mawaziri vivuli kazi zao ni pamoja na kutengeneza bajeti mbadala.Ila kwa UKAWA waziri kivuli kazi yake ni kuandika bla bla kuhusu bajeti iliyowakilishwa na serikali.
Kuwa waziri kivuli ni sawa na kuwa waziri kamili ni kama unasema mimi ningekuwa waziri kamili anayetawala bajeti yangu ingekuwa hii hapa.Lakini hawatengenezi.Kazi yao kuangalia tu hapa na pale kwenye bajeti ya serikali kupasemea kisha wanasaini wanachukua posho mbio wanaenda kula nyama choma na kitimoto.
Ingekuwa vzr kama wapinzani wangekuwaga wanatoa budget yao mbadala siku chache kabla ya ile ya serikali ili wasiegemee tu kuangalia na kukosoa kila kitu, hapo ndo ingekuwa vizuri zaidi, lakini sasa wanachokifanya ni kuiangalia budget ya serikali na kuanza kukosoa bila mbadala halisi ambao unaweza kuonekana kuleta tija na uhakika wa maendeleo ya taifa
sema hujasoma ujaelewa umecomment tu
Those events are total west of time on this platform. Opposition should provide alternative budget and proof to us why they different from the government and show to us how CDM would have funded your pledges. Sio quotations Kama tunafanya home workBro Tarime what are the principles of budget?Wamefanya event analysis what are those events?Unatarajia wapinzani watengeneze bajeti?halafu inaonekana na Wewe ni mvivu wa kusoma , haujaona bajeti Yao mbadala Mkuu, Je those events are they relevant ?
What next?
Kwenye suala la kununua ndege na chenji kubaki [ufisadi]kama ilivyoelezwa na baadhi ya wanasiasa, sioni kama ni sawa kwani ununuzi wa ndege unahusisha mambo mengi km mafunzo ya marubani[check out/validation] engineers/technician, technical support during the guarantee period na mambo mengi.Usiangaike kuchangia hapa Jamvini soma kwanza hotuba ya Waziri Kivuli wa Fedha, mbona ina mambo mengi na wametoa sababu na mbadala najua wewe ni mvivu na ndio maana unaleta propaganda, narudia nenda kaisome kwanza
Nimekuja mbio nikijua upinzani umetengeneza bajeti mbadala inayoonyesha mapato shilingi ngapi na yatatoka wapi ,matumizi ya kawaida na maendeleo nk kumbe ni longo longo tu na umbeya.
Nilitarajia kuona bajeti nzima mbadala ya ile ya serikali lakini naona tu porojo tu zimejaa za mpiga filimbi wa hamelini kuanzia mwanzo hadi mwisho.
Mbona hueleweki? Yaani wapinzani waende wakanunue Ndege? Badala ya kukemea halafu ya ufisadi katika mchakato mzima wa ununuzi wa hizo Ndege ambao unaenda kufanyika, kutoka katika serikali ya hapa kazi tu inayojumulisha na ufisadi ndani yake. Naona Yale ya MV Bagamoyo yanaenda kujirudia tena.
Mkuu
Mkuu sasa unataka watuletee ndege zenye mdondo, ndani ya mwaka tuu zife, hv hata wewe mkeo hakimuagizia mtoto wako gari used kwa bei ya gari mpya utanyamaza tuu na kumuacha haiagize?
serikali iliyopo madarakani ni ya ccm ila bajeti kuitwa ya ccm povu linakutokaKwa akili yako unaweza kuona lipi zuri?Bajeti umeambiwa T 22 na si 29 jibu unapiga kelele