Bajeti bomu yastukiwa!!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,728
2,256
Wafadhili na wabia wa maendeleo nchini wamehoji kutokuwepo umakini katika kutayarisha Bajeti ya mwaka wa fedha 2010/11.
Afisa mmoja wa ubalozi wa Norway MrSvein Baera, ameenda mbali zaidi na kudai,"poor budget preparations.....underminethe credibility of the budget as an effective policy and planning tool".(THE CITIZEN-7th Dec 2010)
Kwa lugha rahisi wafadhili hawa wanasema uswahili umezidi
Mfano waliotoa ni kuwa bajeti iliyosomwa na kupitishwa Bungeni ni tofauti kabisa na ile iliyopelekwa IMF.
Vilevile wanadai makadirio ya mapato kwa mwaka wa bajeti ni malubwa kulikp ukweli wenyewe.
Mbaya zaidi,wanadai,matumizi ya Serikali ni makubwa kuliko mapato hivyo kuingia katika deficit.

Mfano halisi,katika Bajeti TRA walipewa malengo ya kukusanya 2.9 Trilioni kwa miezi ya July/Sept,fedha iliyokusanywa ni 1.3Trl. Matumizi ndo usiseme,yanagonga 1.9Trl kipindi hicho hicho.
Mhe.Mkullo Vipi tena?
 
Uchakachuaji umo kwenye damu ya hawa viongozi. Sasa wanataka kuwafisadi hata wafadhiri wakidhani ni majuha kumbe wenzao wanasoma between the lines
 
Full Sanaa katika bandari ya salama then utasikia mtu anakwambia NIAMINI.....hakuna kuaminiana hapa ni Kukaa chonjo 24/7 koz kuanzia Serikali mpk wananchi ni USANII.....Utaona hakuna atakaechukuliwa Hatua......koz wote wanalijua chezo hilo...walitaka wahisani wachangae zaidi ili wapige cha juu.....
 
Mkullo kamwambia mwenyekiti wa wahisani....'hilo linazungumzika'
Serikali hii fulu magumashi....
 
Uchakachuaji umo kwenye damu ya hawa viongozi. Sasa wanataka kuwafisadi hata wafadhiri wakidhani ni majuha kumbe wenzao wanasoma between the lines
Unataka kuamini haka kamchezo kachafu ndo wamekacheza kwenye bajeti hii na kushtukiwa ? Oooh puhliiizzz...
 
Wafadhili na wabia wa maendeleo nchini wamehoji kutokuwepo umakini katika kutayarisha Bajeti ya mwaka wa fedha 2010/11.
Afisa mmoja wa ubalozi wa Norway MrSvein Baera, ameenda mbali zaidi na kudai,"poor budget preparations.....underminethe credibility of the budget as an effective policy and planning tool".(THE CITIZEN-7th Dec 2010)
Kwa lugha rahisi wafadhili hawa wanasema uswahili umezidi
Mfano waliotoa ni kuwa bajeti iliyosomwa na kupitishwa Bungeni ni tofauti kabisa na ile iliyopelekwa IMF.
Vilevile wanadai makadirio ya mapato kwa mwaka wa bajeti ni malubwa kulikp ukweli wenyewe.
Mbaya zaidi,wanadai,matumizi ya Serikali ni makubwa kuliko mapato hivyo kuingia katika deficit.

Mfano halisi,katika Bajeti TRA walipewa malengo ya kukusanya 2.9 Trilioni kwa miezi ya July/Sept,fedha iliyokusanywa ni 1.3Trl. Matumizi ndo usiseme,yanagonga 1.9Trl kipindi hicho hicho.
Mhe.Mkullo Vipi tena?

