Bajeti ya Elimu

Augustine Moshi

JF-Expert Member
Apr 22, 2006
2,554
1,381
Naona Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi ameshatoa bajeti ya wizara yake. Inapatikana hapa http://www.tanzania.go.tz/bspeech2006_07f.html

Itabidi tusubiri bajeti ya Wizara ya Sayansi na Elimu ya Juu (ipo tena kweli?) kabla hatujafahamu ni sehemu gani ya bajeti nzima ya serikali imeelekezwa kwenye Elimu.

Kwa sasa, inatosha kusema kwamba bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya sh. 239, 650,710,900 (roughly shilingi 240 billion ni 4.9%tu ya bajeti yote ya serikali ya Tanzania, ambayo ni shilingi trillion 4.85. Linganisha hii na bajeti ya Elimu ya Kenya ambayo kwa fedha zetu, ni shilingi trillion 1.485, na ni sawa na 27% ya bajeti yote ya serikali ya Kenya.

Itabidi tujadili hili jambo kwa undani. Haitoshi kusema tunakazania Elimu. We must put our money where our mouth is.

Augustine Moshi
 
Haitoshi...We still need more money!!

Itapendeza kama serikali Ingeweza kuanza kufikiria kuwekeza kwenye Elimu,
Ni vizuri kama serikali itafikiria kutumia mtandao wa komputer na kuanza kuongea na watoto tangu wakiwa wadogo?

Shule za secondary zikajumushwa au kuhusisha vijana katika forum kama hizi!!
watoto wanaweza waka toa maoni vizuri zaidi...

Serikari inapaswa kua na mtandao wa komputer kwa shule za secondary!!
Kuwepo kwa mifumo ya komputer Shuleni kiwe kigezo mojawapo cha shule Kusajiliwa!! kama ilivyo kwa Maabara za shule!!
 
Kinachonisikitisha ni huku kukubali kwa Watanzania wengi, ikiwa ni pamoja na wabunge, kwa serikali kutumia asilimia kidogo hivyo kwenye Elimu.

Kwa nini tusiweze kutumia angalau 20% ya bajeti kwenye Elimu? Mbona Kenya wanatumia 27%?

Natafuta kiasi cha bajeti kinachotumika katika Elimu kwenye nchi za jirani zote, kisha nitaziposti hapa.

Augustine Moshi
 
Labda hata bajeti ya serikali kwa ujumla haitoshi....
hata kama itakua 27% nafikiri bado itakua ni fedha kidogo...
 
27% ya bajeti sio fedha kidogo. Ni 1.87 milion/= kwa kila mwanafunzi. Kwa sasa serikali inatumia laki 3 tu per student.

By the way, mwaka jana Zambia ilitumia 24% ya bajeti yake kwenye Elimu. Sasa tunazungukwa na serikali ambazo hazina mzaha kwenye Elimu. Sisi tumebaki kudanganyana.

Haya, Kenya 27%, Zambia 24% na sisi hatufiki hata 10%. Kwa sasa najua 4.9% ya bajeti itatumika kwenye Wizara ya Elimu na Ufundi, lakini hotuba ya bajeti ya Wizara ya Elimu ya Juu sijaiona bado. Tukijumlisha kiasi kilichotengwa kwa ajili ya hiyo wizara na hizi bilioni 240 alizopewa Mama Sitta ndiyo tutapata kiasi kamili kinachkusudiwa kutumika kwenye Elimu. Naamini hakitafka hata 10% ya bajeti yote.

Augustine Moshi
 
Haya mambo yana tegemeana!! endapo 27% itafikia 3 milion kwa mwaka kwa kila wanafunzi hapo kidogo tutaona mapambazuko!!
 
Hebu oneni sasa, Prof Msolla mambo yanavyomuwia
http://ippmedia.com/ipp/guardian/2006/12/13/80290.html

Je tunahitaji kukumbushwa kwenye vikao vya Baraza la mawaziri (time wasting!!) kwamba Elimu ni muhimu??. Yaani hapa napata picha za akina akina Kamala et al (wenye PhD zilizo na mashaka ndio wanaleta ubishi bajeti ya Elimu isiongezwe.....), eti baraza hawakukubaliana!!!!! mpaka Rais akaunda tume............what a joke!!!!

