Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
KAMBI ya upinzani imetoa bajeti mbadala ya Sh8.1 trilioni kwa mwaka 2008/09, ikilinganishwa na Sh7.2 trilioni ya serikali...
Kuna kitu kimepinda hapa!
Vipaumbele tu
Kwa hiyo wao wangetumia hela zaidi kuliko Serikali?
Inawezekana hiki ni kituko kuliko vyote katika historia ya Bajeti mbadala za dunia, au historia ya vituko!
swala ni kwamba wangetumia pesa nyingi kwenye nini, sekta za kilimo, elimu, afya, miundombinu, sayansi na technologia zinahitaji fungu kubwa kuliko lilipangiwa. Bajeti ya sasa imeunderestimate hizi sector.
Lakini hudhani kwamba, kama nchi yenye bajeti omba-omba, ingebidi Wapinzani tusisitize kubana matumizi badala ya kuongeza?
kubana matumizi ndio kurudisha nyuma maendeleo, ubane matumizi badala ya kutumia pesa zilizopo kuimarisha huduma. Huko kubana matumizi ndio kumesababisha mafisadi wakapata cha kuchota, why...kwa sababu kulikuwa na pesa ambazo hazikuwa na kazi.
Kama kuna fedha zisizokuwa na kazi mbona sisi ni omba omba?
Tanzania siyo nchi ya kuwa omba omba kabisaaa.
Nimewaletea BAJETI YA UPIZANI KAMA ILIVYOSOMWA LEO BUNGENI NA KIONGOZI WA UPINZANI.
Works cannot open "blah ...blah..blah", the file may be in use by another appendix, the file format may not be supported by any of the installed connectors, or the file may be corrupt.
Lakini ni omba omba!
by the way bajeti ya mwaka huu ndogo mno, yaani trillioni 7 zitafanya nini? ingebidi waombe zaidi, yaani ingalau kupunguza vijitatizo vya elimu, afya, miundombinu ingebidi iwe ka trillion 10 hivi. Hivi yale madeni pale ATC yatalipwa na pesa gani, TANESCO wanataka mabillioni kuimarisha miundo mbinu yao, bado DOWANS, Richmond na Kiwira, MAJI nao, etc, bado demand ni kubwa kuliko kilichotengwa kwenye bajeti.