Bajeti mbadala au bajeti akadabra ya upinzani!; ushahidi kuwa hawako tayari kuongoza nchi

blix22

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
213
645

*BAJETI MBADALA AU BAJETI AKADABRA YA UPINZANI!; USHAHIDI KUWA HAWAKO TAYARI KUONGOZA NCHI*

*Na Mwamba wa Kaskazini*

Leo nimeskiliza Bajeti Mbadala ya Upinzani Bungeni imebidi nicheke sana, lakini si kwa furaha bali uchungu mkubwa. Nikawaza yale ambayo nilishawahi kuyaandika kwamba kwamba kwa vituko, sanaa, dhihaka na uwezo mdogo waliouonesha wapinzani katika siasa na uongozi ingekuwa vipi kama leo eti Mbowe ndio Waziri wa Fedha, sijui Waziri Mkuu Selasini, Waziri wa Viwanda sijui Lema n.k?

Kusomwa kwa kinachoitwa Bajeti Mbadala ya Upinzani leo Bungeni kumenikumbusha kicheko hiki cha uchungu na kubaki nikijisemea kama kuna jambo la kumshukuru BWANA WA MAJESHI basi ni kutuepusha na kikombe cha Ukawa mwaka 2015.

Kwa hiyo, tukiwaza sote kwa sauti na kwa kina, usanii, utoto na uwezo mdogo wa Chadema na Ukawa wenzao wanaouonesha ndio kusema hivi ndivyo ambavyo nchi ingeendeshwa?

Ngoja nikushirikishe kasoro zao na sababu zangu 10 za kucheka kwa uchungu sana nilipoisikiliza Bajeti yao mbadala.

*1. WAMEIKANA ILANI YAO!*
Mwelekeo wa Bajeti Mbadala ya Chadema ni ushahidi kuwa hawakumbuki mengi waliyoyaahidi kwenye Ilani yao ya Uchaguzi ya 2015-2020.

Hapa wanataja dhana ya kutaka kuleta Uchumi Huria wa Kijamii (Social Market Economy), dhana hii inaamini katika kuuweka uchumi mikononi mwa watu na bila udhibiti wa Serikali.

Lakini tofauti na imani ya dhana wanayoiimba nila kuielewa kwa kina, Chadema katika Ilani yao katika tamko la 3.1.2 wanapingana na dhana hiyo ya kiuchumi kwa kusisitiza kuwa Serikali yao itasimamia uchumi huria na si holela. Zilongwa mbali, zitendwa mbali!

Kwa wasiojua, dhana ya Uchumi Huria wa Kijamii, ilianzia Ujerumani na kupigiwa chapuo sana na Waziri Mkuu wa Ujerumani wa miaka hiyo Konrad Adenaeur, na ilikuja kama mbadala wa ubepari lakini ikiamini zaidi katika kuwapa wananchi na sekta binafsi udhibiti wa uchumi badala ya Serikali.

*2. UCHUMI JAMII AU KULETA USHOGA!*

Sera ya Uchumi Jamii wanayotaka kuja nayo Chadema kwa kushauriwa na kushinikizwa na taasisi ya Konrad Adenaeur, kama nilivyosema hapo juu, ni ya kipumbavu (mnisamehe) kwa sababu kwa kiasi fulani ina mafungamano na kutetea uhuru wa kijamii ikiwemo ushoga.

Ingawa wanachama wengi waasisi wa vyama vya kihafidhina vya Christain Democracy (CDU) na baadaye kilipoungana na CSU kuunda CDU/CSU ambao ndio waasisi wa dhana ya kiuchumi ya Uchumi Jamii, si waungaji sana mkono ushoga, bado utafiti unaonesha wapo dhana hii na ushoga haviwezi kuachana kirahisi:

Mosi, makala iitwayo “Income, Social Support Networks, Life Satisfaction: Lesbians, Gays, and Bisexuals in Germany” iliyoandikwa na Martin Kroh, Simon Kühne, Christian Kipp na David Richter inaonesha mnasaba kwani mashoga asilimia takrinai 21 wa Ujerumani wanakiunga mkono CDU na pacha wake CSU. Utafiti huo unasema katika uk. Wa 4:

“Significantly fewer LGBs who reported long-term party identification support the Christian Democrats (Christlich Demokratische Union, CDU, and Christlich-Soziale Union in Bayern, CSU; 21 percent vs. 35 percent of all persons with long-term party identification).

Pili, mnasaba wa ushoga na nadharia hii ya uchumi unatokana na ukweli kwamba viongozi kadhaa wa CDU na ambao ni waumini wa zama hizi za dhana hii wanayoikariri Chadema ya kiuchumi ni mashoga au washanufaika na ushoga.
Mfano hai kabisa ni mgombea wa nafasi ya kumrithi Angel Merkel katika uchaguzi wa ndani wa Chama, Jens Spahn, Mbunge wa Steinfurt ambaye amekuwa pia Naibu Waziri wa Fedha wa Ujerumani ni shoga aliyekubuhu.

Msome zaidi: https://www.theguardian.com/world/2...an-who-could-replace-merkel-interview-germany

*3. BAJETI YA UONGO NA HADAA!*

Ukiacha dosari ya ushoga inayowaondolea Chadema asilimia hata moja ya kuja kuongoza nchi hii, hotuba yao mbadala ni akadabra tupu; imejaa uongo na hadaa. Sikiliza hii:

Wanasema: “Maendeleo ya kiuchumi hayajapatikana,” hawa wanaumwa, hata kama hatujafika tunakokutaka kufika, huwezi kuja na hitimisho hili la hadaa.

Wanataja ripoti ya ILO, 2018 eti kuonesha mamilioni ya watu nchini hawana umeme wala maji.

Kwanza niseme hata katika nchi za Ulaya sio kote na sio wote wana umeme na maji kila walipo.

Ujenzi wa jamii yenye maendeleo ni safari ndefu na ndio maana hata katika baadhi ya vijiji vya jimbo alilokaa miaka kadhaa Mwenyekiti wao Mbowe hakuna umeme wala maji vya kutosha.

Lakini kama kweli wana nia ya dhati ya kupigania maendeleo haya inakuwaje Chadema hawa hawa, kama tutakavyoona punde, wanapinga miradi muhimu ya kuwaondoa Watanzania katika dhiki hiyo? Kwa nini wanapinga mradi mkubwa wa Umeme wa Stiglers? Hadaa!

*4. VITUKO ZAIDI NA MAGERESHO*

Sikiliza sasa suluhisho la Chadema eti kwa matatizo waliyoyataja hapo juu wanaposema: “Mheshimiwa Spika, Ili kukabiliana na hali tete ya uchumi wa nchi yetu, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kupitia CHADEMA inahimiza uwepo wa mfumo imara wa uchumi unaofanya kazi vizuri.”

Sasa “mfumo imara wa uchumi” unaofanyakazi vizuri ndio huu wa kishoga kutoka Ujerumani? Hawa waache vituko katika kuendesha nchi hii. Waache mageresho.

Kwa hiyo hapa wasitudanganye, hawana mfumo wowote mbadala zaidi ya kujikaribisha kwenye gharika na uharibifu tu. Hakuna wazo mbadala, wanataka sote tubanduliwe tu hawa?

*5. ETI HAWAONI MAFANIKIO YOYOTE NCHINI!*

Chadema wanadai Bajeti ya sasa ni ya uchumi usiopunguza umaskini na hakuna mafanikio katika vita ya kuondoa umaskini.

Kwanza, hawaelezi wala kutambua maendeleo makubwa yaliyopatikana nchini. Hiki ni kiroho papo na kijiba cha roho.

Nchi hii unataka kusema sekta ya afya iko vile vile kama ukoloni?Ujenzi wa barabara uko vile vile au uboreshaji wa shule uko vile vile kama ukoloni?

Lakini pia wanajichanganya mara wanaponda uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 7, mara wanasifu Kenya uchumi wao kukua kwa asilimia 6. Mnasimamia lipi wandugu?Hii ndio bajeti mbadala kweli?

Yani watu wanaotaka kuunda Serikali Tanzania wanataka kujifunza na kujificha kwenye uchumi wa Kenya, uchumi wa kukopa hela kujenga reli na kubaki na madeni mazito wakati sisi reli yetu tunajenga kwa fedha zetu? Unatamani nini cha maana kwa Kenya? Pumbavu (mnisamehe tena).

*6. ETI UWEKEZAJI UMESHUKA?*

Chama hiki bado sana kuongoza nchi, yani wanalala wanaamka kuombea nchi mabaya.

Sasa sikia hiki kituko kingine; licha ya kutoonesha katika wanachoita bajeti mbadala watafanya nini cha maana kuongeza uwekezaji nchini (zaidi ya kuleta ushoga), Chadema wanalaghai umma kama kawaida yao tena.

Katika kijikaratasi kinachoitwa Bajeti Mbadala wanadai, pamoja na mambo mengine, eti uwekezaji kutoka nje (FDI) umeshuka Tanzania. Wataacha lini uongo? Ripoti ya juzi tu (Juni 12, 2019) ya Shirika la Baiashara la UN (UNCTAD) inaonesha kwa Tanzania uwekezaji kutoka nje ya nchi (FDI) kati ya 2017 hadi mwaka jana 2018 umeongezeka kwa asilimia 18. Bado mtu hataki!

Narudia tena, hiki ni chama cha magharika na mapepo! Yako mambo watu wenye nia njema ya kuongoza nchi hawawezi kuyafanyia dhihaka kama hili la kuponda tu hata mambo ambayo kisiasa wangeahidi tu japo kwa mdomo walau kuyaendeleza.

