Bajeti ya Serikali kuu ya 2020/21 ni Mkombozi kwa Wananchi Maskini

Fahami Matsawili

Senior Member
Mar 8, 2018
172
153
Katika kufungamanisha Ukuaji wa uchumi na Maendeleo ya Watu, Serikali yetu ya awamu ya Tano chini ya Rais wetu John Pombe Magufuli imechukua hatua Madhubuti katika Kuboresha Upatikanaji wa huduma za jamii kwa Wananchi Afya, Elimu, Maji katika maeneo ya mijiji na Vijijini...

Katika Bajeti ya 2020/21 Serikali imetoa misamaha ya kodi karibu 60 ambayo ipo kwenye sekta ya kilimo, Uvuvi, Ufugaji na Viwanda hizi ndio sekta zinajumuisha Wananchi wetu wengi...

Bajeti inayoangalia Ushirika na Vyama vya Msingi vya Wakulima wetu huko Vijijini namna ambayo Ushirika na Vyama vya ushirika na Msingi vinakwenda kusimamia imara na kuwasaidia wakulima wetu wanufaike na Mazao yao,

Bajeti inayoangalia suala la Bima ya kilimo sote tunajua sekta ya kilimo imezingirwa na changamoto ya Ukame na Mafuriko hivyo bajeti yetu kuangalia eneo hilo la Bima kwenye kilimo ni Ukombozi kwa Wakulima wetu nchini..


Nimemsikia Zitto Kabwe kesho ataongea kupita Facebook kuchambua bajeti kuu ya Serikali 2020/21 nimshauri tu arudi bungeni tu huko Facebook atawahutubia Matangopoli wanachama wake tu ambao ndiyo friends wa account zake za mitandao ya kijamii kazi ya kuelimisha Umma tushamaliza.
 
Katika kufungamanisha Ukuaji wa uchumi na Maendeleo ya Watu, Serikali yetu ya awamu ya Tano chini ya Rais wetu John Pombe Magufuli imechukua hatua Madhubuti katika Kuboresha Upatikanaji wa huduma za jamii kwa Wananchi Afya, Elimu, Maji katika maeneo ya mijiji na Vijijini...

Katika Bajeti ya 2020/21 Serikali imetoa misamaha ya kodi karibu 60 ambayo ipo kwenye sekta ya kilimo, Uvuvi, Ufugaji na Viwanda hizi ndio sekta zinajumuisha Wananchi wetu wengi...

Bajeti inayoangalia Ushirika na Vyama vya Msingi vya Wakulima wetu huko Vijijini namna ambayo Ushirika na Vyama vya ushirika na Msingi vinakwenda kusimamia imara na kuwasaidia wakulima wetu wanufaike na Mazao yao,

Bajeti inayoangalia suala la Bima ya kilimo sote tunajua sekta ya kilimo imezingirwa na changamoto ya Ukame na Mafuriko hivyo bajeti yetu kuangalia eneo hilo la Bima kwenye kilimo ni Ukombozi kwa Wakulima wetu nchini..


Nimemsikia Zitto Kabwe kesho ataongea kupita Facebook kuchambua bajeti kuu ya Serikali 2020/21 nimshauri tu arudi bungeni tu huko Facebook atawahutubia Matangopoli wanachama wake tu ambao ndiyo friends wa account zake za mitandao ya kijamii kazi ya kuelimisha Umma tushamaliza.
Kada mzuri kama baba mzazi. Jitahidi anaweza akakusikia Magufuli. Hapo Nyakibimbili inawasaidiaje ndugu zako kijijini. Huna tofauti na Kessy na Kangi Lugola. Bahati nzuri mmeshamjulia Boss wenu anachokitaka nanyi mnapiga humo humo!
 
Katika kufungamanisha Ukuaji wa uchumi na Maendeleo ya Watu, Serikali yetu ya awamu ya Tano chini ya Rais wetu John Pombe Magufuli imechukua hatua Madhubuti katika Kuboresha Upatikanaji wa huduma za jamii kwa Wananchi Afya, Elimu, Maji katika maeneo ya mijiji na Vijijini...

Katika Bajeti ya 2020/21 Serikali imetoa misamaha ya kodi karibu 60 ambayo ipo kwenye sekta ya kilimo, Uvuvi, Ufugaji na Viwanda hizi ndio sekta zinajumuisha Wananchi wetu wengi...

Bajeti inayoangalia Ushirika na Vyama vya Msingi vya Wakulima wetu huko Vijijini namna ambayo Ushirika na Vyama vya ushirika na Msingi vinakwenda kusimamia imara na kuwasaidia wakulima wetu wanufaike na Mazao yao,

Bajeti inayoangalia suala la Bima ya kilimo sote tunajua sekta ya kilimo imezingirwa na changamoto ya Ukame na Mafuriko hivyo bajeti yetu kuangalia eneo hilo la Bima kwenye kilimo ni Ukombozi kwa Wakulima wetu nchini..


