Bajeti ya Serikali ya Tanzania ilisomwa July 2021 sasa ni October 2021 Hakuna miradi ambayo imefanyika.

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,813
21,413
Bunge la Bajeti limemalizika July2021, hadi sasa hakuna mradi Hata mmoja umeanza au umefanyika kutoka na Bajeti ya 2021/22. Ukinipa Tarura wako hoi, REA wapo hoi, tanesco wako hoi, halmashauri ziko hoi, Tanroads wako hoi, Kila Anakotembelea Rais Amess Hata kuitaja ilani ya ccm 2020/25 . Serikali haina fedha? SGR kimya , bwawa la Nyerere kimya
 
Umetumwa uongo hautakufikisha popote

BFCDFF28-65D1-4B38-B122-645BE7E29AAC.jpeg
 
Bunge la Bajeti limemalizika July2021, hadi sasa hakuna mradi Hata mmoja umeanza au umefanyika kutoka na Bajeti ya 2021/22. Ukinipa Tarura wako hoi, REA wapo hoi, tanesco wako hoi, halmashauri ziko hoi, Tanroads wako hoi, Kila Anakotembelea Rais Amess Hata kuitaja ilani ya ccm 2020/25 . Serikali haina fedha? SGR kimya , bwawa la Nyerere kimya
Mradi mkubwa ushfanyika; iliyobaki mingi ni ya kikwete
MIRADI ILIYOFANYIKA 2015-2020
1. Kununua Wabunge, madiwani Upunzani-bilioni zaidi ya 30 zilitumika.
2. Kuua upinzani#
3. Wasio julikana -Walilipwa fedha nyingi.
4. Kujilimbikizia.
5.Sinema ya Mo- ewji na kuveshwa khanga.
 
Kwahiyo sasa hivi Rais anatakaiwa aachame na miradi ya Magu, aanzishe miradi yake mingine ili sisi wazee wa kulalamika kila kukicha tupaye cha kusema kwamba kila Rais anakuja na jipya.

Hii ncji im3jaa mataahira kibao.
 
Kwahiyo sasa hivi Rais anatakaiwa aachame na miradi ya Magu, aanzishe miradi yake mingine ili sisi wazee wa kulalamika kila kukicha tupaye cha kusema kwamba kila Rais anakuja na jipya.

Hii ncji im3jaa mataahira kibao.
 

Attachments

  • IMG_0596.MP4
    2.5 MB
Mradi mkubwa ushfanyika; iliyobaki mingi ni ya kikwete
MIRADI ILIYOFANYIKA 2015-2020
1. Kununua Wabunge, madiwani Upunzani-bilioni zaidi ya 30 zilitumika.
2. Kuua upinzani#
3. Wasio julikana -Walilipwa fedha nyingi.
4. Kujilimbikizia.
5.Sinema ya Mo- ewji na kuveshwa khanga.
Kwa hiyo,wewe umeona umeandika sanaa, ccm si wapendi,lakini 2015 to 2021 miradi ipoipo bwana,Sgr,midege hiyo,Busisi darajani,bwawa la nyerere, barabara njia nane mpaka kibaha si moro kabisa.
Utasema haya mwananchi yana msaidia nini.
Nimesahau Meli ya kwenda Bukoba kutoka mwanza. Mradi mbovu hapo ni hiyo midege tu.
 
Maandishi ni jambo moja, utendaji ni jambio lingine, subira yavuta kheri...
 
Mwenye kufahamu au kuutambua mradi Unaofanyika au Unaofanywa na unaotokana na Bajeti ya serikali ya Tanzania 2021/22 tafadhali ?
 
Bunge la Bajeti limemalizika July2021, hadi sasa hakuna mradi Hata mmoja umeanza au umefanyika kutoka na Bajeti ya 2021/22. Ukinipa Tarura wako hoi, REA wapo hoi, tanesco wako hoi, halmashauri ziko hoi, Tanroads wako hoi, Kila Anakotembelea Rais Amess Hata kuitaja ilani ya ccm 2020/25 . Serikali haina fedha? SGR kimya , bwawa la Nyerere kimya

Kama una kampuni na umejiunga na mfumo wa manunuzi wa TANEPS, utakua unajua TARURA wametangaza miradi ya barabara zaidi ya 200, TANROADS wametangaza miradi zaidi ya 60, na mingine wakandarasi wamekua awarded contracts.. bado kuna miradi ya maji zaidi ya 150.. Arusha city council wametangaza ujenzi wa shule zaidi ya tatu na wakandarasi tayari wamekua awarded soon kazi zinaanza.. kifupi miradi mingi and the country is going to be busy

Au unataka tender zitangazwe redioni na mitaani kwa PA systems??
 