*7. CHADEMA YAUNGANA NA IMF!*

Udhaifu mwingine mkubwa wa hotuba ya Kambi ya Upinzani na kinachoonesha kuwa kama leo wangekuwa wamechukua nchi, Taifa hili lingechezewa na mabeberu watakavyo, hotuba yao, licha ya msimamo wa Serikali ya sasa kusimama upande wa maslahi ya Taifa wao bado wanaungana na IMF na kuisifu na kuifagilia.

Huu ni ushahidi wa wazi kuwa mle hakuna kitu, kama wangechukua nchi tungeendelea kupigwa vya kutosha, si chama wala mashabiki wake pekee, sasa tunaona hata wabunge wa chama hiki, hakuna mwenye msimamo wa kutetea nchi. Wabangaizaji tu. Period!

*8. BADO WATETEA WACHINA BANDARI BAGAMOYO*

Ukisoma hotuba yao unaona dalili za upiga dili mtupu. Chadema hii hii eti leo inalilia mradi wa Bagamoyo ambao tumeshaelezwa ukakasisi wa uwekezaji wake. Sikia upuuzi wao wakitetea mradi huu:

“Tunapita kwenye kipindi kigumu cha utawala usioamini katika kazi zilizofanywa na Serikali zilizotangulia kwa mfano mchakato wa katiba mpya, uwekezaji kwenye sekta ya gesi, ujenzi wa bandari ya Bagamoyo?”

Hili la Katiba mpya nakuja nalo punde, ila la gesi na Bandari ya Bagamoyo vituamshe na kutuamsha, tumshukuru Mungu kwa nyimbo za zaburi, jamaa hawa wangeingia nchi ingeparaganyika, tungepigwa na leo wangekuwa washaiuza Bagamoyo!

Wanazungumzia eti gesi bomba halijaendelezwa, hawa ni watu naona wanawaza huko Ujerumani zaidi kuliko yanayoendelea Tanzania. Bomba la gesi ndilo linazalisha umeme wa Kinyerezi I (uliokamilika awamu ya nne) na Kinyerezi I-Extension na Kinyerezi II miradi iliyokamilishwa na Awamu ya Tano.

Sasa hivi gesi kutoka bomba hilo imeanza kusambazwa kwa matumizi ya majumbani katika mikoa mbalimbali ikiwemo Mtwara na Dar es Salaam.

Kwa hiyo kusema miradi ya awamu iliyopita (ambayo nayo waliitusi na kuibeza) kuwa imeacha ni kuwaza zaidi mambo ya Ujerumani kuliko kufuatilia yanayotokea nchini mwako!

*9. WANAUMIA SERIKALI KUTOA BEI NZURI YA KOROSHO!*

Hiki ni kutuko kingine katika Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani.

Katika hotuba yao upande mmoja wamejifanya kulilia masoko na bei kwa wakulima lakini hapa wanajichanganya kwa kulaani Serikali kuamua kuwapatia wananchi wazalishaii wa korosho soko la uhakika na zaidi bei nzuri.

Kwa sera ile ya kishoga ya Ujerumani, Chadema wangewaacha wananchi wapigwe na makangomba kwa kupewa bei ya hovyo ndio uholela na uhuru unaohubiriwa katika “social market economy” ili kuwaachia mabepari wawapige maskini.

Lakini pia hotuba yao inajichanganya kutoka aya moja hadi nyingine. Wakati wanapinga Serikali kuwalipa wananchi bei nzuri, aya zilizofuata Chadema wenyewe waliandika wakilalamika:

“Mheshimiwa Spika, Uchumi wa Viwanda kwa nchi hii utafikiwa tu, pale bei za mazao ya kilimo zitakapokuwa nzuri na hivyo kumfanya mkulima kuongeza uzalishaji kwa kutumia teknolojia bora na ya kisasa.”

Korosho ya Mtwara kila Mtanzania anajua, Serikali iliingilia kati suala ambalo soko huria wanalotetea Chadema lilishakuwa la kuwaumiza wananchi na sasa wananchi wamelipwa haki yao ya kupata bei nzuri na ndio lengo kuu la Serikali na limeshatimia.

Serikali iliyobaki na korosho hiyo itaamua lini na wapi pa kuuza. Kuna shida hapo?

*10. HAWA BADO, USHAMBA MWIIIINGI!*

Nitamalizia na vituko vitatu au vine vinavyoonesha hawa jamaa wanaishi tu kwa kiki hakuna chama cha kuongoza nchi katika upinzani huu wa Kijerumanijerumani.

Mosi, wanasema wao badala ya Serikali iliyotenga trilioni 10 kulipa deni la Taifa, wao wangetenga trilioni sita. Kituko.

Katika bajeti kiwango cha deni la Taifa kinazingatia mikataba ya madeni hayo, leo vipi ukurupuke tu haujaiona mikataba ya madeni na kujua gani kwa mwakani yameiva, haujajua riba husika unakurupuka tu kusema utaweka trilioni 6 eti cyingine utajadiliana. Vipi ukijadiliana ukashindwa na haujaweka kwenye bajeti! Ukilaza!

Pili, nimeona vipaumbele vyao mbadala!Nimecheka sana. Khaa! Huruma sana!

Katika vipaumbele vyao, tofauti na Ilani yao ya 2015-2020, maoni waliyoyaweka kwenye Hotuba Mbadala, Chadema hawajaoneshi popote kwenye vipaumbele vyao suala wanaloliimba sana kwa umma la Katiba mpya!Washasahau wanasimamia nini!

Kwa hiyo Katiba mpya wanaitumia tu kama kiki ya kisiasa majukwaani, wangekuwa Serikalini leo, isingekuwa kipaumbele chao! Safi sana wazee wa Ujeremani. Mnanifurahisha sana!

Tatu, wanajichanganya zaidi kwa kusema eti wao watamuenzi Nyerere kwa kuwekeza katika maendeleo ya watu na sio vitu. Hawa hawana itikadi wamwache Nyerere wa watu apumzike kwa amani.

Mwalimu Nyerere hakuwahi kudharau kimojawapo kama wao wanavyotaka kufasiri na kama angedharau maendeleo ya vitu asingechukua mkopo China kujenga Tazara na asijengeja miundombinu mingine.

Yapo mambo ya kukariri kama ya huko Ujerumani kwao waendelee nayo lakini sio kupotosha kauli za mwasisi wetu.

Mwalimu aliamini katika maendeleo ya watu na vitu na hata kama watu wanakuwa mbele lakini vitu ni muhimu kwao ili kunufaika. Ndicho inachofanya Serikali ya sasa.

Nne, unaweza kudhani Chadema wamejifunza lakini kumbe hawa ni sawa na kile kisa cha mjinga na mpumbavu mmojawapo hata umtwange kwenye kinu atatoka hajajifunza lolote-kwa nini?

Nimeshangaa hivi zama na nyakati hizi unaweza kuwa na Bajeti Mbadala inayopinga miradi muhimu kwa wananchi kama SGR na Stiglers! Huwezi amini, wasikie jamaa zako:

“Mheshimiwa Spika, Serikali ya awamu ya tano inatekeleza miradi ambayo sisi tunaona ipo kisiasa zaidi na hakuna mkakati wala mpango wa kibiashara ambao umewekwa wazi na Serikali hadi sasa.Naomba kutoa ufafanuzi na uchambuzi kwenye miradi mitatu yaani Mradi wa Reli ya Standard Gauge (SGR), Ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme- MW 2,100 maarufu kama Stieglers Gorge na Kufufua Shirika la Ndege (ATCL)”

Dah, kazi ipo, yaani miradi hii iliyoajiri maelfu na itakayowakomboa mamilioni zaidi “ni ya kisiasa zaidi?” Pale awali nilieleza malalamiko ya Chadema kuhusu watu kukosa umeme, mradi wa Stiglers hawaoni manufaa yake?

Leo wanapanda ndege kwenye majimboni mwao bado wanaona ndege hazina maana? Mtu anaponda reli ya SGR, haoni manufaa yake kiuchumi katika usafiri wa abiria na mizigo?

Hawaoni kweli au ndio wamenaswa huko Ujerumani na Kamanda Jens Spahn ambaye nasikia wakati wowote mwaka huu ataolewa huko Ujerumani (nikiamini Mbowe atahudhuria harusi hiyo)!

Hiki ndio chama mbadala kweli?Hizi ndio sera mbadala kweli? Na hii ndio bajeti mbadala kweli?

Tuache dhihaka, hizi ni akadabra tupu hakuna sera mbadala hapo.

Alamsiki.

Niite Mwamba, Mwamba, Mwamba wa Kaskazini.
 
Si ungeweka hapa, hiyo hutuba ya upinzani kuhusu bajeti ya mwaka ujao, tuone hicho unachokisema watu waone kama kina ukweli wowote, vinginevyo utaonekana unaleta ushahidi tu.
 
Hapo kwenye korosho tu ndo nilipodharau bandiko lako.kwamba wakulima wamelipwa wote?mnaendesha nchi kwa propaganda mfu.oneni aibuuuuu
 
Nimesoma namba moja (1) tu na ikanifanya nifanye hitimisho kuwa yeyote alieandika hiki alichokiandika hana ajualo. I mean, kama mwandishi anaamini kuwa social market economy ina maana ya serikali kutokuwa na any say kwenye economy basi hakuna sababu ya mtu yeyote mwenye akili timamu kuendelea kusoma kitu kilichoandikwa na mtu mbumbumbu.
 
