Bajeti ya Kenya ni zaidi ya mara mbili ya Tanzania, Wabongo wanazidi kukwama sana

Phew!
1. Nigeria's States budgets combined are 22bn$. 70% of which is funded by The federal Government. This means The 35bn$ Federal budget, allocates 14 bn$ to the States and Local governments. 8bn$ comes from State's own sources.
So, add 8bn$ to 35bn$ you get 43bn$.
2. Having said that, still Nigeria has five times (you can say four, but it doesn't matter) the Gdp of kenya but 1.25 times the budget of Kenya.
3. Do you agree that the size of the budget doesn't indicate the size of the economy??????
Do you agree or not based on thatt example? it's easy man! Stop the blah blah, you can't nullify.
You are yet to provide any evidence of this 70% figure.
And BTW, budgets are ment to improve lives through better education, infrastructure, healthcare and general quality of life.... Kenya ranks higher than Nigeria in all these sub sectors... So that means Nigeria is the wrong example to be following, SA has a smaller GDP compared to Nigeria but their economy is more diversified meaning multiple avenues to collect taxes. Their budget this year is $142 Billion and as a result they have the best of everything south of the Sahara.. This is the example that we should be following. Big and we'll implemented budget = Better quality of life
 
Kenya kainchi kadogo kenye raslimali chache, ila tunajtuma mithili ya sisimizi, sijui lini Watanzania wataamka na kufanya chochote cha maana, GDP yetu inaelekea kuwa mara mbili ya Tanzania, ukizingatia Tanzania ni muungano wa mataifa mawili yenye raslimali kedekede, sijui wana gubu au nini hawa.

Hizi taarifa za bajeti zinashangaza sana hadi huruma.

Tanzania $15.59 billion
Kenya $33.3 billion

==============

East African Finance ministers present their national budgets in their respective parliaments for the fiscal year 2021/22 today.

According to the East Africa Community (EAC) Treaty, partner states are required to read their budgets simultaneously.

But only the three founding member states – Kenya, Uganda and Tanzania – read their budgets today.

Burundi whose financial calendar begins in January and South Sudan were both given time by the EAC Council of Ministers to adjust the reading of their budgets in harmony with the rest of the partner states.

Rwanda did not give reason for delaying the budget reading.

Uganda's $12.61 billion (Ush44.7 trillion) Budget is being presented by Mr Amos Lugoloobi, the newly appointed Minister of State for Planning.

In Tanzania, the $15.59 billion (Tsh36.32 trillion) Budget will be read by the new Minister of Finance and Planning Dr Mwigulu Nchemba.

Treasury Cabinet Secretary Ukur Yatani will lay out the $33.3 billion (Ksh3.6 trillion) budget which is expected to cement the legacy of Kenya's President Uhuru Kenyatta 10 years in office in a tough economic setting clouded with depressed corporate and household earnings amid uncertainties arising from the Covid-19 pandemic.

Dona kantri haihitaji fedha nyingi, inajijua namna ya kujiendeshaa,
 
I don’t see the difference, whether the budget is small or big !
Whats matters is where these revenues are collected?
In Tanzania service sector including VAT 18% on every citizen expenditure!
Look at poverty data, almost 50% of Tanzanians are living under poverty line.
What about you Kenyans
New generations wake don’t get fooled!!
 
I don’t see the difference, whether the budget is small or big !
Whats matters is where these revenues are collected?
In Tanzania service sector including VAT 18% on every citizen expenditure!
Look at poverty data, almost 50% of Tanzanians are living under poverty line.
What about you Kenyans
New generations wake don’t get fooled!!
Nonsense
 
I don’t see the difference, whether the budget is small or big !
Whats matters is where these revenues are collected?
In Tanzania service sector including VAT 18% on every citizen expenditure!
Look at poverty data, almost 50% of Tanzanians are living under poverty line.
What about you Kenyans
New generations wake don’t get fooled!!
In Tanzania according to recent data watu wanaoishi below poverty line ni below 32%
 
Kenya should colonize Danganyika plizzz biden find a reason..ccm, Mozambique rebels, chadema etc...
Insane Mashashola...tell me mmetenga pesa ngap kwenye miradi ya maendeleo...
Nakubali jitihada zenu kwenye ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami naona speed iko juu kuliko yetu! !
Angalia Tz kwenye ujenzi wa madaraja tuko juu, ujenzi wa reli ofcz hili halina ubishi kabisa...Ujenzi wa miradi ya kufua umeme hapa pia tunaenda kubadili taswira next year mtakesha apo
 
