Bajeti ya serikali 2012/2013 haikugusa mahitaji halisi ya wananchi-Mh. Freeman Mbowe

Mbelwa Germano

JF-Expert Member
May 7, 2011
789
289
Mwenyekiti wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mh. Freeman Mbowe ameeleza kushtushwa na bajeti ya serikali ya mwaka 2012/2013 kwa kutogusa mahitaji halisi ya wananchi. Ameeleza tatizo kubwa la sasa nchini ni mfumuko mkubwa wa bei ambao waziri wa fedha hakuonyesha ni kwa jinsi gani wanaweza kusimamia suala hili kwa ufanisi zaidi ya kueleza matatizo haya kwa ujumla.

Alikuwa ukitoa maoni yake toka Dodoma kuhusu bajeti ya serikali 2012/2013 kupitia idhaa ya kiswahili ya BBC.
 
Sasa yeye kapendekeza lipi? Kwa maana kuwa mpinzani sio kupinga kila kitu!

Utaratibu wa bajeti ni kwamba Kiongozi wa Upinzani au mwakilishi wake, atachangia maono yake mjadala unapoanza Jumatatu. Hapa Mbowe alikuwa ana-react tu kwa swali aliloulizwa na mwanahabari.

Suburi.
 
Leo ni bajeti ya serikali na chama tawala, jumatatu ndiyo ile inayowahusu wananchi wa tanzania hivyo subiri,kuwa na subra
 
Back
Top Bottom