Weka hotuba yote then fanya uchambuzi, sio unaleta ushahidi bila kuweka kahotuba maana wengine vichwa vyenu vigumu mmekaa kutetea kila kitu
 
Nimesoma namba moja (1) tu na ikanifanya nifanye hitimisho kuwa yeyote alieandika hiki alichokiandika hana ajualo. I mean, kama mwandishi anaamini kuwa social market economy ina maana ya serikali kutokuwa na any say kwenye economy basi hakuna sababu ya mtu yeyote mwenye akili timamu kuendelea kusoma kitu kilichoandikwa na mtu mbumbumbu.
Hilo bot lipo kazini hapo
 
Ni aibu sana unapoteza muda wako mwingi kuandika mada ndefu halafu wenzako wanatumia dakika moja kuonyesha umeandika ujinga na wakaeleweka.
Ni hatari kuitumia CCM kuficha uzwazwa wako.
 
Kwa kweli ulichoandika ni ujinga wa kiwango cha juu sana. Pole. Nenda kajipange upya.
 
Sijaona hoja humu zaidi ya takataka, pumba, kama wewe ndio mchambuzi wa lumumba basi mwl wako ni polepole
 

*BAJETI MBADALA AU BAJETI AKADABRA YA UPINZANI!; USHAHIDI KUWA HAWAKO TAYARI KUONGOZA NCHI*

*Na Mwamba wa Kaskazini*

Leo nimeskiliza Bajeti Mbadala ya Upinzani Bungeni imebidi nicheke sana, lakini si kwa furaha bali uchungu mkubwa. Nikawaza yale ambayo nilishawahi kuyaandika kwamba kwamba kwa vituko, sanaa, dhihaka na uwezo mdogo waliouonesha wapinzani katika siasa na uongozi ingekuwa vipi kama leo eti Mbowe ndio Waziri wa Fedha, sijui Waziri Mkuu Selasini, Waziri wa Viwanda sijui Lema n.k?

Kusomwa kwa kinachoitwa Bajeti Mbadala ya Upinzani leo Bungeni kumenikumbusha kicheko hiki cha uchungu na kubaki nikijisemea kama kuna jambo la kumshukuru BWANA WA MAJESHI basi ni kutuepusha na kikombe cha Ukawa mwaka 2015.

Kwa hiyo, tukiwaza sote kwa sauti na kwa kina, usanii, utoto na uwezo mdogo wa Chadema na Ukawa wenzao wanaouonesha ndio kusema hivi ndivyo ambavyo nchi ingeendeshwa?

Ngoja nikushirikishe kasoro zao na sababu zangu 10 za kucheka kwa uchungu sana nilipoisikiliza Bajeti yao mbadala.

*1. WAMEIKANA ILANI YAO!*
Mwelekeo wa Bajeti Mbadala ya Chadema ni ushahidi kuwa hawakumbuki mengi waliyoyaahidi kwenye Ilani yao ya Uchaguzi ya 2015-2020.

Hapa wanataja dhana ya kutaka kuleta Uchumi Huria wa Kijamii (Social Market Economy), dhana hii inaamini katika kuuweka uchumi mikononi mwa watu na bila udhibiti wa Serikali.

Lakini tofauti na imani ya dhana wanayoiimba nila kuielewa kwa kina, Chadema katika Ilani yao katika tamko la 3.1.2 wanapingana na dhana hiyo ya kiuchumi kwa kusisitiza kuwa Serikali yao itasimamia uchumi huria na si holela. Zilongwa mbali, zitendwa mbali!

Kwa wasiojua, dhana ya Uchumi Huria wa Kijamii, ilianzia Ujerumani na kupigiwa chapuo sana na Waziri Mkuu wa Ujerumani wa miaka hiyo Konrad Adenaeur, na ilikuja kama mbadala wa ubepari lakini ikiamini zaidi katika kuwapa wananchi na sekta binafsi udhibiti wa uchumi badala ya Serikali.

*2. UCHUMI JAMII AU KULETA USHOGA!*

Sera ya Uchumi Jamii wanayotaka kuja nayo Chadema kwa kushauriwa na kushinikizwa na taasisi ya Konrad Adenaeur, kama nilivyosema hapo juu, ni ya kipumbavu (mnisamehe) kwa sababu kwa kiasi fulani ina mafungamano na kutetea uhuru wa kijamii ikiwemo ushoga.

Ingawa wanachama wengi waasisi wa vyama vya kihafidhina vya Christain Democracy (CDU) na baadaye kilipoungana na CSU kuunda CDU/CSU ambao ndio waasisi wa dhana ya kiuchumi ya Uchumi Jamii, si waungaji sana mkono ushoga, bado utafiti unaonesha wapo dhana hii na ushoga haviwezi kuachana kirahisi:

Mosi, makala iitwayo “Income, Social Support Networks, Life Satisfaction: Lesbians, Gays, and Bisexuals in Germany” iliyoandikwa na Martin Kroh, Simon Kühne, Christian Kipp na David Richter inaonesha mnasaba kwani mashoga asilimia takrinai 21 wa Ujerumani wanakiunga mkono CDU na pacha wake CSU. Utafiti huo unasema katika uk. Wa 4:

“Significantly fewer LGBs who reported long-term party identification support the Christian Democrats (Christlich Demokratische Union, CDU, and Christlich-Soziale Union in Bayern, CSU; 21 percent vs. 35 percent of all persons with long-term party identification).

Pili, mnasaba wa ushoga na nadharia hii ya uchumi unatokana na ukweli kwamba viongozi kadhaa wa CDU na ambao ni waumini wa zama hizi za dhana hii wanayoikariri Chadema ya kiuchumi ni mashoga au washanufaika na ushoga.
Mfano hai kabisa ni mgombea wa nafasi ya kumrithi Angel Merkel katika uchaguzi wa ndani wa Chama, Jens Spahn, Mbunge wa Steinfurt ambaye amekuwa pia Naibu Waziri wa Fedha wa Ujerumani ni shoga aliyekubuhu.

Msome zaidi: https://www.theguardian.com/world/2...an-who-could-replace-merkel-interview-germany

*3. BAJETI YA UONGO NA HADAA!*

Ukiacha dosari ya ushoga inayowaondolea Chadema asilimia hata moja ya kuja kuongoza nchi hii, hotuba yao mbadala ni akadabra tupu; imejaa uongo na hadaa. Sikiliza hii:

Wanasema: “Maendeleo ya kiuchumi hayajapatikana,” hawa wanaumwa, hata kama hatujafika tunakokutaka kufika, huwezi kuja na hitimisho hili la hadaa.

Wanataja ripoti ya ILO, 2018 eti kuonesha mamilioni ya watu nchini hawana umeme wala maji.

Kwanza niseme hata katika nchi za Ulaya sio kote na sio wote wana umeme na maji kila walipo.

Ujenzi wa jamii yenye maendeleo ni safari ndefu na ndio maana hata katika baadhi ya vijiji vya jimbo alilokaa miaka kadhaa Mwenyekiti wao Mbowe hakuna umeme wala maji vya kutosha.

Lakini kama kweli wana nia ya dhati ya kupigania maendeleo haya inakuwaje Chadema hawa hawa, kama tutakavyoona punde, wanapinga miradi muhimu ya kuwaondoa Watanzania katika dhiki hiyo? Kwa nini wanapinga mradi mkubwa wa Umeme wa Stiglers? Hadaa!

*4. VITUKO ZAIDI NA MAGERESHO*

Sikiliza sasa suluhisho la Chadema eti kwa matatizo waliyoyataja hapo juu wanaposema: “Mheshimiwa Spika, Ili kukabiliana na hali tete ya uchumi wa nchi yetu, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kupitia CHADEMA inahimiza uwepo wa mfumo imara wa uchumi unaofanya kazi vizuri.”

Sasa “mfumo imara wa uchumi” unaofanyakazi vizuri ndio huu wa kishoga kutoka Ujerumani? Hawa waache vituko katika kuendesha nchi hii. Waache mageresho.

Kwa hiyo hapa wasitudanganye, hawana mfumo wowote mbadala zaidi ya kujikaribisha kwenye gharika na uharibifu tu. Hakuna wazo mbadala, wanataka sote tubanduliwe tu hawa?

*5. ETI HAWAONI MAFANIKIO YOYOTE NCHINI!*

Chadema wanadai Bajeti ya sasa ni ya uchumi usiopunguza umaskini na hakuna mafanikio katika vita ya kuondoa umaskini.

Kwanza, hawaelezi wala kutambua maendeleo makubwa yaliyopatikana nchini. Hiki ni kiroho papo na kijiba cha roho.

Nchi hii unataka kusema sekta ya afya iko vile vile kama ukoloni?Ujenzi wa barabara uko vile vile au uboreshaji wa shule uko vile vile kama ukoloni?

Lakini pia wanajichanganya mara wanaponda uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 7, mara wanasifu Kenya uchumi wao kukua kwa asilimia 6. Mnasimamia lipi wandugu?Hii ndio bajeti mbadala kweli?

Yani watu wanaotaka kuunda Serikali Tanzania wanataka kujifunza na kujificha kwenye uchumi wa Kenya, uchumi wa kukopa hela kujenga reli na kubaki na madeni mazito wakati sisi reli yetu tunajenga kwa fedha zetu? Unatamani nini cha maana kwa Kenya? Pumbavu (mnisamehe tena).

