Hii ndiyo inaitwa "pre-emptive' strategy. Wabunge wa CCM wameshanusa mood ya wananchi na wanaona wabunge wa CCM wataikosoa, sasa wanaanza kusema 'niko tayari kwa lolote'. Huku ni kuchezea akili za watu ili waonekane nao wanajali. Tuliona mwaka jana Mh Beatrice Shellukindo na Jairo. CCM walijua CHADEMA wamepata barua ya michango ya Jairo haraka haraka wakatafuta nakala na kumkabidhi Beatrice Shellukindo!