Again this shows without a doubt how Wabunge wetu wasivyo responsible ktk vikao vya bajeti.

Serikali bila ya kuzingatia Elimu ni DISASTER
 
Hebu oneni sasa, Prof Msolla mambo yanavyomuwia
http://ippmedia.com/ipp/guardian/2006/12/13/80290.html

Je tunahitaji kukumbushwa kwenye vikao vya Baraza la mawaziri (time wasting!!) kwamba Elimu ni muhimu??. Yaani hapa napata picha za akina akina Kamala et al (wenye PhD zilizo na mashaka ndio wanaleta ubishi bajeti ya Elimu isiongezwe.....), eti baraza hawakukubaliana!!!!! mpaka Rais akaunda tume............what a joke!!!!

Again this shows without a doubt how Wabunge wetu wasivyo responsible ktk vikao vya bajeti.

Serikali bila ya kuzingatia Elimu ni DISASTER


Hapa iko Kazi.

Kama baraza lenyewe lina akina Nchimbi, Kamala, Makongoro Mahanga, Mary Nagu, na wenginew wenye digrii za kununua tu, itakuwa vigumu kwao kuona umuhimu wa kulipa $15,000 kwa undegraduate mmoja wakati wao wamezipata kwa chini ya $3,000.
 
Makala aliyotuletea Kichuguu inasema: Professor Msola urged students, dons and stakeholders in the education sector to appreciate the government's efforts in educating its people particularly in the higher education sector given the fact that it is very expensive.

"It is time we appreciate what the government is doing in making sure its citizens access higher education.


Lets put our money where our mouth is. Kwanini tutumie chini ya 10% ya bajeti kwenye Elimu? Watu wanaojali Elimu kikweli, na sio kwa unafiki kama sisi, (eg Kenya) wamekuwa wanatumia si chini ya 25% ya bajeti yao (ambayo ni kubwa kuliko yetu) kwenye Elimu, kila mwaka, kwa miaka mingi.

Kama tungeweka mkazo wa kweli kwenye Elimu na kuitengea 25% ya bajeti yetu, basi hakungekuwepo na tatizo kwenye mikopo ya wanafunzi. Vile vile, tungekuwa na vitabu, vyoo vya kutosha, na nyenzo nyingine kwenye shule zetu.

Hatutaacha kuisuta serikali kwenye Elimu mpaka iitendee haki kwenye bajeti. Hii ina maana mpaka angalau robo ya bajeti yetu kila mwaka ielekezwe kwenye Elimu.

Augustine Moshi
 
Mwalimu Moshi,

Ile makala ililetwa kwanza na Ogah; mimi (Kichuguu) niliiachangia tu


Ninakubaliana nawe kabisa kuwa katika umaskini wetu, Tanzania tunatakiwa kuweka raslimali nyingi sana katika elimu. Ni lazima kupunguza ukubwa wa serikali na matumizi yasiyokuwa ya lazima kama vile safari za nje ili pesa zinazoseviwa zipelekwe kwenye elimu. Ingawa watu wa uchumi walisema haiwezekani kwa serikali kughalimia elimu yote kusudi itolewe bure kabisa, lakini bado nadhani ilikuwa ni vizuri kama elimu ingeendelea kuwa ya bure kwa wanachi wote mpaka angalau hadi form 6 ingwa mimi nilipata elimu bure hadi digrii ya kwanza. Wengi wa walio serikalini leo walipata elimu bure kabisa chini ya mwalimu Nyerere kwa nini wao wasilipe fadhila kama hizo hizo kwa vizazi vijvyo?

Nchi zote zinazoendelea haraka ni kwa sababu ya kuwekeza sana kwenye elimu hasa ya hesabu na sayansi kama sikosei. Kwa sasa hivi India, China, na Iran ndizo nchi zinazotoa wanafunzi wengi wa engineering na math hapa marekani. Vile vile ndizo zenye walimu wengi wa masomo hayo katika vyuo vya marekani, na ndio nchi zinazoendelea haraka haraka duniani kiasi kuwa hata merakani inaanza kuziogopa.

In any cases, tukiwa na wanasiasa wanaotumia njia za "stone age" kuongoza nchi wakati wa "informatio age," tutaendelea kuona mambo hayahaya na tutaishia kuwa ni watumwa wa wenzetu bila sisi wenyewe kujua wala kutaka.
 
Shule za secondary zikajumushwa au kuhusisha vijana katika forum kama hizi!!
watoto wanaweza waka toa maoni vizuri zaidi...

Serikari inapaswa kua na mtandao wa komputer kwa shule za secondary!!
Kuwepo kwa mifumo ya komputer Shuleni kiwe kigezo mojawapo cha shule Kusajiliwa!! kama ilivyo kwa Maabara za shule!!

Kweli kabisa, maoni ya vijana wa shuleni ni maoni halisi,virgin, yanayoeleza what 'should be' kwani bado wanaishi kwenye dreams, hawajawa deformed na existing adult society. Maoni ya watu wazima yanaangalia kwanza reality, hivyo yanajengwa around reality, kwani tayari walishapoteza matumaini. Waliosema vijana taifa la kesho walikosea sana. Vijana inatakiwa wasikike leo ili kujenga taifa la kesho, tukisubiri kesho ndio wasikike, watakuwa wameshachuja, creativity imeisha, wataishia tu kushikana mashati na watawala:)
 
The Monitor (Kampala)
December 18, 2006
Posted to the web December 18, 2006
Sarah Achen Kibisi
Entebbe
Three Tanzanian students of Mary Reparatrix SS in Entebbe have been detained at school after failing to clear Shs4 million school fees.
Christopher Claudia, Christopher Clara and Julian Adela are being subjected to inhuman treatment like denial of food and locked inside a dirty room.
A sympathiser John Oketa, who lives near the school, is appealing to the Tanzanian embassy to intervene to rescue the students. "We are kindly requesting the embassy to raise something to bail out the girls or else get them transport to their country," he said.
Oketa said the headmistress took the students to Mogoga police station in Entebbe but the police refused to handle the case because they did not know under what circumstances the girls were detained.

Msaada wa ubalozini tafadhali!!!!
 
Nashauri Bunge litunge sheria ya kutenga 25% ya bajeti kila mwaka kwa ajili ya Elimu. Nakumbusha tena kwamba Kenya wamekuwa wakitenga 25% ya bajeti yao kwa ajili ya Elimu kwa miaka mingi, na mwaka huu wameongeza ikafika 27%.

Mahitaji ya fedha kwa ajili ya Elimu yetu ni makubwa mno. Naomba msome hali ilivyo huko Bagamoyo, kama mfano wa hali halisi.
====================================
Bagamoyo schools reel under shortages​

2007-05-29 09:27:37
By Bilal Abdul-Aziz, Bagamoyo

Much as the government is registering giant strides in the construction of public secondary schools countrywide, the next immediate problem is to provide basic and teaching facilities, which are in dire shortage.

For example, Coast Region`s Bagamoyo District is faced with a critical shortage of essential facilities, mainly laboratories, libraries and teaching materials, according to a recent survey.

The scenario is much similar in respect of science teachers and supporting facilities.

Recently, Education and Vocational Training minister Margaret Sitta addressed journalists, outlining the strides made in boosting enrolment of students in public schools countrywide.

The minister`s briefing dwelt exclusively on enrolment, which she said had reached 75 per cent on average in 20 Tanzania mainland regions.

The rest of the regions, Arusha, Dodoma, Lindi, Shinyanga, Singida and Tabora, topped the list with 100 per cent enrolment.

The success in the first phase of secondary school development programme, which deals exclusively with constructing school buildings and staff quarters, is bringing compelling immediate requirements that have to be met.

The building of classrooms and teachers` quarters is being done through contributions made by the wananchi.

A five-day survey carried out by The Guardian from May 21 in Bagamoyo District reveals the challenges that remain ahead.

For example, a school located just seven kilometers from Bagamoyo is without a single desk for the students.

The school, called Sanzale, stands amid coconut farms and has only one small wooden desk for use as headmistress Sofia Kitembe`s office table. There isn`t even a single chair.

``We are just getting off the ground and this is the real situation, as you can see,`` said Kitembe, as she sat on the desk behind a pile of books and pamphlets.

Her office is in one of the four classrooms at the school, three of them are yet to be occupied by students because there are no desks.

At Sanzale School, The Guardian found students from all streams sharing one classroom. All were seated on the floor, save for a handful of lucky ones who had landed pieces of concrete bricks, probably leftovers of building materials in the school compound.

