BAJETI: Yaliyojiri, Uwasilishaji wa mapendekezo kuhusu makadirio ya mapato na matumizi 2017/18

mbona swali jepesi kabisa mkuu.
1. mlimpinga vikali EL na hata mkashinikiza ajiuzuru wadhifa wake kama PM na ikawa hivyo, lakini mliumbuka pale mlipompa ridhaa ya kupeperusha bendera yenu!
2. mlipinga vikali safari nyingi za nje kwa viongozi, mmeumbuka pale mnapokuwa wa kwanza kuhoji mbona mkuu hasafiri?
3. kwa kutumia akili ya kawaida tu unatakiwa kufahamu kwamba, mwanasheria wenu amejiumbua mwenyewe kwa kuipinga ripoti ya prof. Mruma, kwa sababu alinukuliwa na mitandao ya kijamii akisema `pongezi kwa kazi nzuri iliyofanywa na tume' au `mpunga 'ulikuwa bado haujaingia? Sasa mleta uzi sina hakika kwamba hivi vitu huvijui.
Sometimes it needs to be intelligent to understand the intelligent person-Mwanafalsa wa mtandaoni.

May be CCM are not intelligent enough to understand the opposition.
 
9bfe0f389b0ec383e932c65e8ed556a8.gif
 
Sometimes it needs to be intelligent to understand the intelligent person-Mwanafalsa wa mtandaoni.

May be CCM are not intelligent enough to understand the opposition.
`May be CCM' its just a` guess' it may be right or wrong! what if yot are wrong?
 
Wewe ndo unawaza hivyo. Mimi ni babu. "Old is Gold" wasema wenzetu na sisi twasema "Kuishi kwingi kuona mengi". Katika maisha yangu nimejifunza kwamba moja ya umaskini wetu ni kuendekeza maisha ya kutanua, ulevi ukiwa ni mojawapo. Kwa kuwa tu maskini, tunaamini (saikolojia inatutuma) kwamba pombe hupunguza au usahaulisha matatizo. Isije kuwa wewe ni mmoja wao kwa kuwa unatetea kodi katika vileo ipunguzwe! Pole sana The Invincible.

Walevi waheshimiwa kwa mchango wao wa kodi kwa serikali.
 
mkuu salary slip, hoja zangu tatu hapo juu ndizo zinathibitisha kwamba you are wrong, unless ukinijibu kwa hoja tutaenda sawa.
 
..............Nyie wataalamu wa bajeti, mimi nauliza, kwanini kodi ya mafuta ya taa imepanda?? Inahusiana nini nahayo magari yenu sijui road licence.... Tueleweshane maana sisi huku vijijini mafuta ya taa ndiyo nishati yetu
 
Punde utaambiwa umetumwa na mafisadi au Chadema. Kwani wewe hujaona wameondoa road licence na kuiweka kwenye mafuta? Ama kweli mwenye macho haambiwi tazama.
Kodi inaondolewa kwa matajiri ( wenye magari ) , wanasukumiziwa masikini !
 
Ok asante nimefurahi ni afazali nilipe kidogo kidogo kwenye Mafuta kuliko kulipa nyingi kwa mkupuo
ndo hicho hata mimi naona alafu kwa sie watu wa kawaida iko chini ila kwa wafanya biashara kazi wanayo wa ma lorry na ma buss ambao wanatumia litre 4000 kwa siku
 
Nyinyi mloshiba mnawajua wenye njaa ninyi...
Hapana madini, nina njaa sana tu, lakini najaribu kuwa mkweli na kuangalia vizazi wajao, nina watoto kadhaa na ninategemea wajukuu kadhaa wa kadhaa. lazima niangalie maslahi yao. hii budget ni mwokozi kwao
 
Mbona sijasikia alipozungumzia miamala ya simu, au nilikuwa nimesinzia

Miamala kama zilivyo huduma nyingine ilikwisha kuingia kwenye mfumo wa VAT kwa hiyo hakukuwa na sababu ya kutajwa kwenye budget.
 
Wewe ni mjinga hasa. Unanukuu uzi wote huu alafu huna cha maana ulichoandika,
Mkuu hebu wewe twambie ujanja wako ulionao kuhusu hiyo bajeti kwa sababu ulichokomenti hukutoa mbadala bali umeishia kupaniki na kuandika upuuzi kabisa.
 
Back
Top Bottom