Mbowe ameisasambua na ameomba wabunge wote kuacha tofauti zao na kutoipitisha bajeti hii na hili ndilo linalotokea.
Anaongea sasa Anjela Kairuki nae haungi mkono hoja
wabunge wanataka wote walioshiriki kwenye mkataba wa kuuza UDA wakamatwe mara moja, hii ni pamoja na meya wa jiji, mkurugenzi na bodi yote ya UDA na Takukuru wachunguze uingizwaji wa fedha zilizolipwa na mwekezaji kwenye account ya mtu binafsi. Mbunge wa Mafia (CCM) povu limemtoka ameongea kwa uchungu sana.
Pamoja na hilo usishangae tangazo kusikia kuwa wabunge wa ccm kukutana mchana, then baada ya muda budget inapita.
Si waamini kabisa wabinge wa ccm.
<br />Haya yanayoendelea sasa bungeni ni kutokana na moto wa Chadema kuwaamusha wabunge wa CCM ukweli ndio huo.