Bajeti ya Upinzani vs Ripoti ya mchanga,IPTL

Majighu2015

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
2,924
3,904
Kesho kambi rasmi ya upinzani bungeni watawasilisha ripoti yao ya bajeti ya mwaka ujao wa fedha. Mara nyingi ripoti ya bajeti ya kambi rasmi ya upinzani inagusa maisha halisi ya mtanzania na inajaribu kuwafumbua macho wananchi kwa kuweka wazi baadhi ya mambo ambayo yapo kwenye bajeti ya serikali yasiyo na impact kwa wananchi.

Sasa ili kupoteza watanzania maboya, kesho Rais anapokea ripoti ya mchanga ambapo watanzania na vyombo vya habari vingi vitahamisha macho na masikio huko na kuacha kusikiliza bajeti ya kambi rasmi ya upinzani ambapo pia naamini na ishu ya IPTL itapata airtime(imeshaanza leo).

Naamini ripoti ya mchanga ni muhimu lakini is it a coincidence ikabidhiwe siku ambayo upinzani wanasoma bajeti yao bungeni?
Hapo nahisi kuna jambo limejificha nyuma ya pazia. Wenye akili najua wamenielewa.
 
Kesho kambi rasmi ya upinzani bungeni watawasilisha ripoti yao ya bajeti ya mwaka ujao wa fedha. Mara nyingi ripoti ya bajeti ya kambi rasmi ya upinzani inagusa maisha halisi ya mtanzania na inajaribu kuwafumbua macho wananchi kwa kuweka wazi baadhi ya mambo ambayo yapo kwenye bajeti ya serikali yasiyo na impact kwa wananchi.
Sasa ili kupoteza watanzania maboya,kesho Rais anapokea ripoti ya mchanga ambapo watanzania na vyombo vya habari vingi vitahamisha macho na masikio huko na kuacha kusikiliza bajeti ya kambi rasmi ya upinzani ambapo pia naamini na ishu ya IPTL itapata airtime(imeshaanza leo).
Naamini ripoti ya mchanga ni muhimu lakini is it a coincidence ikabidhiwe siku ambayo upinzani wanasoma bajeti yao bungeni?
Hapo nahisi kuna jambo limejificha nyuma ya pazia. Wenye akili najua wamenielewa.
Chaukweli huwa kinajichuja Na cha uongo
Na wananchi wenyewe ndio watamuwa wafate lipi mkuu
Wakiona bajeti ya upinzani no muhimu wataipa kipaumbele Na wakiona mchanga wa agu ni utapeli basis watapotezea Na kujadili bajeti ya upinzani
Japo siamini bajeti inaoandalia Na mbowe inaeza kuwa safi
 
Na wengi washapotezwa maana wanaona kafanya sawa wakati angeweza hata kusubiri jumanne ndipo akabidhiwe hiyo ripoti baada ya bajeti kusomwa na kujadiliwa
Kwenye nchi ambazo mainstream media ziko strong hili wangecheza nalo kwa umakini mkubwa. Wangepima uzito wa mambo hayo mawili, kisha keshokutwa magazeti yangefanya yake mchezo ungemalizwa mapema tu!
 
Chaukweli huwa kinajichuja Na cha uongo
Na wananchi wenyewe ndio watamuwa wafate lipi mkuu
Wakiona bajeti ya upinzani no muhimu wataipa kipaumbele Na wakiona mchanga wa agu ni utapeli basis watapotezea Na kujadili bajeti ya upinzani
Japo siamini bajeti inaoandalia Na mbowe inaeza kuwa safi
Mbowe ndiye Waziri kivuli wa Fedha?
 
Sasa Budget ya Upinzani Inasaidia nini? Hizo ni formalities mlishawahi kuona Budget ya Upinzani inafatiliwa na Wananchi kama budget ya Serikali Juzi watu wanasikiliza Na Kuangalia TV kila Sehemu.
Kwanini usipeleke ushauri kwa wanaokutuma wafute utaratibu wa kambi ya upinzani kusoma bajeti mbadala?
 
Kesho kambi rasmi ya upinzani bungeni watawasilisha ripoti yao ya bajeti ya mwaka ujao wa fedha. Mara nyingi ripoti ya bajeti ya kambi rasmi ya upinzani inagusa maisha halisi ya mtanzania na inajaribu kuwafumbua macho wananchi kwa kuweka wazi baadhi ya mambo ambayo yapo kwenye bajeti ya serikali yasiyo na impact kwa wananchi.
Sasa ili kupoteza watanzania maboya,kesho Rais anapokea ripoti ya mchanga ambapo watanzania na vyombo vya habari vingi vitahamisha macho na masikio huko na kuacha kusikiliza bajeti ya kambi rasmi ya upinzani ambapo pia naamini na ishu ya IPTL itapata airtime(imeshaanza leo).
Naamini ripoti ya mchanga ni muhimu lakini is it a coincidence ikabidhiwe siku ambayo upinzani wanasoma bajeti yao bungeni?
Hapo nahisi kuna jambo limejificha nyuma ya pazia. Wenye akili najua wamenielewa.
kipi kinakufanya ushindwe kuhendo mambo mawili ??
tunachelewa na porojo hizi
 
Kwenye nchi ambazo mainstream media ziko strong hili wangecheza nalo kwa umakini mkubwa. Wangepima uzito wa mambo hayo mawili, kisha keshokutwa magazeti yangefanya yake mchezo ungemalizwa mapema tu!
Upo sahihi mkuu waandishi pekee ndo wanaweza kubalance kesho kinyume na hapo ni maumivu tena maana huyu sio mtu mzuri kabisa japo wengi wanaona kama ndio mkombozi
 
Sasa Budget ya Upinzani Inasaidia nini? Hizo ni formalities mlishawahi kuona Budget ya Upinzani inafatiliwa na Wananchi kama budget ya Serikali Juzi watu wanasikiliza Na Kuangalia TV kila Sehemu.

Ni mindeset ambayo sio nzuri ukipata pande mbili zinazokinzana unakuwa na uelewa zaid juu ya jambo
 
Kwani darasani huwa kuna fundishwa somo moja tu? Yote yetu na tutayamudu.Hatuwezi kuishi kwa kufanya tendo moja kwa siku,hazitatutosha.
 
Sasa Budget ya Upinzani Inasaidia nini? Hizo ni formalities mlishawahi kuona Budget ya Upinzani inafatiliwa na Wananchi kama budget ya Serikali Juzi watu wanasikiliza Na Kuangalia TV kila Sehemu.
Kuna wengine hata hawajui kama wapinzani pia huandaa bajeti!
 
Sasa Mbona Mnapiga Kelele za Motor vehicle licence kama mlishiriki Kuandaa

Kwanini Mnasoma Budget nyingine kama mlishiriki Acheni Mambo yenu Tulieni Dawa iwaingie msijitikise mtavunja Sindano.
Na ndo ujiulize kwanini inasomwa bungeni ikiwa haina maana
 
Back
Top Bottom