanayopewa ccm inatumika vipi? Kwanini isisaidie masikini vijijini?
Kaangalie lumumba, wakati wa TANU lile jengo lilivyokua na sasa lilivyo. Kaangalie Ofisi za Wilaya na mikoa zote zile zimejengwa na nini?