Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Ni Kukamilisha Utaratibu Kama CHADEMA ingekua na Viti vingi zaidi ya CCM bungeni Budget ya Upinzani ndo huwa INA maana kwa Sababu hata waziri Mkuu anatoka Upinzani. Lakini CCM iliyojaa Na Wabunge wake Kusomwa kwa Budget ya Upinzani Ni kama kukamilisha Utaratibu tuu!Na ndo ujiulize kwanini inasomwa bungeni ikiwa haina maana