Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Nataka ninunue Reginald Mengi , Yusuf Manji, Bakhressa, Dewji, nk nina invest kama 20,000,000 baadae watanitafuta...
But five mill, is too much, hiyo gari umeinunua kwa gharama gani? corola ya 7 mill na plate number ya 5mill?
Tunapokosea ni pale tunapodhani gari lenye miaka mingi ni chakavu! unaweza kukuta gari iiliyotengenezwa mwaka 1999 ina mileage lets say 86,000km na gari iliyotengezwa 2004 ina mileage 250,000km kati ya magari haya mawili lipi chakavu??hii sera ya gari chakavu ni ya kuangalia upya! halafu wenzetu mfano japan hawana haja ya ku damp magari mabovu kwetu maana huwa wana recycle na kuunda mengine au kutumia chuma chakavu kutengeneza vitu vingine!!
Ndani ya bajeti mpya, serikali imetangaza rasmi kuwa wamiliki magari wana nafasi ya kuchagua kati ya kuweka jina lake au namba ya gari. Ni mradi mpya hapa nchini unaotumika sana na nchi za ulaya wenye lengo la kuongeza pato la serikali. Mteja wa huduma hii atatakiwa kulipa milioni tano kila baada ya miaka mitatu. Ww unasemaje...changia hoja
baada ya dhiki faraja, chuma ulete, haya tumeyazoea sie wazee wa guta
But five mill, is too much, hiyo gari umeinunua kwa gharama gani? corola ya 7 mill na plate number ya 5mill?
5Mil ni ndogo sana. Hapa mjini magari yenye plate no binafsi yatakuwa mengi. Wabongo wanahela we acha tu. Serikali ibuni mbini zingine.
Dah hiyo safi, yangu itakuwa CCM no. CDM No.1