Bajeti ya Mishahara kupanda kwa zaidi ya asilimia 40!

Huu ni msiba mkubwa kwa taifa la tanzania kama waandishi wamefikia hatua ya kuficha au kuchakachua habari.
 
c unajua magazeti yenyewe ni kuukuu, it means hata akili za waandashi zina kutu.
 
magazeti ya chama na serikali hayo mkuu usitegemee habari tofauti na hiyo..
 
yamepotosha kitu gani. ukweli upo pale pale mishahara imepanda kwa 40%. Hivi huwa humufuatiliii hotuba za bajeti miaka mingine? mwaka jana mshahara ulupandishwa kwa staili hii hii. bajeti ya mishahara ilipanda kwa 31.5% na ndivyo kima cha chini kilivyopanda.
Hata gazeti la mwananchi liliandika wiki iliyopita hii habari ya kupanda mishahara kwa 40% sasa mnachotaka kitu gani au ndiyo wivu wenyewe?
 
Itakapokuja kubainika kuwa si kweli serikali imepandisha mishahara kwa kiwango hicho, serikali itavuna hasira maradufu kutoka kwa wafanyakazi wa umma. that will be more dangerous. nasubiri na kuona
 
Utashangaa Serikali inakenua meno badala ya ku-clarify. Hawajui kuwa wanafuga bomu zito. Wafanyakazi wengi watakuwa wamefarijika kwa kujua mishahara itapanda with effect from tarehe 1 July. Sasa wakienda Bank mwisho wa mwezi halafu wakute hamna kitu ndo hapo sasa litakapoanza timbwili
 
Cha ajabu mishahara haitapanda kwa hizo asilimia na wapo watakoendelea kuyanunua hayo magazeti uchwara!
 
Hivi bado kuna watu wanayasoma hayo magazeti? They must be mad!
 
Wananunuliwa kuandika hivyo ili kutoa picha nzuri ya serikali; nothing jipya or even alarming in a corrupt system
 
Utashangaa Serikali inakenua meno badala ya ku-clarify. Hawajui kuwa wanafuga bomu zito. Wafanyakazi wengi watakuwa wamefarijika kwa kujua mishahara itapanda with effect from tarehe 1 July. Sasa wakienda Bank mwisho wa mwezi halafu wakute hamna kitu ndo hapo sasa litakapoanza timbwili

TTOZI BWEKA= zitto kabwe
. tehe tehe! Wangwana kweli mna mambo
 
inamaana iyo pia, ila kwa mada husika 'spin' inamaanisha "to try to make somebody believe a long story which is not true.
 
MS jikite sasa ktk haya majibu machache uliyoyapata, jenga hoja makini kutuonyesha kwamba mishahara imepanda, ukiweza nitakuweka mbele.
 
magazeti yanaandika habari tu ili kuuza magazeti,hawafanyi uchunguzi wa kina kujua mishahara imepanda ama laa,na kama imepanda kwa kiasi gani...eti imepanda kwa 40% !!! tht is not true....mishahara imepanda kiduchu sana....magazeti acheni uvivu wa kutafuta habari ,we will damp your newspapers soon...be realistic and you will earn our respect...
Kweli mkuu magazeti yanaandika ili yauze tu, jana mi nimeuliza hapa jf tafsiri ya kupanda 40.2% nikapata ufafanuzi wa maana leo nachek vichwa vya habari kwenye tv nkabaki nacheka tu.
 
Kama ni kweli! Wameumbuka vipi wakati walichokitaka kimetimizwa. Hakika kuna wagonjwa wa akili humu ndani.
SERIKALI imetangaza bungeni kuwa itatutumia Sh3.2trilioni katika mwaka wa fedha 2011/12, ambazo pamoja na mambo mengine zitapandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa kuzingatia vigezo maalumu, ikiwamo mfumuko wa bei za bidhaa na huduma.hongera Jk. CDM walidandia agenda. kama kawaida yao
 
Back
Top Bottom