*6. ETI UWEKEZAJI UMESHUKA?*

Chama hiki bado sana kuongoza nchi, yani wanalala wanaamka kuombea nchi mabaya.

Sasa sikia hiki kituko kingine; licha ya kutoonesha katika wanachoita bajeti mbadala watafanya nini cha maana kuongeza uwekezaji nchini (zaidi ya kuleta ushoga), Chadema wanalaghai umma kama kawaida yao tena.

Katika kijikaratasi kinachoitwa Bajeti Mbadala wanadai, pamoja na mambo mengine, eti uwekezaji kutoka nje (FDI) umeshuka Tanzania. Wataacha lini uongo? Ripoti ya juzi tu (Juni 12, 2019) ya Shirika la Baiashara la UN (UNCTAD) inaonesha kwa Tanzania uwekezaji kutoka nje ya nchi (FDI) kati ya 2017 hadi mwaka jana 2018 umeongezeka kwa asilimia 18. Bado mtu hataki!

Narudia tena, hiki ni chama cha magharika na mapepo! Yako mambo watu wenye nia njema ya kuongoza nchi hawawezi kuyafanyia dhihaka kama hili la kuponda tu hata mambo ambayo kisiasa wangeahidi tu japo kwa mdomo walau kuyaendeleza.

*7. CHADEMA YAUNGANA NA IMF!*

Udhaifu mwingine mkubwa wa hotuba ya Kambi ya Upinzani na kinachoonesha kuwa kama leo wangekuwa wamechukua nchi, Taifa hili lingechezewa na mabeberu watakavyo, hotuba yao, licha ya msimamo wa Serikali ya sasa kusimama upande wa maslahi ya Taifa wao bado wanaungana na IMF na kuisifu na kuifagilia.

Huu ni ushahidi wa wazi kuwa mle hakuna kitu, kama wangechukua nchi tungeendelea kupigwa vya kutosha, si chama wala mashabiki wake pekee, sasa tunaona hata wabunge wa chama hiki, hakuna mwenye msimamo wa kutetea nchi. Wabangaizaji tu. Period!

*8. BADO WATETEA WACHINA BANDARI BAGAMOYO*

Ukisoma hotuba yao unaona dalili za upiga dili mtupu. Chadema hii hii eti leo inalilia mradi wa Bagamoyo ambao tumeshaelezwa ukakasisi wa uwekezaji wake. Sikia upuuzi wao wakitetea mradi huu:

“Tunapita kwenye kipindi kigumu cha utawala usioamini katika kazi zilizofanywa na Serikali zilizotangulia kwa mfano mchakato wa katiba mpya, uwekezaji kwenye sekta ya gesi, ujenzi wa bandari ya Bagamoyo?”

Hili la Katiba mpya nakuja nalo punde, ila la gesi na Bandari ya Bagamoyo vituamshe na kutuamsha, tumshukuru Mungu kwa nyimbo za zaburi, jamaa hawa wangeingia nchi ingeparaganyika, tungepigwa na leo wangekuwa washaiuza Bagamoyo!

Wanazungumzia eti gesi bomba halijaendelezwa, hawa ni watu naona wanawaza huko Ujerumani zaidi kuliko yanayoendelea Tanzania. Bomba la gesi ndilo linazalisha umeme wa Kinyerezi I (uliokamilika awamu ya nne) na Kinyerezi I-Extension na Kinyerezi II miradi iliyokamilishwa na Awamu ya Tano.

Sasa hivi gesi kutoka bomba hilo imeanza kusambazwa kwa matumizi ya majumbani katika mikoa mbalimbali ikiwemo Mtwara na Dar es Salaam.

Kwa hiyo kusema miradi ya awamu iliyopita (ambayo nayo waliitusi na kuibeza) kuwa imeacha ni kuwaza zaidi mambo ya Ujerumani kuliko kufuatilia yanayotokea nchini mwako!

*9. WANAUMIA SERIKALI KUTOA BEI NZURI YA KOROSHO!*

Hiki ni kutuko kingine katika Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani.

Katika hotuba yao upande mmoja wamejifanya kulilia masoko na bei kwa wakulima lakini hapa wanajichanganya kwa kulaani Serikali kuamua kuwapatia wananchi wazalishaii wa korosho soko la uhakika na zaidi bei nzuri.

Kwa sera ile ya kishoga ya Ujerumani, Chadema wangewaacha wananchi wapigwe na makangomba kwa kupewa bei ya hovyo ndio uholela na uhuru unaohubiriwa katika “social market economy” ili kuwaachia mabepari wawapige maskini.

Lakini pia hotuba yao inajichanganya kutoka aya moja hadi nyingine. Wakati wanapinga Serikali kuwalipa wananchi bei nzuri, aya zilizofuata Chadema wenyewe waliandika wakilalamika:

“Mheshimiwa Spika, Uchumi wa Viwanda kwa nchi hii utafikiwa tu, pale bei za mazao ya kilimo zitakapokuwa nzuri na hivyo kumfanya mkulima kuongeza uzalishaji kwa kutumia teknolojia bora na ya kisasa.”

Korosho ya Mtwara kila Mtanzania anajua, Serikali iliingilia kati suala ambalo soko huria wanalotetea Chadema lilishakuwa la kuwaumiza wananchi na sasa wananchi wamelipwa haki yao ya kupata bei nzuri na ndio lengo kuu la Serikali na limeshatimia.

Serikali iliyobaki na korosho hiyo itaamua lini na wapi pa kuuza. Kuna shida hapo?

*10. HAWA BADO, USHAMBA MWIIIINGI!*

Nitamalizia na vituko vitatu au vine vinavyoonesha hawa jamaa wanaishi tu kwa kiki hakuna chama cha kuongoza nchi katika upinzani huu wa Kijerumanijerumani.

Mosi, wanasema wao badala ya Serikali iliyotenga trilioni 10 kulipa deni la Taifa, wao wangetenga trilioni sita. Kituko.

Katika bajeti kiwango cha deni la Taifa kinazingatia mikataba ya madeni hayo, leo vipi ukurupuke tu haujaiona mikataba ya madeni na kujua gani kwa mwakani yameiva, haujajua riba husika unakurupuka tu kusema utaweka trilioni 6 eti cyingine utajadiliana. Vipi ukijadiliana ukashindwa na haujaweka kwenye bajeti! Ukilaza!

Pili, nimeona vipaumbele vyao mbadala!Nimecheka sana. Khaa! Huruma sana!

Katika vipaumbele vyao, tofauti na Ilani yao ya 2015-2020, maoni waliyoyaweka kwenye Hotuba Mbadala, Chadema hawajaoneshi popote kwenye vipaumbele vyao suala wanaloliimba sana kwa umma la Katiba mpya!Washasahau wanasimamia nini!

Kwa hiyo Katiba mpya wanaitumia tu kama kiki ya kisiasa majukwaani, wangekuwa Serikalini leo, isingekuwa kipaumbele chao! Safi sana wazee wa Ujeremani. Mnanifurahisha sana!

Tatu, wanajichanganya zaidi kwa kusema eti wao watamuenzi Nyerere kwa kuwekeza katika maendeleo ya watu na sio vitu. Hawa hawana itikadi wamwache Nyerere wa watu apumzike kwa amani.

Mwalimu Nyerere hakuwahi kudharau kimojawapo kama wao wanavyotaka kufasiri na kama angedharau maendeleo ya vitu asingechukua mkopo China kujenga Tazara na asijengeja miundombinu mingine.

Yapo mambo ya kukariri kama ya huko Ujerumani kwao waendelee nayo lakini sio kupotosha kauli za mwasisi wetu.

Mwalimu aliamini katika maendeleo ya watu na vitu na hata kama watu wanakuwa mbele lakini vitu ni muhimu kwao ili kunufaika. Ndicho inachofanya Serikali ya sasa.

Nne, unaweza kudhani Chadema wamejifunza lakini kumbe hawa ni sawa na kile kisa cha mjinga na mpumbavu mmojawapo hata umtwange kwenye kinu atatoka hajajifunza lolote-kwa nini?

Nimeshangaa hivi zama na nyakati hizi unaweza kuwa na Bajeti Mbadala inayopinga miradi muhimu kwa wananchi kama SGR na Stiglers! Huwezi amini, wasikie jamaa zako:

“Mheshimiwa Spika, Serikali ya awamu ya tano inatekeleza miradi ambayo sisi tunaona ipo kisiasa zaidi na hakuna mkakati wala mpango wa kibiashara ambao umewekwa wazi na Serikali hadi sasa.Naomba kutoa ufafanuzi na uchambuzi kwenye miradi mitatu yaani Mradi wa Reli ya Standard Gauge (SGR), Ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme- MW 2,100 maarufu kama Stieglers Gorge na Kufufua Shirika la Ndege (ATCL)”

Dah, kazi ipo, yaani miradi hii iliyoajiri maelfu na itakayowakomboa mamilioni zaidi “ni ya kisiasa zaidi?” Pale awali nilieleza malalamiko ya Chadema kuhusu watu kukosa umeme, mradi wa Stiglers hawaoni manufaa yake?

Leo wanapanda ndege kwenye majimboni mwao bado wanaona ndege hazina maana? Mtu anaponda reli ya SGR, haoni manufaa yake kiuchumi katika usafiri wa abiria na mizigo?

Hawaoni kweli au ndio wamenaswa huko Ujerumani na Kamanda Jens Spahn ambaye nasikia wakati wowote mwaka huu ataolewa huko Ujerumani (nikiamini Mbowe atahudhuria harusi hiyo)!

