Maandalizi hayo yalifanyika kwa siku Mia,matokeo yake yanaonekana leo,msishangae,ni jinsi ya kucheza na akili ya mtanzania mnyonge.Hakika MAMBO Yamekuwa MAMBO
Ununuzi wa..
Kwenda chooni nje ya nyumba yako TOZOHakika MAMBO Yamekuwa MAMBO
Ununuzi wa...
Hii bajeti fedha zilishafika kulikoelekezwa?Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Nchemba leo Juni 10, 2021 katika Bunge la Tanzania jijini Dodoma saa 10:00 jioni anawasilisha Bajeti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaka wa fedha 2021/2022...
Mambo naona ni kama yale yale alipoishia magu .kama tunakusanya haya matozo basi kuna sehem zinakovujia hizo helaHii bajeti fedha zilishafika kulikoelekezwa?
Ukiona hivyo, basi tambua wewe ni mpangaji tu kwenye nchi unayodhani ni yako!Hakika MAMBO Yamekuwa MAMBO
Ununuzi wa
Mafuta-TOZO
Barabara Vijijini-TOZO
Kifurushi-TOZO
Kutuma/Kupokea
Pesa-TOZO
KODI KODI KODI kila Mahali.Wapinzani Mkituchelewesha Sana BUNGENI
Bure kabisa hawa. Hatuelewi wanatupeleka wapi kwa kweli…