X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,620
- 1,787
Bakhili na mwanawe mdogo walikuwa wakitembea tembea mjini, mara wakapita watu wamebeba jeneza wanakwenda kuzika, wakamsikia mke wa marehemu analia akisema:
Mume wangu ehe ehe ehe!! leo unapelekwa nyumba yenye kiza haina taa, haina chakula, wala haina chochooooote kile...!!!
Yule mtoto wa Mzee bakhili akamuuliza babake:
Atii...!! atiiii...!! Baba kwani huyu maiti anapelekwa kwetu eeh...!?
Mume wangu ehe ehe ehe!! leo unapelekwa nyumba yenye kiza haina taa, haina chakula, wala haina chochooooote kile...!!!
Yule mtoto wa Mzee bakhili akamuuliza babake:
Atii...!! atiiii...!! Baba kwani huyu maiti anapelekwa kwetu eeh...!?