Mbona budget nikubwa ivi mara 3 ya uchina?View attachment 1796492
Wew ndo umesema ukweli yaani kimsingi gharama za maisha za USA zipo juu mno mfano gharam ya jutengeneza B-2 mojo ya marekani kwwnye nchi Kama uchina kwa Bora ule ule ni nusu ya kuizalishia pale marekeniUSA anahudumia vituo vyake vingi duniani na ndani ya nchi huku akiwalipa watu wake hela nyingi zaidi.
Pia kumbuka USA ni muungano wa mataifa zaidi ya 49. Pia ni polisi wa dunia russia na china zina weka balance ili kusiwe na uwonevu kutoka kwa USA kwa mataifa mengineMbona budget nikubwa ivi mara 3 ya uchina?View attachment 1796492
Ni lazima iwe kubwa maana ana military bases nyingi katika nchi tofauti duniani, uchumi wa Marekani wenyewe unategemea Jeshi lake.Kinachonishangaz ni io distance ya fedha ni kubwa mno
Mkuu USA Noma ,yaani chukua bajeti ya France, German, China,UK, and Russia, zoote hazifikii ya USA, afu mtu anaropoka pumba kuhusu USAKinachonishangaz ni io distance ya fedha ni kubwa mno
Kweli mkuu hii budget unaweza ku concern nchi kubwi ata 20+ ndo waifikie io budget ya USA.Mkuu USA Noma ,yaani chukua bajeti ya France, German, China,UK, and Russia, zoote hazifikii ya USA, afu mtu anaropoka pumba kuhusu USA
Marekani Ni Noma, aiseeeeeKweli mkuu hii budget unaweza ku concern nchi kubwi ata 20+ ndo waifikie io budget ya USA.
Inashangaza sana..
Budget ya wizara moja tu ya USA nadhani ni budget ya 20yrs au zaidi huku kama sikosei. In short usiangaike kufa anisha budge za nchi super power au tajiri na budgets za Tanzania Kenya au generally EAC utasikitika we soma kupata knowledge tuKinachonishangaz ni io distance ya fedha ni kubwa mno