Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,495
- 9,275
Leo June 13, 2019 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango atawasilisha na kuisoma bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2019/2020, bungeni jijini Dodoma.
Katika mwaka wa fedha ujao, serikali inatarajia kukusanya na kutumia TZS 33.1 trilioni.
Katika mwaka wa fedha ujao, serikali inatarajia kukusanya na kutumia TZS 33.1 trilioni.