Nimemsikia Zitto Kabwe kesho ataongea kupita Facebook kuchambua bajeti kuu ya Serikali 2020/21 nimshauri tu arudi bungeni tu huko Facebook atawahutubia Matangopoli wanachama wake tu ambao ndiyo friends wa account zake za mitandao ya kijamii kazi ya kuelimisha Umma tushamaliza.
Labda itakukomboa wewe na familia yako
 
Umechambua vi aya viwili vitatu kinafiki mwisho unataka zito kabwe nae asichambue bajeti kupitia mitandao. Kwani hofu yenu Nini akichambua na wananchi tukamfatilia?mbona wewe hukwenda kuchambulia bungeni ambako sahivi Ni kijiwe Cha majungu Cha wanaccm? Hamna Akili nyie sawa tu na Mkuu wenu
 
Katika kufungamanisha Ukuaji wa uchumi na Maendeleo ya Watu, Serikali yetu ya awamu ya Tano chini ya Rais wetu John Pombe Magufuli imechukua hatua Madhubuti katika Kuboresha Upatikanaji wa huduma za jamii kwa Wananchi Afya, Elimu, Maji katika maeneo ya mijiji na Vijijini...

Katika Bajeti ya 2020/21 Serikali imetoa misamaha ya kodi karibu 60 ambayo ipo kwenye sekta ya kilimo, Uvuvi, Ufugaji na Viwanda hizi ndio sekta zinajumuisha Wananchi wetu wengi...

Bajeti inayoangalia Ushirika na Vyama vya Msingi vya Wakulima wetu huko Vijijini namna ambayo Ushirika na Vyama vya ushirika na Msingi vinakwenda kusimamia imara na kuwasaidia wakulima wetu wanufaike na Mazao yao,

Bajeti inayoangalia suala la Bima ya kilimo sote tunajua sekta ya kilimo imezingirwa na changamoto ya Ukame na Mafuriko hivyo bajeti yetu kuangalia eneo hilo la Bima kwenye kilimo ni Ukombozi kwa Wakulima wetu nchini..


Nimemsikia Zitto Kabwe kesho ataongea kupita Facebook kuchambua bajeti kuu ya Serikali 2020/21 nimshauri tu arudi bungeni tu huko Facebook atawahutubia Matangopoli wanachama wake tu ambao ndiyo friends wa account zake za mitandao ya kijamii kazi ya kuelimisha Umma tushamaliza.
Mijinga ya GEITA hii
 
Hivi bajeti imesomwa?! Si wabunge walikuwa wanamjadili Mbowe.
Mtoa mada hapo juu anadai ni nzuri ila kupitia Bungeni kuipata/kuisikia ni kama anasa.
Tuliambiwa Bunge Live kunazuia maendeleo,viongozi wa nchi wanatembea na TV Set kila waendapo.Ni gharama kubwa kuwaonyesha walipa kodi jinsi kodi yao inavyogawanywa lakini ni rahisi kuwa na Mobile TV shows nchi nzima kwa kodi zetu.
Watanzania tuchukue hatua,tubadilike,CCM ndiyo adui yetu.Tuchague chama kingine chochote kama njia ya kututoa kwenye huu mkwamo,then tuanze upya.
 
Bajeti inaongeza kodi kwenye jojo, peremende, biskuti, mafuta, sukari, majani, spices, vitafunwa
Bado inabaki ya maskini?
 
Katika kufungamanisha Ukuaji wa uchumi na Maendeleo ya Watu, Serikali yetu ya awamu ya Tano chini ya Rais wetu John Pombe Magufuli imechukua hatua Madhubuti katika Kuboresha Upatikanaji wa huduma za jamii kwa Wananchi Afya, Elimu, Maji katika maeneo ya mijiji na Vijijini...

Katika Bajeti ya 2020/21 Serikali imetoa misamaha ya kodi karibu 60 ambayo ipo kwenye sekta ya kilimo, Uvuvi, Ufugaji na Viwanda hizi ndio sekta zinajumuisha Wananchi wetu wengi...

Bajeti inayoangalia Ushirika na Vyama vya Msingi vya Wakulima wetu huko Vijijini namna ambayo Ushirika na Vyama vya ushirika na Msingi vinakwenda kusimamia imara na kuwasaidia wakulima wetu wanufaike na Mazao yao,

Bajeti inayoangalia suala la Bima ya kilimo sote tunajua sekta ya kilimo imezingirwa na changamoto ya Ukame na Mafuriko hivyo bajeti yetu kuangalia eneo hilo la Bima kwenye kilimo ni Ukombozi kwa Wakulima wetu nchini..


Nimemsikia Zitto Kabwe kesho ataongea kupita Facebook kuchambua bajeti kuu ya Serikali 2020/21 nimshauri tu arudi bungeni tu huko Facebook atawahutubia Matangopoli wanachama wake tu ambao ndiyo friends wa account zake za mitandao ya kijamii kazi ya kuelimisha Umma tushamaliza.
Budget hii hii inayotekelezwa kwa 34%
 
Back
Top Bottom