Mkuu Lole Gwakisa ni ukweli usiopingika kwamba sanaa hizi zitaendelea for the next five years, Watanzania walikuwa na chance pekee Oct30 and they did burn it. Na huyo mkulo naye vile vile ni sanaa tu. Anywayz tunaambiwa kwamba watanzania wengi ndiyo wanataka serikali ya namna hii!!!!!!!! Hebu imagine pamoja na upuuzi wote huu humsikii predidaa hata siku moja akisisitiza kubana matumizi ya serikali. Huyo PM wake badala ya kuzungumzia policies anaibuka na kukataa shangingi!! Inakatisha tamaa mpaka basi, kuna wakati unaweza kujikuta unakufuru kwamba enywayz hayanihusu!!!!!
 
Unataka kuamini haka kamchezo kachafu ndo wamekacheza kwenye bajeti hii na kushtukiwa ? Oooh puhliiizzz...

Hii ni aibu kubwa kwa serikali kuonesha ujanja ujanja wa kuwa na bajeti mbili moja iliyopitishwa na bunge na nyingine ya kuombea hela kwa wafadhili!! Sasa kama serikali yenyewe inaonesha mfano mbaya wa kuwa na bajeti mbili , wananchi walipakodi nao kwanini wasiwe na vitabu viwili vya risiti madukani mwao kama njia ya kukwepa kodi?
 
Natamani sana kujua walipeleka budget gani huko IMF na kwa wahisani. Halafu nifanye comparison na budget waliyopitisha bungeni. Ili nipate picha halisi ya nini walikuwa wanaficha kwa wahisani au kwa wabunge au kwa wananchi kwa ujumla.

Na ni nani aliandaa ile budget ilioenda kwa wahisani; Ni Mkulo pekeake au Baraza zima la mawaziri lilihusika?

It's so disgusting. No wonder nchi inakopa from commercial banks!
 
Ndio mchezo wao kila mwaka za mwizi arobaini na hii ndo 40 yao wameshikwa hao!AIBU.Wamechakachua bajeti ili wapate fedha iliyochakachua matokeo ya uchaguzi uliopita Nov 2010.
 
Mfano halisi,katika Bajeti TRA walipewa malengo ya kukusanya 2.9 Trilioni kwa miezi ya July/Sept,fedha iliyokusanywa ni 1.3Trl. Matumizi ndo usiseme,yanagonga 1.9Trl kipindi hicho hicho.
Mhe.Mkullo Vipi tena?

Nakubaliana na hoja. Hivi wanatumia kigezo gani kuwataka TRA wakusanye 2.9 trillion/mwezi na kwa kiwango gani wanawashirikisha TRA katika kufanya makadirio?? Kwa jinsi nijuavyo kwa muda mrefu sana, nadhani tangu July 2008, TRA hawajafikia lengo la makusanyo kwa kuangalia jumla ya kodi zote zinazokusanywa. Mtu anaweza kufikiria labda TRA hawafanyi kazi yao lakini huenda pia makadirio ni makubwa sana kulingana na hali halisi.
 
Hii ni aibu kubwa kwa serikali kuonesha ujanja ujanja wa kuwa na bajeti mbili moja iliyopitishwa na bunge na nyingine ya kuombea hela kwa wafadhili!! Sasa kama serikali yenyewe inaonesha mfano mbaya wa kuwa na bajeti mbili , wananchi walipakodi nao kwanini wasiwe na vitabu viwili vya risiti madukani mwao kama njia ya kukwepa kodi?

Umenena Mkuu Ndinani, inabidi Serikali iliangalie hili kwa makini, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo!
Hata hivyo serikali ijitahidi kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kuondokana na hali hii ya deficit.
 
Hii ni aibu kubwa kwa serikali kuonesha ujanja ujanja wa kuwa na bajeti mbili moja iliyopitishwa na bunge na nyingine ya kuombea hela kwa wafadhili!! Sasa kama serikali yenyewe inaonesha mfano mbaya wa kuwa na bajeti mbili , wananchi walipakodi nao kwanini wasiwe na vitabu viwili vya risiti madukani mwao kama njia ya kukwepa kodi?
Kiongozi ukifikiria sana unaweza kufanya mambo ya ajabu sana.
Binafsi nimechoshwa na mabo ya hii serikali. Acha watu waukane uraia wao!
 
Back
Top Bottom