Hiki ndio chama mbadala kweli?Hizi ndio sera mbadala kweli? Na hii ndio bajeti mbadala kweli?

Tuache dhihaka, hizi ni akadabra tupu hakuna sera mbadala hapo.

Alamsiki.

Niite Mwamba, Mwamba, Mwamba wa Kaskazini.
Blix, au firigisi, unaumwa kichwani mdogo wangu. Huu ni utumbo ulioandika, watu watakustahi kukushambulia, kwa kuandika habari za ushoga, saikolojia inasema una diklea interest kwamba wewe ni shoga, unaogopa competition!!!! Shoga wetu looh watu hawakukujua. Shoga mgonjwa kichwani wewe.
 
*BAJETI MBADALA AU BAJETI AKADABRA YA UPINZANI!; USHAHIDI KUWA HAWAKO TAYARI KUONGOZA NCHI*
*Na Mwamba wa Kaskazini*
Leo nimeskiliza Bajeti Mbadala ya Upinzani Bungeni imebidi nicheke sana, lakini si kwa furaha bali uchungu mkubwa. Nikawaza yale ambayo nilishawahi kuyaandika kwamba kwamba kwa vituko, sanaa, dhihaka na uwezo mdogo waliouonesha wapinzani katika siasa na uongozi ingekuwa vipi kama leo eti Mbowe ndio Waziri wa Fedha, sijui Waziri Mkuu Selasini, Waziri wa Viwanda sijui Lema n.k?
Kusomwa kwa kinachoitwa Bajeti Mbadala ya Upinzani leo Bungeni kumenikumbusha kicheko hiki cha uchungu na kubaki nikijisemea kama kuna jambo la kumshukuru BWANA WA MAJESHI basi ni kutuepusha na kikombe cha Ukawa mwaka 2015.
Kwa hiyo, tukiwaza sote kwa sauti na kwa kina, usanii, utoto na uwezo mdogo wa Chadema na Ukawa wenzao wanaouonesha ndio kusema hivi ndivyo ambavyo nchi ingeendeshwa?
Ngoja nikushirikishe kasoro zao na sababu zangu 10 za kucheka kwa uchungu sana nilipoisikiliza Bajeti yao mbadala.
*1. WAMEIKANA ILANI YAO!*
Mwelekeo wa Bajeti Mbadala ya Chadema ni ushahidi kuwa hawakumbuki mengi waliyoyaahidi kwenye Ilani yao ya Uchaguzi ya 2015-2020.
Hapa wanataja dhana ya kutaka kuleta Uchumi Huria wa Kijamii (Social Market Economy), dhana hii inaamini katika kuuweka uchumi mikononi mwa watu na bila udhibiti wa Serikali.
Lakini tofauti na imani ya dhana wanayoiimba nila kuielewa kwa kina, Chadema katika Ilani yao katika tamko la 3.1.2 wanapingana na dhana hiyo ya kiuchumi kwa kusisitiza kuwa Serikali yao itasimamia uchumi huria na si holela. Zilongwa mbali, zitendwa mbali!
Kwa wasiojua, dhana ya Uchumi Huria wa Kijamii, ilianzia Ujerumani na kupigiwa chapuo sana na Waziri Mkuu wa Ujerumani wa miaka hiyo Konrad Adenaeur, na ilikuja kama mbadala wa ubepari lakini ikiamini zaidi katika kuwapa wananchi na sekta binafsi udhibiti wa uchumi badala ya Serikali.
*2. UCHUMI JAMII AU KULETA USHOGA!*
Sera ya Uchumi Jamii wanayotaka kuja nayo Chadema kwa kushauriwa na kushinikizwa na taasisi ya Konrad Adenaeur, kama nilivyosema hapo juu, ni ya kipumbavu (mnisamehe) kwa sababu kwa kiasi fulani ina mafungamano na kutetea uhuru wa kijamii ikiwemo ushoga.
Ingawa wanachama wengi waasisi wa vyama vya kihafidhina vya Christain Democracy (CDU) na baadaye kilipoungana na CSU kuunda CDU/CSU ambao ndio waasisi wa dhana ya kiuchumi ya Uchumi Jamii, si waungaji sana mkono ushoga, bado utafiti unaonesha wapo dhana hii na ushoga haviwezi kuachana kirahisi:
Mosi, makala iitwayo “Income, Social Support Networks, Life Satisfaction: Lesbians, Gays, and Bisexuals in Germany” iliyoandikwa na Martin Kroh, Simon Kühne, Christian Kipp na David Richter inaonesha mnasaba kwani mashoga asilimia takrinai 21 wa Ujerumani wanakiunga mkono CDU na pacha wake CSU. Utafiti huo unasema katika uk. Wa 4:
“Significantly fewer LGBs who reported long-term party identification support the Christian Democrats (Christlich Demokratische Union, CDU, and Christlich-Soziale Union in Bayern, CSU; 21 percent vs. 35 percent of all persons with long-term party identification).
Pili, mnasaba wa ushoga na nadharia hii ya uchumi unatokana na ukweli kwamba viongozi kadhaa wa CDU na ambao ni waumini wa zama hizi za dhana hii wanayoikariri Chadema ya kiuchumi ni mashoga au washanufaika na ushoga.
Mfano hai kabisa ni mgombea wa nafasi ya kumrithi Angel Merkel katika uchaguzi wa ndani wa Chama, Jens Spahn, Mbunge wa Steinfurt ambaye amekuwa pia Naibu Waziri wa Fedha wa Ujerumani ni shoga aliyekubuhu.
Msome zaidi: https://www.theguardian.com/world/2...an-who-could-replace-merkel-interview-germany
*3. BAJETI YA UONGO NA HADAA!*
Ukiacha dosari ya ushoga inayowaondolea Chadema asilimia hata moja ya kuja kuongoza nchi hii, hotuba yao mbadala ni akadabra tupu; imejaa uongo na hadaa. Sikiliza hii:
Wanasema: “Maendeleo ya kiuchumi hayajapatikana,” hawa wanaumwa, hata kama hatujafika tunakokutaka kufika, huwezi kuja na hitimisho hili la hadaa.
Wanataja ripoti ya ILO, 2018 eti kuonesha mamilioni ya watu nchini hawana umeme wala maji.
Kwanza niseme hata katika nchi za Ulaya sio kote na sio wote wana umeme na maji kila walipo.
Ujenzi wa jamii yenye maendeleo ni safari ndefu na ndio maana hata katika baadhi ya vijiji vya jimbo alilokaa miaka kadhaa Mwenyekiti wao Mbowe hakuna umeme wala maji vya kutosha.
Lakini kama kweli wana nia ya dhati ya kupigania maendeleo haya inakuwaje Chadema hawa hawa, kama tutakavyoona punde, wanapinga miradi muhimu ya kuwaondoa Watanzania katika dhiki hiyo? Kwa nini wanapinga mradi mkubwa wa Umeme wa Stiglers? Hadaa!
*4. VITUKO ZAIDI NA MAGERESHO*
Sikiliza sasa suluhisho la Chadema eti kwa matatizo waliyoyataja hapo juu wanaposema: “Mheshimiwa Spika, Ili kukabiliana na hali tete ya uchumi wa nchi yetu, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kupitia CHADEMA inahimiza uwepo wa mfumo imara wa uchumi unaofanya kazi vizuri.”
Sasa “mfumo imara wa uchumi” unaofanyakazi vizuri ndio huu wa kishoga kutoka Ujerumani? Hawa waache vituko katika kuendesha nchi hii. Waache mageresho.
Kwa hiyo hapa wasitudanganye, hawana mfumo wowote mbadala zaidi ya kujikaribisha kwenye gharika na uharibifu tu. Hakuna wazo mbadala, wanataka sote tubanduliwe tu hawa?
*5. ETI HAWAONI MAFANIKIO YOYOTE NCHINI!*
Chadema wanadai Bajeti ya sasa ni ya uchumi usiopunguza umaskini na hakuna mafanikio katika vita ya kuondoa umaskini.
Kwanza, hawaelezi wala kutambua maendeleo makubwa yaliyopatikana nchini. Hiki ni kiroho papo na kijiba cha roho.
Nchi hii unataka kusema sekta ya afya iko vile vile kama ukoloni?Ujenzi wa barabara uko vile vile au uboreshaji wa shule uko vile vile kama ukoloni?
Lakini pia wanajichanganya mara wanaponda uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 7, mara wanasifu Kenya uchumi wao kukua kwa asilimia 6. Mnasimamia lipi wandugu?Hii ndio bajeti mbadala kweli?
Yani watu wanaotaka kuunda Serikali Tanzania wanataka kujifunza na kujificha kwenye uchumi wa Kenya, uchumi wa kukopa hela kujenga reli na kubaki na madeni mazito wakati sisi reli yetu tunajenga kwa fedha zetu? Unatamani nini cha maana kwa Kenya? Pumbavu (mnisamehe tena).
*6. ETI UWEKEZAJI UMESHUKA?*
Chama hiki bado sana kuongoza nchi, yani wanalala wanaamka kuombea nchi mabaya.
Sasa sikia hiki kituko kingine; licha ya kutoonesha katika wanachoita bajeti mbadala watafanya nini cha maana kuongeza uwekezaji nchini (zaidi ya kuleta ushoga), Chadema wanalaghai umma kama kawaida yao tena.
