Bajeti ya Serikali ya Tanzania ilisomwa July 2021 sasa ni October 2021 Hakuna miradi ambayo imefanyika.

Kwa siku 90 unaweza kujenga hospital ya 2.5 billion ? Na kumaliza
Hiyo miradi yote mi JPM na huyuhyu JPM ndo alimuletea sifa kikwete kwenye ujenzi ndo maana **** watu kama Zitto anakuja kusema Kikwete ndo Kajenga barabara kilometer nyingi huku akisahau mzimamizi wa wizara hiyo alikuwa JPM!
 
Hiyo miradi yote mi JPM na huyuhyu JPM ndo alimuletea sifa kikwete kwenye ujenzi ndo maana **** watu kama Zitto anakuja kusema Kikwete ndo Kajenga barabara kilometer nyingi huku akisahau mzimamizi wa wizara hiyo alikuwa JPM!
Andamana basi, ukamfufue kibwengo
 
Kama una kampuni na umejiunga na mfumo wa manunuzi wa TANEPS, utakua unajua TARURA wametangaza miradi ya barabara zaidi ya 200, TANROADS wametangaza miradi zaidi ya 60, na mingine wakandarasi wamekua awarded contracts.. bado kuna miradi ya maji zaidi ya 150.. Arusha city council wametangaza ujenzi wa shule zaidi ya tatu na wakandarasi tayari wamekua awarded soon kazi zinaanza.. kifupi miradi mingi and the country is going to be busy

Au unataka tender zitangazwe redioni na mitaani kwa PA systems??
Mkuu hayo ni makaratasi watu wanataka waone! Hatuna tatizo na kutangaza siku 90 ni robo mwaka bado unatangaza tender kweli?
 
Andamana basi, ukamfufue kibwengo
Wewe najua unapenda maneno na ushabiki uhalisia hutaki! Mambo mengi yamepooza ndo maana mama akaja na mbinu ya fedha za korona wewe subiri matokeo! Infrastructure haijawahi kuendeshwa kisiasa ikatoa matokeo!
 
Wewe najua unapenda maneno na ushabiki uhalisia hutaki! Mambo mengi yamepooza ndo maana mama akaja na mbinu ya fedha za korona wewe subiri matokeo! Infrastructure haijawahi kuendeshwa kisiasa ikatoa matokeo!
Huna akili. The cult follower
 
Mkuu hayo ni makaratasi watu wanataka waone! Hatuna tatizo na kutangaza siku 90 ni robo mwaka bado unatangaza tender kweli?
Toka nianze kufuatilia bajeti, kwa mwaka huu wa Fedha 2021/2022, Halmashauri, Majiji wamepeleka fedha nyingi sana kwenye miradi ya Maendeleo kuliko mwaka wowote ule,
Kwa mfano, Halamashauri moja naijua iko mkoa wa Pwani imeshapeleka zaidi ya bilioni mbili kwenye utekelezaji wa miradi kwa Robo ya kwanza tu, hizi ni hela za mapato ya ndani, achana na za Tozo au IMF - COVID, kwa hakika mwaka huu wa fedha 2021/2022 Tanzania itaweka historia katika utekelezaji wa miradi ya Elimu, Afya etc
 
Mpango alikuwa bwawa la Nyerere juzi tu kukagua maendeleo ya ujenzi japo kasema mkandarasi ni learner (hana uzoefu). Sasa hilo bwawa si litabomoka?
Guided argument is different from rational argument. I know the volume is low.
 
Mradi mkubwa ushfanyika; iliyobaki mingi ni ya kikwete
MIRADI ILIYOFANYIKA 2015-2020
1. Kununua Wabunge, madiwani Upunzani-bilioni zaidi ya 30 zilitumika.
2. Kuua upinzani#
3. Wasio julikana -Walilipwa fedha nyingi.
4. Kujilimbikizia.
5.Sinema ya Mo- ewji na kuveshwa khanga.
Contradiction: Huwezi kununua wapinzani iwapo "umeshawaua." Wapinzani wanaonunulika siyo wapinzani.
 
