Hebu wataalamu wa mambo ya budget tusaidieni, mkopo kuwepo ndani ya budget vipi?
Maana tumezoea kuambiwa budget ni mapato na matumizi, sasa huu mkopo nao ni pato au?
.
Hii ndiyo hofuu kuu aliyokuwa nayo mbowe na mnyika leo wakati wakimuuliza waziri maswali.lakini ameshindwa kujibu vizuri.