Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Bajeti ya kipumbavuuuuu!! Iliyopita yenyewe haijatoka hata 30%! Hivi kuna ubaya gani kutoa realistic budget? Kwa mfano makusanyo yetu kama ni 14 trillion tukazigawa hizo hizo kwa shughuli zetu? Lenye bichwa kama embe dodo la Tanga ndo litabaki kutupiga vijembe utafikri limefanikiwa mno! Wabunge msaidieni Rais kupanga bajeti halisi ili tuache maigizo au mnaogopa mtatumbuliwa?