Bajeti ya Serikali 2008/09 - Exclusive Thread

Steve Dii

JF-Expert Member
Jun 25, 2007
6,402
1,254
Ni statement inayotia matumaini... hata hivyo mambo bado kabisa, tunahitaji kukusanya 'vijisenti' vyote toka kwa wahalifu na kuboresha vitega uchumi vyetu na miundombinu zetu, wakati huo huo tukiwekea mkazo kuondokana na hii 'donor dependency syndrome' kwa asilimia 100.

Government declares austerity fiscal measures next budget

03 May 2008
By Perege Gumbo


The Minister for Finance and Economy Mustafa Mkulo has said effective from next year; the government will finance recurrent expenditure wholly from its own revenue resources.

He said it was untenable that since this country attained independence almost 45 years ago, we still continue to depend on foreign donations to finance even annual recurrent budgets.

About 40 percent of the government`s budget is financed by both multilateral and bilateral donors through budget support mechanism.

Mkullo was responding to parliamentarians` questions at a meeting recently organised by the National Audit Office for strengthening accountability committees of the Parliament.

In his view, the forthcoming 2008/09 budget should at least guarantee that we can pay salaries to public servants and leave development budget to be catered for by aid from donor community.

That goal could be achieved through maximising tax collection, especially effective taxation of natural resources such as forest products and tourism.

He promised that the two tax bases would be carefully be subjected to scrutiny with view to tapping more revenues from some of its untaxed areas.

``To remove donor dependence completely may become impossible because even some developed countries are having some elements of dependence in their budgets although to insignificant levels``, he stressed.

During the meeting, MPs parliamentarians asked questions ranging from inflationary performance to misuse of public funds by various government agencies and lack of government action on perpetrators.

For instance, they raised concerns about massive misuse of road funds from the national, regional to the district levels, mostly seen through construction of substandard roads.

The government admitted existence of huge discrepancies, and promised that since the current Public Procurement Act was being overhauled as proposed by Dr. Mwakyembe’s probe report, the operations and use of the road fund would soon be rectified.

He also said the government in collaboration with donor community had formed a joint action plan which would be meeting monthly to among other things evaluate developments and actions taken over strengthening of the Bank of Tanzania (BoT) and its supervisory departments.

This development comes in response to External Arrears Payment Account (EPA) scandal which siphoned 155bn/- from BoT coffers.

* SOURCE: Guardian
Source: IppMedia.com


SteveD.
 
huyo nae badala ya kutueleza lile swala letu limefikia wapi!! anaanza style zilezile za kina mramba na Yonna,,atueleze kuhusu uvujaji wa fedha pale BOT ukiachia mbali EPA
 
huyo nae badala ya kutueleza lile swala letu limefikia wapi!! anaanza style zilezile za kina mramba na Yonna,,atueleze kuhusu uvujaji wa fedha pale BOT ukiachia mbali EPA
Nyerererist, yote uliyosema ni sawa, ila hili nalo linatia matumaini...indirectly labda kwa kutoa ahadi kama hiyo kutawafanya wafatilie kwa undani ufujaji mali ulioenea sehemu mbalimbali... hivyo the end result would still be positive.


SteveD
 
Nyerererist, yote uliyosema ni sawa, ila hili nalo linatia matumaini...indirectly labda kwa kutoa ahadi kama hiyo kutawafanya wafatilie kwa undani ufujaji mali ulioenea sehemu mbalimbali... hivyo the end result would still be positive.


SteveD

may be steve, otherwise lets pray for miracles...
 
"The forthcoming 2008/09 budget should at least guarantee that we can pay salaries to public servants and leave development budget to be catered for by aid from donor community".

Hii inasikitisha sana, na ukiwambia kuwa CCM na Serikali wameshindwa kuleta maendelea wanaweza kukataa. Kama mawaziri wanaweza kuwa na vijisenti vingi nje ya nchi, bila shaka kama vingetumika hapa nyumbani basi tungekuwa mbali sana na tusingekuwa hapa tulipo!
 
"The forthcoming 2008/09 budget should at least guarantee that we can pay salaries to public servants and leave development budget to be catered for by aid from donor community".

Hii inasikitisha sana, na ukiwambia kuwa CCM na Serikali wameshindwa kuleta maendelea wanaweza kukataa. Kama mawaziri wanaweza kuwa na vijisenti vingi nje ya nchi, bila shaka kama vingetumika hapa nyumbani basi tungekuwa mbali sana na tusingekuwa hapa tulipo!
....Bongolander, lakini unaona hapo juu jinsi alivyo jihami na hayo hayo aliyosema?......au nimemwelewa vibaya...
 
natamani nimuulize Mkulo kwa nini hela tanzania bado expensive (interest rate 18%-22%) halafu kama waziri wa vijisent wala haongelei kabisa analeta siasa,,anyway may be italeta some changes,, lets wait and see
 
Ni habari nzuri but its strange...Ghafla hayo yanawezekana?