An
Mradi mkubwa ushfanyika; iliyobaki mingi ni ya kikwete
MIRADI ILIYOFANYIKA 2015-2020
1. Kununua Wabunge, madiwani Upunzani-bilioni zaidi ya 30 zilitumika.
2. Kuua upinzani#
3. Wasio julikana -Walilipwa fedha nyingi.
4. Kujilimbikizia.
5.Sinema ya Mo- ewji na kuveshwa khanga.
Andika vizuri basi, haraka za nini?
 
Kama una kampuni na umejiunga na mfumo wa manunuzi wa TANEPS, utakua unajua TARURA wametangaza miradi ya barabara zaidi ya 200, TANROADS wametangaza miradi zaidi ya 60, na mingine wakandarasi wamekua awarded contracts.. bado kuna miradi ya maji zaidi ya 150.. Arusha city council wametangaza ujenzi wa shule zaidi ya tatu na wakandarasi tayari wamekua awarded soon kazi zinaanza.. kifupi miradi mingi and the country is going to be busy

Au unataka tender zitangazwe redioni na mitaani kwa PA systems??
Utekelezaji unaweza kuwa mika 6 badala ya miezi au mwaka mmoja tu.
Kutangaza ni.jambo moja na utekerezaji ni jambo jingine.
 
Hiyo miradi yote mi JPM na huyuhyu JPM ndo alimuletea sifa kikwete kwenye ujenzi ndo maana **** watu kama Zitto anakuja kusema Kikwete ndo Kajenga barabara kilometer nyingi huku akisahau mzimamizi wa wizara hiyo alikuwa JPM!
Na nasikia jamaa alikuwa akipanga bajeti yake jaipunguzwi hata senti. Yaani bila yeye hizo KM wanazodai alijenga JK zisingekuwepo
 
Bunge la Bajeti limemalizika July2021, hadi sasa hakuna mradi Hata mmoja umeanza au umefanyika kutoka na Bajeti ya 2021/22. Ukinipa Tarura wako hoi, REA wapo hoi, tanesco wako hoi, halmashauri ziko hoi, Tanroads wako hoi, Kila Anakotembelea Rais Amess Hata kuitaja ilani ya ccm 2020/25 . Serikali haina fedha? SGR kimya , bwawa la Nyerere kimya
Pole Sana ,kwani uzushi unakusaidia nini mkuu? Kesho nakuletea picha za live za miradi ya barabara za lami,madaraja na madarasa.

Sijui mwenzetu uko nchi ipi maana mimi niliko miradi inaendelea kwa kasi sana.
 
Mwenye kufahamu au kuutambua mradi Unaofanyika au Unaofanywa na unaotokana na Bajeti ya serikali ya Tanzania 2021/22 tafadhali ?
Ndio maana nasema wewe na wenzako ni wajinga na wapuuzi wa mwisho,,mimi ninazo km 2.5 za lami mjini napoishi ,ningeona hii mada mchana ningekupigia picha
 
Wewe najua unapenda maneno na ushabiki uhalisia hutaki! Mambo mengi yamepooza ndo maana mama akaja na mbinu ya fedha za korona wewe subiri matokeo! Infrastructure haijawahi kuendeshwa kisiasa ikatoa matokeo!
Yaani nadhani wewe ndio unaota,kwa hiyo mtaani uko peke yako sio? Pole Sana aisee.
 
Kama una kampuni na umejiunga na mfumo wa manunuzi wa TANEPS, utakua unajua TARURA wametangaza miradi ya barabara zaidi ya 200, TANROADS wametangaza miradi zaidi ya 60, na mingine wakandarasi wamekua awarded contracts.. bado kuna miradi ya maji zaidi ya 150.. Arusha city council wametangaza ujenzi wa shule zaidi ya tatu na wakandarasi tayari wamekua awarded soon kazi zinaanza.. kifupi miradi mingi and the country is going to be busy

Au unataka tender zitangazwe redioni na mitaani kwa PA systems??
Shida ya wabongo maneno bila taarifa ndugu yangu
 
Back
Top Bottom