Sidhani Mkuu yapo tu ya Kurekebishwa.Write your reply...ndio ishapita hiyo
Mama aliposema atadai kodi kwa hekima mlimtukana mkasema kodi inadaiwa kwa nguvu, amewasikia sasa kodi itadaiwa kwa nguvu kupitia mitandao ya simu, ukiweka vocha au kufanya muamala kodi inakatwa juu kwa juu.Sidhani Mkuu yapo tu ya Kurekebishwa.
Haitakiwi iwe hivyo kama bunge linafanya kazi kwa ufanisiWrite your reply...ndio ishapita hiyo
Kwa wabunge wa sasa, sidhani kuna hata mmoja anaweza kupinga.Mkiingia mtaani kuipinga wanabadilisha au wabunge wakiikataa inabadilishwa
Hayo ni mapendekezo tu- itakapojadiliwa na bunge zima kisha na kamati ya bunge zima na kutungiwa sheria ya fedha ndipo tutakapokuwa na bajeti kamili inayotekelezeka kisheria.Hv bajeti aliyosoma Mheshimiwa Mwigulu nchemba ni final au ipo subject to changes kulingana na bunge litakavoijadili na je kuna chance kuwa inaweza kubadilishwa?
Wabunge wanaweza kutoipitisha na kumwambia arudi ajipange upya aje na bajeti nyingine japokua sijawai ona hapa kwetu labda hii itakuwa ya kwanzaHv bajeti aliyosoma Mheshimiwa Mwigulu nchemba ni final au ipo subject to changes kulingana na bunge litakavoijadili na je kuna chance kuwa inaweza kubadilishwa?
Yes inaweza kubadilishwa kwa aina tatu.Hivi bajeti aliyosoma Mheshimiwa Mwigulu Nchemba ni final au ipo subject to changes kulingana na Bunge litakavoijadili na Je kuna chance kuwa inaweza kubadilishwa?
Hicho ndicho hufanyika. Mabadiliko huwa ni jambo kubwa, ambalo hubadili sura na dira ya bajeti kabisa.waziri anaweza kufanya marekebisho wakati wa majumuisho.
Yes inaweza kubadilishwa kwa aina tatu.
1. Maoni ya wabunge walio wengi, wakati wa kuchangia, wakipendekeza mabadiliko, waziri anaweza kufanya marekebisho wakati wa majumuisho.
2. Mbunge anaweza kuzuia shilingi kwenye mshahara wa waziri, na kushinikiza harudishi mpaka kifungu fulani kibadilishwe.
3. Bunge linapokaa kama kamati ya Bunge zima kupitisha bajeti, kule kinatajwa kifungu kwa kifungu na kuulizwa kama kinaafikiwa, kisipo afikiwa na walio wengi, waziri analazimishwa kubadili.
P
Kwasabu bunge la chama kimoja cha mapinduzi wanakua wengi sana na hapo ndio chimbuko la unyongeHicho ndicho hufanyika. Mabadiliko huwa ni jambo kubwa, ambalo hubadili sura na dira ya bajeti kabisa.
Bajeti inasomwa, inakataliwa na bunge inarudishwa kwenda kubadilisha halafu inaletwa tena. Haijawahi kutokea nchi hii. Japo kinadharia inaaminika inaweza kufanyika (I stand to be corrected)
Hahahaha kwa Wabunge wale? Watasapoti upupu wote pale kisha wakitoka hapo wanawalaumu Chadema!Hivi bajeti aliyosoma Mheshimiwa Mwigulu Nchemba ni final au ipo subject to changes kulingana na Bunge litakavoijadili na Je kuna chance kuwa inaweza kubadilishwa?
Bwana P iyo namba 2. Imekaaaje naomba unifafanulie nieleweee anazuiaje iyo shilingi kwa namna gani?Yes inaweza kubadilishwa kwa aina tatu.
1. Maoni ya wabunge walio wengi, wakati wa kuchangia, wakipendekeza mabadiliko, waziri anaweza kufanya marekebisho wakati wa majumuisho.
2. Mbunge anaweza kuzuia shilingi kwenye mshahara wa waziri, na kushinikiza harudishi mpaka kifungu fulani kibadilishwe.
3. Bunge linapokaa kama kamati ya Bunge zima kupitisha bajeti, kule kinatajwa kifungu kwa kifungu na kuulizwa kama kinaafikiwa, kisipo afikiwa na walio wengi, waziri analazimishwa kubadili.
P
Kikweli ccm wanajiwakilisha wenyewe sio wawakilishi wa wananchi inabidi kila mtu ajiwakili mwenyewe hawa watu hata aibu hawanagaHahahaha kwa Wabunge wale? Watasapoti upupu wote pale kisha wakitoka hapo wanawalaumu Chadema!
Pale hakuna Mbunge anayejitambua hata mmoja.
Narudia kwamba pale kuna genge la CCM ambalo lipo kwa maslahi binafsi, rejea yule Mbunge Mwanamke wa CCM aliyesema kuwa Ubunge ni Mtamu kiasi kwamba yuko tayari kuua ili asikose ubunge
Hata kujaribu kunyoosha mkono wa kuikataa linaweza kuwa kosa la jinai, na yawezekana mshahara/ posho ya mwezi huu asilipwe akilalamika watamwambia wewe siuliipinga bajeti sasa unataka hela itoke wapi.Kwa wabunge wa sasa, sidhani kuna hata mmoja anaweza kupinga.