Jembe Ulaya
JF-Expert Member
- Oct 27, 2008
- 456
- 104
Hawako strategic. Wangeifanya milioni moja wangepata hela nyingi, watu wengi wangejitosa. Kuifanya milioni 5 watapa pesa kidogo sana kwa kuwa itakuwa unajilebo wewe fisadi.
hapo kwenye red kiwese chenyewe bado ukiwa kwenye foleni unazima gariGari yenyewe Corolla ya mil 7, na umejipinda pinda hadi ukanunua, registration ya mil 5 ya nini?
Kiwese chenyewe waweka shil 10 elf kila ukifika sheli, watanzania tuache matanuzi.
Hao wa kuweka namba maalum ni wale wa mashangingi ya milioni 200-500, kwao mil 5 ni vijisenti!
Muganyizi 1; Muganyizi 2; Muganyizi 3; Muganyizi 4; Muganyizi 5;.......
kaka nimeipenda hiyo katika maandishi mekundu, tena naongezea simba mtoto.Ha Ha Sie wenye Baiskeri tushayazoea hayo tena tunaandika bure kabisa km,Usimchezee chatu nk
Hizo siyo plate no.