Swali ni .... nini hasa kimepelekea hayo kuwezekana?
 
Hiki bado ni kichekesho, hakuna kujitegemea kokote alikotaja hapo zaidi ya reallocation! Yaani anachosema ni kuwa badala ya donors kufadhili 40% matumizi ya kawaida ya serikali na asilimia fulani ya matumizi ya maendeleo, sasa serikali inagawana majukumu na wafadhili ambapo sasa serikali itagharamia yenyewe bajeti yote ya matumizi ya kawaida na kuwaachia wafadhali bajeti ya maendeleo! Yaleyale tu, changa la macho. Zile tulizokuwa tunatumia kwenye maendeleo zote tumerudisha kwenye matumizi ya kawaida na kuwaachia wafadhili bajeti ya maendeleo. Usanii wa kipuuzi tu, alianza kutudanganya kuwa shilingi inaongezeka thamani akidhani sisi ni watoto wadogo kuwa hatujui hizo hesabu za kuilinganisha shilingi inayoporomoka na dola ya Marekani inayoporomoka pia! Sasa anatuletea usanii wa kuhamisha hela kutoka mfuko mmoja kwenda mwingine na kutudanganya zimeongezeka! Huyu ni wa kuzomea!
 
Ni habari nzuri but its strange...Ghafla hayo yanawezekana?

Swali ni .... nini hasa kimepelekea hayo kuwezekana?

...Azimio, sababu alizotoa za kufanikisha hilo, yaani makusanyo ya kodi n.k. ilitakiwa wabunge wamuulize, je tofauti ya makusanyo hayo ya bajeti zilizopita na hii bajeti tarajio ni kiasi gani..... ili kujua kama ulivyo uliza kwanini haikuwezekana hapo kabla....

....mimi kikubwa ninachofikiri hapa ni kuwa, tofauti za makadirio katika tofauti za bajeti hazitakuwa kubwa, ila hii hoja ni mabadiliko ya msimamo wa kisera unaosababishwa na kero na madukuduku ya wananchi yaliyo enea kila kona na kuonekana waziwazi kivitendo wakitaka majibu.

SteveD.
 
Hiki bado ni kichekesho, hakuna kujitegemea kokote alikotaja hapo zaidi ya reallocation! Yaani anachosema ni kuwa badala ya donors kufadhili 40% matumizi ya kawaida ya serikali na asilimia fulani ya matumizi ya maendeleo, sasa serikali inagawana majukumu na wafadhili ambapo sasa serikali itagharamia yenyewe bajeti yote ya matumizi ya kawaida na kuwaachia wafadhali bajeti ya maendeleo! Yaleyale tu, changa la macho. Zile tulizokuwa tunatumia kwenye maendeleo zote tumerudisha kwenye matumizi ya kawaida na kuwaachia wafadhili bajeti ya maendeleo. Usanii wa kipuuzi tu, alianza kutudanganya kuwa shilingi inaongezeka thamani akidhani sisi ni watoto wadogo kuwa hatujui hizo hesabu za kuilinganisha shilingi inayoporomoka na dola ya Marekani inayoporomoka pia! Sasa anatuletea usanii wa kuhamisha hela kutoka mfuko mmoja kwenda mwingine na kutudanganya zimeongezeka! Huyu ni wa kuzomea!
Kithuku, very good insight!!
 
i hope haya makusanyo ya kodi yatabaki huko huko kwenye madini na utalii na sio mzigo kuongezwa kwa walala hoi kama ilivyo kawaida ya viongozi wa wa hii nchi
 
ni kitu cha ajabu kuwakabidhi bajeti ya maendeleo wafadhili,,Steve tunaweza tukapata summary ya hiyo exp-budget?? samahanni lakini
 

Ukweli ni kwamba serikali haina uhakika kwa sasa na fedha toka kwa wafadhili kutokana na kushindwa kushughulikia ufisadi mkubwa uliopita na unaondelea.
Hili swala la wafadhili ku-freeze misaada limeongelewa sana na Mkulo amekanusha mara nyingi tu lakini sasa ukianza kusikia sentensi toka serikali hiyohiyo kuwa "serikali kujitegemea katika bajeti ya matumizi ya ndani" ni dalili tu kuwa ukweli uko mbioni na kama imefikia serikali kutangaza hivyo jua matumaini yao ya kuwashawishi wafadhili wao yanazidi kupungua
 
....Bongolander, lakini unaona hapo juu jinsi alivyo jihami na hayo hayo aliyosema?......au nimemwelewa vibaya...

SteveD, kweli kuna ka-ujanja kwenye hiyo sentense yake, lakini mimi kwa maoni yangu ilitakiwa kuwa vice versa, miradi ya maendeleo tui-finance wenyewe, kwa sababu hiyo ndio msingi wa maendeleo.