Katika kijikaratasi kinachoitwa Bajeti Mbadala wanadai, pamoja na mambo mengine, eti uwekezaji kutoka nje (FDI) umeshuka Tanzania. Wataacha lini uongo? Ripoti ya juzi tu (Juni 12, 2019) ya Shirika la Baiashara la UN (UNCTAD) inaonesha kwa Tanzania uwekezaji kutoka nje ya nchi (FDI) kati ya 2017 hadi mwaka jana 2018 umeongezeka kwa asilimia 18. Bado mtu hataki!
Narudia tena, hiki ni chama cha magharika na mapepo! Yako mambo watu wenye nia njema ya kuongoza nchi hawawezi kuyafanyia dhihaka kama hili la kuponda tu hata mambo ambayo kisiasa wangeahidi tu japo kwa mdomo walau kuyaendeleza.
*7. CHADEMA YAUNGANA NA IMF!*
Udhaifu mwingine mkubwa wa hotuba ya Kambi ya Upinzani na kinachoonesha kuwa kama leo wangekuwa wamechukua nchi, Taifa hili lingechezewa na mabeberu watakavyo, hotuba yao, licha ya msimamo wa Serikali ya sasa kusimama upande wa maslahi ya Taifa wao bado wanaungana na IMF na kuisifu na kuifagilia.
Huu ni ushahidi wa wazi kuwa mle hakuna kitu, kama wangechukua nchi tungeendelea kupigwa vya kutosha, si chama wala mashabiki wake pekee, sasa tunaona hata wabunge wa chama hiki, hakuna mwenye msimamo wa kutetea nchi. Wabangaizaji tu. Period!
*8. BADO WATETEA WACHINA BANDARI BAGAMOYO*
Ukisoma hotuba yao unaona dalili za upiga dili mtupu. Chadema hii hii eti leo inalilia mradi wa Bagamoyo ambao tumeshaelezwa ukakasisi wa uwekezaji wake. Sikia upuuzi wao wakitetea mradi huu:
“Tunapita kwenye kipindi kigumu cha utawala usioamini katika kazi zilizofanywa na Serikali zilizotangulia kwa mfano mchakato wa katiba mpya, uwekezaji kwenye sekta ya gesi, ujenzi wa bandari ya Bagamoyo?”
Hili la Katiba mpya nakuja nalo punde, ila la gesi na Bandari ya Bagamoyo vituamshe na kutuamsha, tumshukuru Mungu kwa nyimbo za zaburi, jamaa hawa wangeingia nchi ingeparaganyika, tungepigwa na leo wangekuwa washaiuza Bagamoyo!
Wanazungumzia eti gesi bomba halijaendelezwa, hawa ni watu naona wanawaza huko Ujerumani zaidi kuliko yanayoendelea Tanzania. Bomba la gesi ndilo linazalisha umeme wa Kinyerezi I (uliokamilika awamu ya nne) na Kinyerezi I-Extension na Kinyerezi II miradi iliyokamilishwa na Awamu ya Tano.
Sasa hivi gesi kutoka bomba hilo imeanza kusambazwa kwa matumizi ya majumbani katika mikoa mbalimbali ikiwemo Mtwara na Dar es Salaam.
Kwa hiyo kusema miradi ya awamu iliyopita (ambayo nayo waliitusi na kuibeza) kuwa imeacha ni kuwaza zaidi mambo ya Ujerumani kuliko kufuatilia yanayotokea nchini mwako!
*9. WANAUMIA SERIKALI KUTOA BEI NZURI YA KOROSHO!*
Hiki ni kutuko kingine katika Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani.
Katika hotuba yao upande mmoja wamejifanya kulilia masoko na bei kwa wakulima lakini hapa wanajichanganya kwa kulaani Serikali kuamua kuwapatia wananchi wazalishaii wa korosho soko la uhakika na zaidi bei nzuri.
Kwa sera ile ya kishoga ya Ujerumani, Chadema wangewaacha wananchi wapigwe na makangomba kwa kupewa bei ya hovyo ndio uholela na uhuru unaohubiriwa katika “social market economy” ili kuwaachia mabepari wawapige maskini.
Lakini pia hotuba yao inajichanganya kutoka aya moja hadi nyingine. Wakati wanapinga Serikali kuwalipa wananchi bei nzuri, aya zilizofuata Chadema wenyewe waliandika wakilalamika:
“Mheshimiwa Spika, Uchumi wa Viwanda kwa nchi hii utafikiwa tu, pale bei za mazao ya kilimo zitakapokuwa nzuri na hivyo kumfanya mkulima kuongeza uzalishaji kwa kutumia teknolojia bora na ya kisasa.”
Korosho ya Mtwara kila Mtanzania anajua, Serikali iliingilia kati suala ambalo soko huria wanalotetea Chadema lilishakuwa la kuwaumiza wananchi na sasa wananchi wamelipwa haki yao ya kupata bei nzuri na ndio lengo kuu la Serikali na limeshatimia.
Serikali iliyobaki na korosho hiyo itaamua lini na wapi pa kuuza. Kuna shida hapo?
*10. HAWA BADO, USHAMBA MWIIIINGI!*
Nitamalizia na vituko vitatu au vine vinavyoonesha hawa jamaa wanaishi tu kwa kiki hakuna chama cha kuongoza nchi katika upinzani huu wa Kijerumanijerumani.
Mosi, wanasema wao badala ya Serikali iliyotenga trilioni 10 kulipa deni la Taifa, wao wangetenga trilioni sita. Kituko.
Katika bajeti kiwango cha deni la Taifa kinazingatia mikataba ya madeni hayo, leo vipi ukurupuke tu haujaiona mikataba ya madeni na kujua gani kwa mwakani yameiva, haujajua riba husika unakurupuka tu kusema utaweka trilioni 6 eti cyingine utajadiliana. Vipi ukijadiliana ukashindwa na haujaweka kwenye bajeti! Ukilaza!
Pili, nimeona vipaumbele vyao mbadala!Nimecheka sana. Khaa! Huruma sana!
Katika vipaumbele vyao, tofauti na Ilani yao ya 2015-2020, maoni waliyoyaweka kwenye Hotuba Mbadala, Chadema hawajaoneshi popote kwenye vipaumbele vyao suala wanaloliimba sana kwa umma la Katiba mpya!Washasahau wanasimamia nini!
Kwa hiyo Katiba mpya wanaitumia tu kama kiki ya kisiasa majukwaani, wangekuwa Serikalini leo, isingekuwa kipaumbele chao! Safi sana wazee wa Ujeremani. Mnanifurahisha sana!
Tatu, wanajichanganya zaidi kwa kusema eti wao watamuenzi Nyerere kwa kuwekeza katika maendeleo ya watu na sio vitu. Hawa hawana itikadi wamwache Nyerere wa watu apumzike kwa amani.
Mwalimu Nyerere hakuwahi kudharau kimojawapo kama wao wanavyotaka kufasiri na kama angedharau maendeleo ya vitu asingechukua mkopo China kujenga Tazara na asijengeja miundombinu mingine.
Yapo mambo ya kukariri kama ya huko Ujerumani kwao waendelee nayo lakini sio kupotosha kauli za mwasisi wetu.
Mwalimu aliamini katika maendeleo ya watu na vitu na hata kama watu wanakuwa mbele lakini vitu ni muhimu kwao ili kunufaika. Ndicho inachofanya Serikali ya sasa.
Nne, unaweza kudhani Chadema wamejifunza lakini kumbe hawa ni sawa na kile kisa cha mjinga na mpumbavu mmojawapo hata umtwange kwenye kinu atatoka hajajifunza lolote-kwa nini?
Nimeshangaa hivi zama na nyakati hizi unaweza kuwa na Bajeti Mbadala inayopinga miradi muhimu kwa wananchi kama SGR na Stiglers! Huwezi amini, wasikie jamaa zako:
“Mheshimiwa Spika, Serikali ya awamu ya tano inatekeleza miradi ambayo sisi tunaona ipo kisiasa zaidi na hakuna mkakati wala mpango wa kibiashara ambao umewekwa wazi na Serikali hadi sasa.Naomba kutoa ufafanuzi na uchambuzi kwenye miradi mitatu yaani Mradi wa Reli ya Standard Gauge (SGR), Ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme- MW 2,100 maarufu kama Stieglers Gorge na Kufufua Shirika la Ndege (ATCL)”
Dah, kazi ipo, yaani miradi hii iliyoajiri maelfu na itakayowakomboa mamilioni zaidi “ni ya kisiasa zaidi?” Pale awali nilieleza malalamiko ya Chadema kuhusu watu kukosa umeme, mradi wa Stiglers hawaoni manufaa yake?
Leo wanapanda ndege kwenye majimboni mwao bado wanaona ndege hazina maana? Mtu anaponda reli ya SGR, haoni manufaa yake kiuchumi katika usafiri wa abiria na mizigo?
Hawaoni kweli au ndio wamenaswa huko Ujerumani na Kamanda Jens Spahn ambaye nasikia wakati wowote mwaka huu ataolewa huko Ujerumani (nikiamini Mbowe atahudhuria harusi hiyo)!
Hiki ndio chama mbadala kweli?Hizi ndio sera mbadala kweli? Na hii ndio bajeti mbadala kweli?
Tuache dhihaka, hizi ni akadabra tupu hakuna sera mbadala hapo.
Alamsiki.
Niite Mwamba, Mwamba, Mwamba wa Kaskazini.
AKADABRA! neno hili maana yake ni nini?
ABRACADABRA, je, ilikuwa na maana ya neno hili?
Ukitoa maelezo ya haya mawili nitarudi.
 

*BAJETI MBADALA AU BAJETI AKADABRA YA UPINZANI!; USHAHIDI KUWA HAWAKO TAYARI KUONGOZA NCHI*

*Na Mwamba wa Kaskazini*

Leo nimeskiliza Bajeti Mbadala ya Upinzani Bungeni imebidi nicheke sana, lakini si kwa furaha bali uchungu mkubwa. Nikawaza yale ambayo nilishawahi kuyaandika kwamba kwamba kwa vituko, sanaa, dhihaka na uwezo mdogo waliouonesha wapinzani katika siasa na uongozi ingekuwa vipi kama leo eti Mbowe ndio Waziri wa Fedha, sijui Waziri Mkuu Selasini, Waziri wa Viwanda sijui Lema n.k?

Kusomwa kwa kinachoitwa Bajeti Mbadala ya Upinzani leo Bungeni kumenikumbusha kicheko hiki cha uchungu na kubaki nikijisemea kama kuna jambo la kumshukuru BWANA WA MAJESHI basi ni kutuepusha na kikombe cha Ukawa mwaka 2015.

Kwa hiyo, tukiwaza sote kwa sauti na kwa kina, usanii, utoto na uwezo mdogo wa Chadema na Ukawa wenzao wanaouonesha ndio kusema hivi ndivyo ambavyo nchi ingeendeshwa?

Ngoja nikushirikishe kasoro zao na sababu zangu 10 za kucheka kwa uchungu sana nilipoisikiliza Bajeti yao mbadala.

*1. WAMEIKANA ILANI YAO!*
Mwelekeo wa Bajeti Mbadala ya Chadema ni ushahidi kuwa hawakumbuki mengi waliyoyaahidi kwenye Ilani yao ya Uchaguzi ya 2015-2020.

Hapa wanataja dhana ya kutaka kuleta Uchumi Huria wa Kijamii (Social Market Economy), dhana hii inaamini katika kuuweka uchumi mikononi mwa watu na bila udhibiti wa Serikali.

Lakini tofauti na imani ya dhana wanayoiimba nila kuielewa kwa kina, Chadema katika Ilani yao katika tamko la 3.1.2 wanapingana na dhana hiyo ya kiuchumi kwa kusisitiza kuwa Serikali yao itasimamia uchumi huria na si holela. Zilongwa mbali, zitendwa mbali!

Kwa wasiojua, dhana ya Uchumi Huria wa Kijamii, ilianzia Ujerumani na kupigiwa chapuo sana na Waziri Mkuu wa Ujerumani wa miaka hiyo Konrad Adenaeur, na ilikuja kama mbadala wa ubepari lakini ikiamini zaidi katika kuwapa wananchi na sekta binafsi udhibiti wa uchumi badala ya Serikali.

*2. UCHUMI JAMII AU KULETA USHOGA!*

Sera ya Uchumi Jamii wanayotaka kuja nayo Chadema kwa kushauriwa na kushinikizwa na taasisi ya Konrad Adenaeur, kama nilivyosema hapo juu, ni ya kipumbavu (mnisamehe) kwa sababu kwa kiasi fulani ina mafungamano na kutetea uhuru wa kijamii ikiwemo ushoga.

Ingawa wanachama wengi waasisi wa vyama vya kihafidhina vya Christain Democracy (CDU) na baadaye kilipoungana na CSU kuunda CDU/CSU ambao ndio waasisi wa dhana ya kiuchumi ya Uchumi Jamii, si waungaji sana mkono ushoga, bado utafiti unaonesha wapo dhana hii na ushoga haviwezi kuachana kirahisi:

Mosi, makala iitwayo “Income, Social Support Networks, Life Satisfaction: Lesbians, Gays, and Bisexuals in Germany” iliyoandikwa na Martin Kroh, Simon Kühne, Christian Kipp na David Richter inaonesha mnasaba kwani mashoga asilimia takrinai 21 wa Ujerumani wanakiunga mkono CDU na pacha wake CSU. Utafiti huo unasema katika uk. Wa 4:

“Significantly fewer LGBs who reported long-term party identification support the Christian Democrats (Christlich Demokratische Union, CDU, and Christlich-Soziale Union in Bayern, CSU; 21 percent vs. 35 percent of all persons with long-term party identification).

Pili, mnasaba wa ushoga na nadharia hii ya uchumi unatokana na ukweli kwamba viongozi kadhaa wa CDU na ambao ni waumini wa zama hizi za dhana hii wanayoikariri Chadema ya kiuchumi ni mashoga au washanufaika na ushoga.
Mfano hai kabisa ni mgombea wa nafasi ya kumrithi Angel Merkel katika uchaguzi wa ndani wa Chama, Jens Spahn, Mbunge wa Steinfurt ambaye amekuwa pia Naibu Waziri wa Fedha wa Ujerumani ni shoga aliyekubuhu.

Msome zaidi: https://www.theguardian.com/world/2...an-who-could-replace-merkel-interview-germany

*3. BAJETI YA UONGO NA HADAA!*

Ukiacha dosari ya ushoga inayowaondolea Chadema asilimia hata moja ya kuja kuongoza nchi hii, hotuba yao mbadala ni akadabra tupu; imejaa uongo na hadaa. Sikiliza hii:

Wanasema: “Maendeleo ya kiuchumi hayajapatikana,” hawa wanaumwa, hata kama hatujafika tunakokutaka kufika, huwezi kuja na hitimisho hili la hadaa.

Wanataja ripoti ya ILO, 2018 eti kuonesha mamilioni ya watu nchini hawana umeme wala maji.

Kwanza niseme hata katika nchi za Ulaya sio kote na sio wote wana umeme na maji kila walipo.

Ujenzi wa jamii yenye maendeleo ni safari ndefu na ndio maana hata katika baadhi ya vijiji vya jimbo alilokaa miaka kadhaa Mwenyekiti wao Mbowe hakuna umeme wala maji vya kutosha.

Lakini kama kweli wana nia ya dhati ya kupigania maendeleo haya inakuwaje Chadema hawa hawa, kama tutakavyoona punde, wanapinga miradi muhimu ya kuwaondoa Watanzania katika dhiki hiyo? Kwa nini wanapinga mradi mkubwa wa Umeme wa Stiglers? Hadaa!

*4. VITUKO ZAIDI NA MAGERESHO*

Sikiliza sasa suluhisho la Chadema eti kwa matatizo waliyoyataja hapo juu wanaposema: “Mheshimiwa Spika, Ili kukabiliana na hali tete ya uchumi wa nchi yetu, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kupitia CHADEMA inahimiza uwepo wa mfumo imara wa uchumi unaofanya kazi vizuri.”

Sasa “mfumo imara wa uchumi” unaofanyakazi vizuri ndio huu wa kishoga kutoka Ujerumani? Hawa waache vituko katika kuendesha nchi hii. Waache mageresho.

Kwa hiyo hapa wasitudanganye, hawana mfumo wowote mbadala zaidi ya kujikaribisha kwenye gharika na uharibifu tu. Hakuna wazo mbadala, wanataka sote tubanduliwe tu hawa?

*5. ETI HAWAONI MAFANIKIO YOYOTE NCHINI!*

Chadema wanadai Bajeti ya sasa ni ya uchumi usiopunguza umaskini na hakuna mafanikio katika vita ya kuondoa umaskini.

Kwanza, hawaelezi wala kutambua maendeleo makubwa yaliyopatikana nchini. Hiki ni kiroho papo na kijiba cha roho.

Nchi hii unataka kusema sekta ya afya iko vile vile kama ukoloni?Ujenzi wa barabara uko vile vile au uboreshaji wa shule uko vile vile kama ukoloni?

Lakini pia wanajichanganya mara wanaponda uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 7, mara wanasifu Kenya uchumi wao kukua kwa asilimia 6. Mnasimamia lipi wandugu?Hii ndio bajeti mbadala kweli?

Yani watu wanaotaka kuunda Serikali Tanzania wanataka kujifunza na kujificha kwenye uchumi wa Kenya, uchumi wa kukopa hela kujenga reli na kubaki na madeni mazito wakati sisi reli yetu tunajenga kwa fedha zetu? Unatamani nini cha maana kwa Kenya? Pumbavu (mnisamehe tena).

*6. ETI UWEKEZAJI UMESHUKA?*

Chama hiki bado sana kuongoza nchi, yani wanalala wanaamka kuombea nchi mabaya.

Sasa sikia hiki kituko kingine; licha ya kutoonesha katika wanachoita bajeti mbadala watafanya nini cha maana kuongeza uwekezaji nchini (zaidi ya kuleta ushoga), Chadema wanalaghai umma kama kawaida yao tena.

Katika kijikaratasi kinachoitwa Bajeti Mbadala wanadai, pamoja na mambo mengine, eti uwekezaji kutoka nje (FDI) umeshuka Tanzania. Wataacha lini uongo? Ripoti ya juzi tu (Juni 12, 2019) ya Shirika la Baiashara la UN (UNCTAD) inaonesha kwa Tanzania uwekezaji kutoka nje ya nchi (FDI) kati ya 2017 hadi mwaka jana 2018 umeongezeka kwa asilimia 18. Bado mtu hataki!

Narudia tena, hiki ni chama cha magharika na mapepo! Yako mambo watu wenye nia njema ya kuongoza nchi hawawezi kuyafanyia dhihaka kama hili la kuponda tu hata mambo ambayo kisiasa wangeahidi tu japo kwa mdomo walau kuyaendeleza.

*7. CHADEMA YAUNGANA NA IMF!*

Udhaifu mwingine mkubwa wa hotuba ya Kambi ya Upinzani na kinachoonesha kuwa kama leo wangekuwa wamechukua nchi, Taifa hili lingechezewa na mabeberu watakavyo, hotuba yao, licha ya msimamo wa Serikali ya sasa kusimama upande wa maslahi ya Taifa wao bado wanaungana na IMF na kuisifu na kuifagilia.

Huu ni ushahidi wa wazi kuwa mle hakuna kitu, kama wangechukua nchi tungeendelea kupigwa vya kutosha, si chama wala mashabiki wake pekee, sasa tunaona hata wabunge wa chama hiki, hakuna mwenye msimamo wa kutetea nchi. Wabangaizaji tu. Period!

*8. BADO WATETEA WACHINA BANDARI BAGAMOYO*

Ukisoma hotuba yao unaona dalili za upiga dili mtupu. Chadema hii hii eti leo inalilia mradi wa Bagamoyo ambao tumeshaelezwa ukakasisi wa uwekezaji wake. Sikia upuuzi wao wakitetea mradi huu:

“Tunapita kwenye kipindi kigumu cha utawala usioamini katika kazi zilizofanywa na Serikali zilizotangulia kwa mfano mchakato wa katiba mpya, uwekezaji kwenye sekta ya gesi, ujenzi wa bandari ya Bagamoyo?”

Hili la Katiba mpya nakuja nalo punde, ila la gesi na Bandari ya Bagamoyo vituamshe na kutuamsha, tumshukuru Mungu kwa nyimbo za zaburi, jamaa hawa wangeingia nchi ingeparaganyika, tungepigwa na leo wangekuwa washaiuza Bagamoyo!

Wanazungumzia eti gesi bomba halijaendelezwa, hawa ni watu naona wanawaza huko Ujerumani zaidi kuliko yanayoendelea Tanzania. Bomba la gesi ndilo linazalisha umeme wa Kinyerezi I (uliokamilika awamu ya nne) na Kinyerezi I-Extension na Kinyerezi II miradi iliyokamilishwa na Awamu ya Tano.

Sasa hivi gesi kutoka bomba hilo imeanza kusambazwa kwa matumizi ya majumbani katika mikoa mbalimbali ikiwemo Mtwara na Dar es Salaam.

Kwa hiyo kusema miradi ya awamu iliyopita (ambayo nayo waliitusi na kuibeza) kuwa imeacha ni kuwaza zaidi mambo ya Ujerumani kuliko kufuatilia yanayotokea nchini mwako!

*9. WANAUMIA SERIKALI KUTOA BEI NZURI YA KOROSHO!*

Hiki ni kutuko kingine katika Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani.

Katika hotuba yao upande mmoja wamejifanya kulilia masoko na bei kwa wakulima lakini hapa wanajichanganya kwa kulaani Serikali kuamua kuwapatia wananchi wazalishaii wa korosho soko la uhakika na zaidi bei nzuri.

Kwa sera ile ya kishoga ya Ujerumani, Chadema wangewaacha wananchi wapigwe na makangomba kwa kupewa bei ya hovyo ndio uholela na uhuru unaohubiriwa katika “social market economy” ili kuwaachia mabepari wawapige maskini.

Lakini pia hotuba yao inajichanganya kutoka aya moja hadi nyingine. Wakati wanapinga Serikali kuwalipa wananchi bei nzuri, aya zilizofuata Chadema wenyewe waliandika wakilalamika:

“Mheshimiwa Spika, Uchumi wa Viwanda kwa nchi hii utafikiwa tu, pale bei za mazao ya kilimo zitakapokuwa nzuri na hivyo kumfanya mkulima kuongeza uzalishaji kwa kutumia teknolojia bora na ya kisasa.”

Korosho ya Mtwara kila Mtanzania anajua, Serikali iliingilia kati suala ambalo soko huria wanalotetea Chadema lilishakuwa la kuwaumiza wananchi na sasa wananchi wamelipwa haki yao ya kupata bei nzuri na ndio lengo kuu la Serikali na limeshatimia.

Serikali iliyobaki na korosho hiyo itaamua lini na wapi pa kuuza. Kuna shida hapo?

*10. HAWA BADO, USHAMBA MWIIIINGI!*

Nitamalizia na vituko vitatu au vine vinavyoonesha hawa jamaa wanaishi tu kwa kiki hakuna chama cha kuongoza nchi katika upinzani huu wa Kijerumanijerumani.

Mosi, wanasema wao badala ya Serikali iliyotenga trilioni 10 kulipa deni la Taifa, wao wangetenga trilioni sita. Kituko.

Katika bajeti kiwango cha deni la Taifa kinazingatia mikataba ya madeni hayo, leo vipi ukurupuke tu haujaiona mikataba ya madeni na kujua gani kwa mwakani yameiva, haujajua riba husika unakurupuka tu kusema utaweka trilioni 6 eti cyingine utajadiliana. Vipi ukijadiliana ukashindwa na haujaweka kwenye bajeti! Ukilaza!

Pili, nimeona vipaumbele vyao mbadala!Nimecheka sana. Khaa! Huruma sana!

Katika vipaumbele vyao, tofauti na Ilani yao ya 2015-2020, maoni waliyoyaweka kwenye Hotuba Mbadala, Chadema hawajaoneshi popote kwenye vipaumbele vyao suala wanaloliimba sana kwa umma la Katiba mpya!Washasahau wanasimamia nini!

Kwa hiyo Katiba mpya wanaitumia tu kama kiki ya kisiasa majukwaani, wangekuwa Serikalini leo, isingekuwa kipaumbele chao! Safi sana wazee wa Ujeremani. Mnanifurahisha sana!

Tatu, wanajichanganya zaidi kwa kusema eti wao watamuenzi Nyerere kwa kuwekeza katika maendeleo ya watu na sio vitu. Hawa hawana itikadi wamwache Nyerere wa watu apumzike kwa amani.

Mwalimu Nyerere hakuwahi kudharau kimojawapo kama wao wanavyotaka kufasiri na kama angedharau maendeleo ya vitu asingechukua mkopo China kujenga Tazara na asijengeja miundombinu mingine.

Yapo mambo ya kukariri kama ya huko Ujerumani kwao waendelee nayo lakini sio kupotosha kauli za mwasisi wetu.

Mwalimu aliamini katika maendeleo ya watu na vitu na hata kama watu wanakuwa mbele lakini vitu ni muhimu kwao ili kunufaika. Ndicho inachofanya Serikali ya sasa.

Nne, unaweza kudhani Chadema wamejifunza lakini kumbe hawa ni sawa na kile kisa cha mjinga na mpumbavu mmojawapo hata umtwange kwenye kinu atatoka hajajifunza lolote-kwa nini?

Nimeshangaa hivi zama na nyakati hizi unaweza kuwa na Bajeti Mbadala inayopinga miradi muhimu kwa wananchi kama SGR na Stiglers! Huwezi amini, wasikie jamaa zako:

“Mheshimiwa Spika, Serikali ya awamu ya tano inatekeleza miradi ambayo sisi tunaona ipo kisiasa zaidi na hakuna mkakati wala mpango wa kibiashara ambao umewekwa wazi na Serikali hadi sasa.Naomba kutoa ufafanuzi na uchambuzi kwenye miradi mitatu yaani Mradi wa Reli ya Standard Gauge (SGR), Ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme- MW 2,100 maarufu kama Stieglers Gorge na Kufufua Shirika la Ndege (ATCL)”

Dah, kazi ipo, yaani miradi hii iliyoajiri maelfu na itakayowakomboa mamilioni zaidi “ni ya kisiasa zaidi?” Pale awali nilieleza malalamiko ya Chadema kuhusu watu kukosa umeme, mradi wa Stiglers hawaoni manufaa yake?

Leo wanapanda ndege kwenye majimboni mwao bado wanaona ndege hazina maana? Mtu anaponda reli ya SGR, haoni manufaa yake kiuchumi katika usafiri wa abiria na mizigo?

Hawaoni kweli au ndio wamenaswa huko Ujerumani na Kamanda Jens Spahn ambaye nasikia wakati wowote mwaka huu ataolewa huko Ujerumani (nikiamini Mbowe atahudhuria harusi hiyo)!

Hiki ndio chama mbadala kweli?Hizi ndio sera mbadala kweli? Na hii ndio bajeti mbadala kweli?

Tuache dhihaka, hizi ni akadabra tupu hakuna sera mbadala hapo.

Alamsiki.

Niite Mwamba, Mwamba, Mwamba wa Kaskazini.
Human rights
An economic liberal and openly gay Roman Catholic, Spahn has combined a platform of lower taxes and less red tape with support for same-sex marriage. In 2012, he and twelve other CDU/CSU MPs united in their call for defending tax-law equality for couples registered in a civil union. In a public vote in June 2012, he pushed for such legislation as well as to open marriage to same-sex partners, but the bill was denied by his own party and eventually defeated.[12] By 2013, Spahn and others considered signing on to a "group petition," in which they would publicly side with the opposition on expanding the rights of registered same-sex partnerships to include all the tax benefits given to married heterosexual couples.

During the European migrant crisis, Spahn emerged as a vocal critic of Chancellor Angela Merkel's refugee policy, arguing that their party had "perhaps put too much emphasis on the humanitarian approach".

1130434
 
Back
Top Bottom