Insane Mashashola...tell me mmetenga pesa ngap kwenye miradi ya maendeleo...
Nakubali jitihada zenu kwenye ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami naona speed iko juu kuliko yetu! !
Angalia Tz kwenye ujenzi wa madaraja tuko juu, ujenzi wa reli ofcz hili halina ubishi kabisa...Ujenzi wa miradi ya kufua umeme hapa pia tunaenda kubadili taswira next year mtakesha apo
Tuta tuta tuta. Sisi reli ya SGR tayari tunayo. Umeme tayari tunao na inakaribia 3,000 Megawatts sasa hivi. Daraja hatuna nyingi kwa sababu hatuhitaji daraja kwa sana kama nyinyi. Kenya ni nchi yenye mito michache. Lami tunao almost double yenu in terms of kilometres. Yaani mumetushinda wapi? Hebu niambie. Hata hapo kwa ufuaji wa umeme by the time mnazindua mradi wenu wa 2,100 MW Kenya itakuwa na 2,900 MW kwa sababu saa hii tunazalisha umeme kiasi cha 2,800 MW na kuna mradi wa geothermal wa 83 MW itakayozinduliwa mwishoni mwa mwaka huu na huku nyinyi mnazalisha 1,500 MW pekee. Mkizindua JNHPP mtakuwa mnazalisha 3,600 MW na sisi tutakuwa tunazalisha 2,900 MW. So hakuna tofauti kubwa. Mtatushinda pengine na 700 MW pekee. Mimi sioni mumetushindia wapi. Pengine unieleze. Hiyo deni yetu unayokingia kifua ndio imetufikisha hapa.
Cc Kobello
 
Tuta tuta tuta. Sisi reli ya SGR tayari tunayo. Umeme tayari tunao na inakaribia 3,000 Megawatts sasa hivi. Daraja hatuna nyingi kwa sababu hatuhitaji daraja kwa sana kama nyinyi. Kenya ni nchi yenye mito michache. Lami tunao almost double yetu in terms of kilometres. Yaani mumetushinda wapi? Hebu niambie. Hata hapo kwa ufuaji wa umeme by the time mnazindua mradi wenu wa 2,100 MW Kenya itakuwa na 2,900 MW kwa sababu saa hii tunazalisha umeme kiasi cha 2,800 MW na nyinyi mnazalisha 1,500 MW. Mkizindua JNHPP mtakuwa mnazalisha 3,600 MW na sisi tutakuwa tunazalisha 2,900 MW. So hakuna tofauti kubwa. Mtatushinda pengine na 700 MW pekee. Mimi sioni mumetushindia wapi. Pengine unieleze. Hiyo deni yetu unayokingia kifua ndio imetufikisha hapa.
Nenda taratibu kijana,mbali na bwawa la mwl nyerere kuna mengine yako katika hatua za ujenzi,izo barabara last time I checked mlikua na 18k of paved roads,Tz 12k of paved roads...what is double to you?is it even close to double?
 
Tuta tuta tuta. Sisi reli ya SGR tayari tunayo. Umeme tayari tunao na inakaribia 3,000 Megawatts sasa hivi. Daraja hatuna nyingi kwa sababu hatuhitaji daraja kwa sana kama nyinyi. Kenya ni nchi yenye mito michache. Lami tunao almost double yenu in terms of kilometres. Yaani mumetushinda wapi? Hebu niambie. Hata hapo kwa ufuaji wa umeme by the time mnazindua mradi wenu wa 2,100 MW Kenya itakuwa na 2,900 MW kwa sababu saa hii tunazalisha umeme kiasi cha 2,800 MW na kuna mradi wa geothermal wa 83 MW itakayozinduliwa mwishoni mwa mwaka huu na huku nyinyi mnazalisha 1,500 MW pekee. Mkizindua JNHPP mtakuwa mnazalisha 3,600 MW na sisi tutakuwa tunazalisha 2,900 MW. So hakuna tofauti kubwa. Mtatushinda pengine na 700 MW pekee. Mimi sioni mumetushindia wapi. Pengine unieleze. Hiyo deni yetu unayokingia kifua ndio imetufikisha hapa.
Kwenye umeme anzia mwakani tuwawapiga tatu bila
 