Hata hivyo mpaka sasa bado naona uchumi wetu na nchi yetu ni highly mismanaged, viongozi wangekuwa na nia ya kweli withi two three years tungeweza kufikia level ya kujitegemea. Ufisadi na ubinafsi unatula sana, hiyo ndio cancer iliyopo kwenye serikali na chama kinachotutawala.
 
SteveD, kweli kuna ka-ujanja kwenye hiyo sentense yake, lakini mimi kwa maoni yangu ilitakiwa kuwa vice versa, miradi ya maendeleo tui-finance wenyewe, kwa sababu hiyo ndio msingi wa maendeleo.

Hata hivyo mpaka sasa bado naona uchumi wetu na nchi yetu ni highly mismanaged, viongozi wangekuwa na nia ya kweli withi two three years tungeweza kufikia level ya kujitegemea. Ufisadi na ubinafsi unatula sana, hiyo ndio cancer iliyopo kwenye serikali na chama kinachotutawala.

hata mie nakuunga mkono kwa mtazamo wako,,ni vyema tukajitegemea upande wa bajeti ya maendeleo na sio kutegemea wafadhiri...hiyo ni aibu,,nchi nyingi zimeshatoka hapa tulipo
 
Hiki bado ni kichekesho, hakuna kujitegemea kokote alikotaja hapo zaidi ya reallocation! Yaani anachosema ni kuwa badala ya donors kufadhili 40% matumizi ya kawaida ya serikali na asilimia fulani ya matumizi ya maendeleo, sasa serikali inagawana majukumu na wafadhili ambapo sasa serikali itagharamia yenyewe bajeti yote ya matumizi ya kawaida na kuwaachia wafadhali bajeti ya maendeleo! Yaleyale tu, changa la macho.
Shukrani Kithuku, hili changa KUBWA kuliko hata yale ya Mkapa na Mramba; jamaa wana AKILI sana!

Mchezo unaochezwa hapa ni kwamba kwa kuwa wameshaona skendo za kifisadi zimeshitukiwa na mabwana zao (wafadhiri), na kwa kuwa hakuna uhakika wa pesa wanazohitaji zikiwemo za posho za vikao hewa plus "maendeleo", sasa wanaanza kutudanganya kwamba "maendeleo" wanawaachia mabwana zao ili kesho tukilalamika waseme Mabwana hawajachangia huku wao wakiendelea kulipana posho hewa. TUFUNGUKE MACHO NA HIZI STATEMENT ZITATUUMIZA!!
 
Maneno ya Mkullo kwa kuanzia sio mabaya. Lakini je hii ni mara ya kwanza kwa viongozi kutoa ahadi kama hiyo?

Na kilichotakiwa ni kwa wahusika kuchukua matamko ya waziri na mwakani wamuulize amefikia wapi? Tatizo linalokuja ni kwa wahusika kuuliza na kujibu maswali hayohayo kwa kutumia lugha nyingine.
 
Ni habari nzuri but its strange...Ghafla hayo yanawezekana?

Swali ni .... nini hasa kimepelekea hayo kuwezekana?

Hilo swali perspicacious! Babu kubwa mtu wangu.

Yani hata hayaja wezekana bado: "That goal could be achieved through maximising tax collection, especially effective taxation of natural resources such as forest products and tourism."

Kama SteveD alivyo mkamata na ki usanii cha "should at least guarantee" hapa anasema 'could be achieved.'

Trying to hoodwink everybody. Adanganye wabunge wa Sisiem huko. Mkullo tafadhali!

 
Tukitaka kujua tunakwenda wapi inabidi tuangalie tunatoka wapi, la sivyo tutaishia kucheza mduara...

Budget ya 2005-2006

Recurrent expenditure 2791 billions
Development expenditure 1385 billions
Total 4176 billions (approximately 4.2 trillions)

The budget was funded as follows:

Domestic revenue(taxes) 2067 billions
Grants and Loans 1725 billions
Govt Reserves 256 billions
Sale of PE shares 10 billions
Non bank borrowing 115 billions

Budget ya 2007-2008

Recurrent expenditure 3866 billions
Development 2201 billions
Total 6067 billions (approximately 6.1 trillions)

The budget was funded as follows:

Domestic revenues(taxes) 3502 billions
Grants and Loans 2549 billions
Privatization Proceeds 15 billions


Ukiangalia haraka haraka utaona kama mpango wake ni kuongeza taxes on tourism and mining ni kwamba anajaribu kucover difference ya 3866 - 3502 billions = 364 billions (Refer to 2007-2008 budget Recurrent expenditure). Kwa maneno mengine hakuna kipya zaidi ya kuongeza taxes!

Development which needs 2.2 trillions to maintain current growth anaachia kudra za Donors. So kitakachopatikana ndio tutakitumia kuendelea, wasipotupa tutasurvive pale pale bila miradi yeyote ya maendeleo (stagnant).
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom