Dr.Mo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 3,809
- 1,648
Wabunge wengi wa CCM wanasikitisha....Wanaonekana hawajali....is as if wanasehemu nyingine ya kwenda...is as if Tanzania sio nchi yao ni kama wameitwa kusaidia tu....hawana uchungu...hawachangii hoja kwa umakini na kwa kuumizwa na mambo yanavyokwenda....inahuzunisha sana..!!!