2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Alieona sehemu mwananchi wa kawaida kuguswa na bajeti ya mwaka 2021 alete hapa na sisi tuone.
Boda boda kupunguziwa adhabu toka 30k mpaka 10k, kumbuka wenye pikipiki wengi ni mabosi,vijana wanapeleka hesabu tu,hapo kijana kafaidika nini?
Sehemu pekee yenye watu wa hali zote ni kubet. Waziri kapunguza kodi toka 20% kwenye zawadi mpaka 15% je ana hamasisha uchezaji kamari? Kuna hasara gani mtu akiacha kucheza kamari?
Makato ya 100 kwenda juu kwenye ununuzi wa vicha na miamala kupitia simu. Mwananchi wa kawaida anafaidika na nini hapa? Umemuongezea mzigo au umempunguzia?
Ongezeko la asilimia 30 kwenye pombe kali na bia,je watu wakinywa gongo mtawakamata? Hapa pesa ya kununua bia tena. Mwananchi wa kawaida umempunguzia nini?
Toka Magufuli aingie madarakani ni mwaka gani umeona bia imepanda? Je hii ni hujuma au makusudi au mtego kwa Mwigulu kushindwa hii wizara?
Kweli tumepata rais mpole, mwenye utu na mama anaejali,lakini bila kufikiria maisha ya watu wote huo upole una maana kweli?
Kumbukeni Mwenye nacho atazidi kuongezewa.
Boda boda kupunguziwa adhabu toka 30k mpaka 10k, kumbuka wenye pikipiki wengi ni mabosi,vijana wanapeleka hesabu tu,hapo kijana kafaidika nini?
Sehemu pekee yenye watu wa hali zote ni kubet. Waziri kapunguza kodi toka 20% kwenye zawadi mpaka 15% je ana hamasisha uchezaji kamari? Kuna hasara gani mtu akiacha kucheza kamari?
Makato ya 100 kwenda juu kwenye ununuzi wa vicha na miamala kupitia simu. Mwananchi wa kawaida anafaidika na nini hapa? Umemuongezea mzigo au umempunguzia?
Ongezeko la asilimia 30 kwenye pombe kali na bia,je watu wakinywa gongo mtawakamata? Hapa pesa ya kununua bia tena. Mwananchi wa kawaida umempunguzia nini?
Toka Magufuli aingie madarakani ni mwaka gani umeona bia imepanda? Je hii ni hujuma au makusudi au mtego kwa Mwigulu kushindwa hii wizara?
Kweli tumepata rais mpole, mwenye utu na mama anaejali,lakini bila kufikiria maisha ya watu wote huo upole una maana kweli?
Kumbukeni Mwenye nacho atazidi kuongezewa.