Kwenye umeme anzia mwakani tuwawapiga tatu bila
Twende taratibu. Sasa hivi mnazalisha around 1,500 MW. Mtakapozindua JNHPP mtakuwa mnazalisha 3,600 MW. Sisi nasi tutakuwa tunazalisha 2,900 MW. Tofauti iko wapi? Zingatia pia consumption rates. Kenya inaconsume 1,950 MW the last time I checked na nyinyi mnaconsume 1,300 MW. So hata mkizalisha umeme mwingi kutushinda ilhali mnatumia umeme mdogo kutushinda basi umeme wenu utapotea bure. Kuzalisha ni rahisi mtihani upo kwenye kutafuta matumizi ya umeme. Usijidanganye kwamba mtauza umeme wenu SA kwa sababu hamjajenga powerline kuelekea Zambia.
 
Twende taratibu. Sasa hivi mnazalisha around 1,500 MW. Mtakapozindua JNHPP mtakuwa mnazalisha 3,600 MW. Sisi nasi tutakuwa tunazalisha 2,900 MW. Tofauti iko wapi? Zingatia pia consumption rates. Kenya inaconsume 1,950 MW the last time I checked na nyinyi mnaconsume 1,300 MW. So hata mkizalisha umeme mwingi kutushinda ilhali mnatumia umeme mdogo kutushinda basi umeme wenu utapotea bure. Kuzalisha ni rahisi mtihani upo kwenye kutafuta matumizi ya umeme. Usijidanganye kwamba mtauza umeme wenu SA kwa sababu hamjajenga powerline kuelekea Zambia.
Kwa sasa tunazalisha 1602MW iyo 1500 umeitoa wap?,tayari Tanesco wameshapeleka 70MW kwenye SGR, Kigamboni juzi wamepewa 24MW kwann unahisi matumizi ya umeme Tz yamesimama?Mradi wa kusambaza umeme vijijini zinaenda sambamba na kuongeza MW katika maeneo husika So tuko kqmeue matumizi ya 1400MW ..
Kuna uwekezaji mkubwa wa kiwanda cha chuma uko Liganga icho kiwanda kinahitaji umeme mwingi, kuna viwanda vingi vyaja Umeme uwepo ndio matumizi yafuate...
Kwakifupi mambo yatakua poa

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Shilingi 60 yakenya ni sawa na 1000tsh,utagundua kituhapo....majibu yao ccm utasikia Tanzania nikubwasana ,wengine wamekuja na utaratibu wamajimbo ccm kuiga jambojema kama hilo wanagoma.......aliyetuloga ni nani kama yukohai na anasoma hapa atusamehe ,japokua wachawi kusoma hawajui
 
Kwa sasa tunazalisha 1602MW iyo 1500 umeitoa wap?,tayari Tanesco wameshapeleka 70MW kwenye SGR, Kigamboni juzi wamepewa 24MW kwann unahisi matumizi ya umeme Tz yamesimama?Mradi wa kusambaza umeme vijijini zinaenda sambamba na kuongeza MW katika maeneo husika So tuko kqmeue matumizi ya 1400MW ..
Kuna uwekezaji mkubwa wa kiwanda cha chuma uko Liganga icho kiwanda kinahitaji umeme mwingi, kuna viwanda vingi vyaja Umeme uwepo ndio matumizi yafuate...
Kwakifupi mambo yatakua poa

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Imewachukua miaka mia moja kufikia matumizi ya 1,400 MW. Itawachukua angalau nusu ya hio yaani miaka hamsini ili kuconsume another 1,400 MW. Vijiji vyenu vinaconsume 0.01 megawatts ndio unatuletea hapa? Nyumba ya Mtanzania wa kawaida haina fridge wala pasi hayo matumizi makubwa yatoke wapi?
 