Kama una kampuni na umejiunga na mfumo wa manunuzi wa TANEPS, utakua unajua TARURA wametangaza miradi ya barabara zaidi ya 200, TANROADS wametangaza miradi zaidi ya 60, na mingine wakandarasi wamekua awarded contracts.. bado kuna miradi ya maji zaidi ya 150.. Arusha city council wametangaza ujenzi wa shule zaidi ya tatu na wakandarasi tayari wamekua awarded soon kazi zinaanza.. kifupi miradi mingi and the country is going to be busy

Au unataka tender zitangazwe redioni na mitaani kwa PA systems??
Bajeti iliyosomwa na iliyopitishwa na Bunge July 2021/22 ni Trilioni of money, ulichotaja hapo ni bilioni of money sasa ni more than 90 days tangu kusomwa kwa bajeti ya serikali .
 
Bajeti iliyosomwa na iliyopitishwa na Bunge July 2021/22 ni Trilioni of money, ulichotaja hapo ni bilioni of money sasa ni more than 90 days tangu kusomwa kwa bajeti ya serikali .

Nimekutajia summary tuu ya sector ya ujenzi kwa sababu naifatilia kwa ukaribu.. bado kuna afya, utalii na sector nyingine kibao..

Do some research and then speak.. kwani mama kakata zile buku saba, nini?? Huko Lumumba mmepoteana vibaya mmnoo.
 
Bajeti iliyosomwa na iliyopitishwa na Bunge July 2021/22 ni Trilioni of money, ulichotaja hapo ni bilioni of money sasa ni more than 90 days tangu kusomwa kwa bajeti ya serikali .
Wewe takataka unapenda kubishqna halafu huna akili.
 
Nimekutajia summary tuu ya sector ya ujenzi kwa sababu naifatilia kwa ukaribu.. bado kuna afya, utalii na sector nyingine kibao..

Do some research and then speak.. kwani mama kakata zile buku saba, nini?? Huko Lumumba mmepoteana vibaya mmnoo.

4092C66C-683F-4D8D-852A-EDD699F4383C.jpeg
 
Bunge la Bajeti limemalizika July2021, hadi sasa hakuna mradi Hata mmoja umeanza au umefanyika kutoka na Bajeti ya 2021/22. Ukinipa Tarura wako hoi, REA wapo hoi, tanesco wako hoi, halmashauri ziko hoi, Tanroads wako hoi, Kila Anakotembelea Rais Amess Hata kuitaja ilani ya ccm 2020/25 . Serikali haina fedha? SGR kimya , bwawa la Nyerere kimya

Arusha jiji wajengewa hospitali ya kwanza yenye hadhi ya Jiji ya kisasa EAC,Watali sasa kutibiwa Tanzania badala ya Kenya​


 
Bunge la Bajeti limemalizika July2021, hadi sasa hakuna mradi Hata mmoja umeanza au umefanyika kutoka na Bajeti ya 2021/22. Ukinipa Tarura wako hoi, REA wapo hoi, tanesco wako hoi, halmashauri ziko hoi, Tanroads wako hoi, Kila Anakotembelea Rais Amess Hata kuitaja ilani ya ccm 2020/25 . Serikali haina fedha? SGR kimya , bwawa la Nyerere kimya
 
Kwa siku 90 unaweza kujenga hospital ya 2.5 billion ? Na kumaliza
 
Bunge la Bajeti limemalizika July2021, hadi sasa hakuna mradi Hata mmoja umeanza au umefanyika kutoka na Bajeti ya 2021/22. Ukinipa Tarura wako hoi, REA wapo hoi, tanesco wako hoi, halmashauri ziko hoi, Tanroads wako hoi, Kila Anakotembelea Rais Amess Hata kuitaja ilani ya ccm 2020/25 . Serikali haina fedha? SGR kimya , bwawa la Nyerere kimya
Si kitu cha ajabu - UVIKO-19 umetikisa dunia nzima. Uchumi wa dunia unaaza kuamka kidogo kidogo bado ya chanjo kupatikana . Tanzania nayo iliathiriwa na ugonjwa wa Corona - ingawa viongozi walikuwa wanadai haipo.
 
Back
Top Bottom