Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
🙏🙏 pamoja mkuu tuwe wazalendo halisi sio kama wale wengine.Hakika wewe ni hazina mkuu,
Mungu wangu akubariki sana,
Endelea kulisemea Taifa lako,
🙏🙏 pamoja mkuu tuwe wazalendo halisi sio kama wale wengine.Hakika wewe ni hazina mkuu,
Mungu wangu akubariki sana,
Endelea kulisemea Taifa lako,
Uko Sahihi kabisa na Mungu atusaidie,🙏🙏 pamoja mkuu tuwe wazalendo halisi sio kama wale wengine.
Sio kampeni tunaonyesha mafanikio ya serikali ya awamu ya sita,kwani kuna shida?
Stupidity,
SGR km 1,000 unajenga wewe?
SG Rufiji unajenga wewe?
Barabara kila kona unajenga wewe,
Mishahara watumishi unalipa wewe?
Ndege unanunua wewe?
Chanjo unaagiza wewe?
Meli unanunua wewe?
Elimu bure unatoa wewe,
Madarasa elfu 15 unajenga wewe?
Vituo vya afya 220 unajenga wewe?
Viwanja vya kimataifa ikiwemo Msalato unajenga wewe,
Bil 500 Za HESLB unatoa wewe?
Ajira elfu 56 unaajiri wewe?
Acha ukichaa tumia akili vizuri
🙏🙏 ngoja tuunge juhudi.Zinakuja mkuu wangu,
Endelea kumuunga mkono mama,
Uchaguzi na awamu vinahusianaje? Amka wewe tuko awamu ya 6.Mkuu awamu ya sita tena?!..tumefanya lini uchaguzi mkuu
Tume huru ndiyo lidude gani?ndiyo linaleta hela ya kula? ndiyo linaleta barabara nzuri ili bibi yako na babu yako na mkewako uliyemtelekeza kule kijijini baada ya kumpa mimba itamuwezesha apite kwenda kwenye kituo cha afya akakuletee mtoto? hilo dude ni taamaa zenu tu za madaraka subirini 2050 mtaachiwa na nyie mjaribuLeteni Tume huru ya Uchaguzi , hakuna anekula barabara akashiba. Msitizunguwe
Mambo ni matamu mambo ni 🔥🔥♨️♨️ namna hii 👇Mama anafanya mambo kwa umakini mkubwa sana.
Msimwekee mama wa watu maneno mdomoni. Tusubirie ukweli wa kesi ya ugaidi kwanza.Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano
====
Ni habari njema sana, tunaomwombea mama mazuri tunafarijika tukisikia hivi.....tutafarijika zaidi TUKIONA!
Ila mkuu nikuombe jambo moja; tupe tu hizo taarifa njema kila zinapotokea lakini usizijenge katika kuwashindanisha yeye na mtangulizi wake. Sioni afya katika hilo.......walikuwa pamoja na marehemu, itaibua ushindani usio na maana humu na kwingineko
Mambo ni matamu mambo ni 🔥🔥♨️♨️ namna hii 👇
View attachment 1965712
View attachment 1965713
View attachment 1965714
View attachment 1965715
View attachment 1965716
View attachment 1965717
View attachment 1965718
View attachment 1965719
View attachment 1965720
Somewhere Nyanda za Juu KusiniMkuu where are you?
Comment of the dayTena bajeti ya mwaka ujao ndio mtashangaa zaidi maana Jumuia ya kimataifa inamuamini mama na confidence kwenye biashara kwa sasa ni kubwa ,pesa inamiminika kama yote..
Mama atafanya wonders Sana.
Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano
=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21
Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,
Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1963497
Popote Ulipo sema "Mungu mlinde Rais Samia "Hao tembo wanaotoka hifadhini na kuvamia makazi ya wananchi bila shaka wanastahili kugeuzwa kitoweo.
Popote Ulipo sema "Mungu mlinde Rais Samia "Tena bajeti ya mwaka ujao ndio mtashangaa zaidi maana Jumuia ya kimataifa inamuamini mama na confidence kwenye biashara kwa sasa ni kubwa ,pesa
Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano
=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21
Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,
Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1963497
Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.
" Hakuna kama Samaia "
Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,
IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.
Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1971181
14|10|2021Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano
=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21
Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,
Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1963497