Imewachukua miaka mia moja kufikia matumizi ya 1,400 MW. Itawachukua angalau nusu ya hio yaani miaka hamsini ili kuconsume another 1,400 MW. Vijiji vyenu vinaconsume 0.01 megawatts ndio unatuletea hapa? Nyumba ya Mtanzania wa kawaida haina fridge wala pasi hayo matumizi makubwa yatoke wapi?
Hayo ni mawazo yako binafsi...
Mradi wote wa reli ya SGR unaoendelea kujengwa unaweza tumia 300MW au zaidi...
Bado viwanda na mahitaji ya kawaida yanayokua kwa kasi. ..miaka michache ijayo tuawauzia umeme
 
Insane Mashashola...tell me mmetenga pesa ngap kwenye miradi ya maendeleo...
Nakubali jitihada zenu kwenye ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami naona speed iko juu kuliko yetu! !
Angalia Tz kwenye ujenzi wa madaraja tuko juu, ujenzi wa reli ofcz hili halina ubishi kabisa...Ujenzi wa miradi ya kufua umeme hapa pia tunaenda kubadili taswira next year mtakesha apo
Its not about kutenga pesa.

Kenya inacheza na credit rating yake like a developed country in an efficient manner. Nowonder miradi ya infrastructure iko kila kona.

Number two. Kenya haijijengi kwa lengo la kufikia inchi yeyote ile. Unlike Tanzania wanaojenga inchi wafikie jirani Kenya, Wakenya wanajidevelop ili kufikia matakwa yao ya vision 2030.

That's the difference.
 
Its not about kutenga pesa.

Kenya inacheza na credit rating yake like a developed country in an efficient manner. Nowonder miradi ya infrastructure iko kila kona.

Number two. Kenya haijijengi kwa lengo la kufikia inchi yeyote ile. Unlike Tanzania wanaojenga inchi wafikie jirani Kenya, Wakenya wanajidevelop ili kufikia matakwa yao ya vision 2030.

That's the difference.
Sisi pia hatujasema tunajenga kufika mahali mpo nope,tunajiondoa kwenye hali duni iyo ndio point...tunahitaji region nzima ya - east africa iwe developed

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Its not about kutenga pesa.

Kenya inacheza na credit rating yake like a developed country in an efficient manner. Nowonder miradi ya infrastructure iko kila kona.

Number two. Kenya haijijengi kwa lengo la kufikia inchi yeyote ile. Unlike Tanzania wanaojenga inchi wafikie jirani Kenya, Wakenya wanajidevelop ili kufikia matakwa yao ya vision 2030.

That's the difference.
Nonsense hatujengi nchi kufikia nchi masikini kama Kenya tunajenga nchi kufikia nchi tajiri za ulaya.angalia quality za miradi tunayoijenga.
 
Hayo ni mawazo yako binafsi...
Mradi wote wa reli ya SGR unaoendelea kujengwa unaweza tumia 300MW au zaidi...
Bado viwanda na mahitaji ya kawaida yanayokua kwa kasi. ..miaka michache ijayo tuawauzia umeme
Nyinyi mtatushinda kwenye kugenerate umeme siku za usoni. Sisi tutazidi kuwashinda kwenye kuconsume umeme. So sielewi unamaanisha nini unaposema kwamba mtatushinda kwenye sekta ya umeme. Kama ni hivyo basi mnastahili kutushinda kwenye both kugenerate na kuconsume. Afterall sisi tayari tuna surplus so hatuhitaji umeme wenu. Tunajitosheleza.
 
Nyinyi mtatushinda kwenye kugenerate umeme siku za usoni. Sisi tutazidi kuwashinda kwenye kuconsume umeme. So sielewi unamaanisha nini unaposema kwamba mtatushinda kwenye sekta ya umeme. Kama ni hivyo basi mnastahili kutushinda kwenye both kugenerate na kuconsume. Afterall sisi tayari tuna surplus so hatuhitaji umeme wenu.
Tumia akili yako walau kidogo tu,
Hayuzalishi umeme Wa kupiga nao picha instagram Sawa? Huo umeme tayari unamikakati utumike vp ndio maana tunajipanga kuzalisha zaidi ya 5000MW kabla ya 2025...
Sgr peke yake itatumia sio chini ya 300MW
Kuna viwanda vya chuma kule liganga vinahitaji umeme mwingi, tunaendelea kuongeza mahitaji makubwa ya umeme na kwakua utakuwepo lazima tutawazidi..

Nyie hamtaweza kutumia umeme mwingi maana Mko limited mnazalisha kidogo mtatumia kidogo
 
Back
Top Bottom