The sharing of classrooms where desks and other facilities are scarce is common in most schools in the district, with Sanzale and Dunda among the worst hit.

This is the main reason for overcrowding in the few relatively well-furnished classrooms around, some accommodating up to 140 students per session instead of the official 45.

The district has only one secondary school -Lugoba - that boasts basic facilities like a well-stocked library and science laboratories. The rest, eight new and seven old ones, are starved of even basic needs.

The new schools are Vigwaza, Sanzale, Kilomo, Zinga, Talawanda, Ubena Zomozi, Kibindu and Matipwiri, while the old ones (built last year or earlier) are Chalinze, Changalikwa, Dunda, Kikaro, Kiwangwa, Matimbwa and Msata.

Bagamoyo District Education Officer Cheka Omary admitted that most schools under her jurisdiction were in bad shape with regard to essential facilities and teaching equipment.

She said Lugoba and Bagamoyo were the only public secondary schools lucky to have a library and science laboratories. The former is under the local authority and the latter run by the central government.

``All other schools either depend on other schools in the area for their science practicals or conduct alternative practicals, which essentially means teaching the practicals theoretically,`` explained Omary.

Sanzale was easily in the most desperate situation of all the four schools covered under the survey, the others being Dunda, Zinga and Msata.

Just like most of the other 15 in the district, particularly Kilomo and Matipwiri, it is located in far-flung areas.

It is seriously short of teaching materials, chiefly books. Teachers are forced to travel long distances to borrow textbooks, supplementary readers and reference books from Lugoba or Bagamoyo.

``The shortage of teaching materials is making life extremely difficult for both teachers and students,`` complained headmistress Kitembe, in whose temporary office are also kerosene stoves and water bowls.

Dunda headmaster Mussa Charles, meanwhile said his school was among those established last year through a similar campaign and is seriously short of teachers, desks and teaching materials.

The situation is especially critical with respect to availability of teachers for almost all key science subjects - Physics, Chemistry and Biology.

Asked on the effect of the problems cited on the quality of education, veteran educationist Mponeja Bundala said the consequences would be catastrophic unless remedial measures were taken without any further delay.

``With the current shortage of teachers and other teaching materials, including books we are not in a position to say that the quality is assured…the matter touches interests of our nation, therefore prompt actions are needed,`` explained Bundala, who teaches in one of the schools in the district.

Noting that even the school where he teaches has no science teacher, he asked the authorities concerned ``to treat education with urgency for the good of the country just like they have been doing with other key or delicate issues``.

Reacting to the challenge, DEO Omary pointed out that authorities in the district were ``very much concerned over the quality of education and that is why we have teamed up with other stakeholders in the sector and formed an education development board to be launched in the near future``.

``We are working overtime to improve all primary and secondary schools in our district, with a view to enhancing the quality of the education offered.

We want to prepare our graduates so that they can compete with others nationally and internationally,`` she added.

A three-year programme (2007 to 2010) being implemented by the Bagamoyo local government authorities shows that phase one, scheduled to run until 2009, concentrates on the construction of classrooms, teachers` houses and students' hostels.

Despite the problems, the general feeling in the district is that the government`s crusade of ensuring that each ward in the country has at least one secondary school is a commendable step forward.
 
Naona Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi ameshatoa bajeti ya wizara yake. Inapatikana hapa http://www.tanzania.go.tz/bspeech2006_07f.html

Itabidi tusubiri bajeti ya Wizara ya Sayansi na Elimu ya Juu (ipo tena kweli?) kabla hatujafahamu ni sehemu gani ya bajeti nzima ya serikali imeelekezwa kwenye Elimu.

Kwa sasa, inatosha kusema kwamba bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya sh. 239, 650,710,900 (roughly shilingi 240 billion ni 4.9%tu ya bajeti yote ya serikali ya Tanzania, ambayo ni shilingi trillion 4.85. Linganisha hii na bajeti ya Elimu ya Kenya ambayo kwa fedha zetu, ni shilingi trillion 1.485, na ni sawa na 27% ya bajeti yote ya serikali ya Kenya.

Itabidi tujadili hili jambo kwa undani. Haitoshi kusema tunakazania Elimu. We must put our money where our mouth is.

Augustine Moshi
Elimu bure

 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom