1. Kwanini hii bajeti inajumuisha wizara zote za muungano na zisizo za muungano?
2. Bajeti inayoishia 2021/2022, trilioni 39 Zanzibar imechangia kiasi gani kwenye makusanyo?
3. Hii misaada na mikopo kuna formula ya mgao kati ya Tanzania bara na Zanzibar Ila sijaona formula ya kulipa mikopo hii inalipwaje?
4. Kwanini mishahara ya watumishi wa SMZ ni midogo kulinganisha na idara na taasisi za Muungano? Zanzibar itoe mishahara midogo kwa watumishi wake kisha ichangie watumishi wa Muungano walipwe hela nyingi hili swala linawezekana?
"Au ndio mzigo mzito mpe Mnyamwezi"
Kuna vitu vinahitaji ufafanuzi wa kina kwenye haya mambo.
2. Bajeti inayoishia 2021/2022, trilioni 39 Zanzibar imechangia kiasi gani kwenye makusanyo?
3. Hii misaada na mikopo kuna formula ya mgao kati ya Tanzania bara na Zanzibar Ila sijaona formula ya kulipa mikopo hii inalipwaje?
4. Kwanini mishahara ya watumishi wa SMZ ni midogo kulinganisha na idara na taasisi za Muungano? Zanzibar itoe mishahara midogo kwa watumishi wake kisha ichangie watumishi wa Muungano walipwe hela nyingi hili swala linawezekana?
"Au ndio mzigo mzito mpe Mnyamwezi"
Kuna vitu vinahitaji ufafanuzi wa kina kwenye haya mambo.