Bajeti 2021/22: Wadau tunakataa kodi ya Majengo kulipwa kwa LUKU

wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?
  • Inawezekana waziri ana nyumba nyingi za kupangisha
  • Inawezekana wenyenyumba hulipa kodi hiyo baada ya kulipwa kodi na wapangaji
 
Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.

Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?

Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .

Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
Hii haipaswi kuitwa "KODI YA MAJENGO"...

Hiyo inatakiwa iitwe " KODI YA LUKU"

Kwa sababu siyo kila LUKU iko kwenye Jengo....

Kuna watu wameweka LUKU kwenye nyumba ya tembe au ya nyasi huku kijijini. Kumlipisha kodi ya JENGO mtu kama huyu si halali hata kidogo...

Watafute mfumo mwingine wa kukusanya kodi hii ili ilipwe na watu wenye uhalali wa kuilipa...!!!
 
Watanzania wengi ni mbumbubu wako mitandaoni wanajadili mambo yakijinga zikishapitishwa akili itasoge
 
Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.

Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?

Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .

Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
Mwigulu katokota sio kuchemka huko , watu walisema huyo kafoji kihiyo huyo sasa huu ndio uthibitisho .
 
Wabunge wenu wamekubali na imeshapitishwa sasa ni sheria. CCM ni mtetezi aa wanyonge kweli. Bia imetelemshwa bei na mabando ya simu juu. CCM hoyee!
Nadhani wabunge wataijadili lakini after all itapita tu kama zinavyopita hizo nyingine kama vile kikokotoo kipya, kwani as long wao hiwaathiri moja kwa moja they don't care
 
Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.

Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?

Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .

Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.

Mpangaji na mwenye nyumba ndio waangalie modality ya kulipana hiyo kodi ya jengo, ni njia sahihi kabisa kulipia kupitia LUKU. Sababu electronic payment method ndio njia za uhakika kabisa kulipia kodi, na kodi za nyumba zimekuwa hakuna njia yoyote ya kulipa, hii ya kulipa kwa kupitia LUKU ndio njia sahihi na itaondoa usumbufu wote
 
Kazi na iendelee ndio maana kasema anapendekeza sasa wale mabozo yetu mjengoni wasaidie kukosoa kwa data na kupinga kwa hoja kuleta mbadala....ndio kilichowapeleka sio kugonga meza tusubiri tuone j3 wataanza kujadili bajeti...
 
Mpangaji na mwenye nyumba ndio waangalie modality ya kulipana hiyo kodi ya jengo, ni njia sahihi kabisa kulipia kupitia LUKU. Sababu electronic payment method ndio njia za uhakika kabisa kulipia kodi, na kodi za nyumba zimekuwa hakuna njia yoyote ya kulipa, hii ya kulipa kwa kupitia LUKU ndio njia sahihi na itaondoa usumbufu wote
Mkuu vipi nyumba za vijijini sasa, inajulikana ardhi ya vijijini haijarasimishwa kuweza kulipiwa kodi, na sasa umeme wa REA umeshafika maeneo mengi ya vijijini ambapo nyumba za tembe na nyasi zimewekewa LUKU, kwa hiyo waziri anataka kutoza kodi ya jengo kwenye makazi duni ya watu maskini huko vijijini?
 
Mkuu vipi nyumba za vijijini sasa, inajulikana ardhi ya vijijini haijarasimishwa kuweza kulipiwa kodi, na sasa umeme wa REA umeshafika maeneo mengi ya vijijini ambapo nyumba za tembe na nyasi zimewekewa LUKU, kwa hiyo waziri anataka kutoza kodi ya jengo kwenye makazi duni ya watu maskini huko vijijini?
Wanyonge ?
 
Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.

Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?

Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .

Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
Ivi aliekuambia iyo Kodi wanalipa wapangaji Ni Nani? Kwani kwenye mkataba si inakatwa pesa ya jengo Tsh.10,000/=

Mazuzu mmebakia kupinga tu, ukute hapo bei ya saruji huijui
 
Kwanza alikuwa anazungumzia kodi gani?

Council Tax or Income tax (rent)? Hizo ndio kodi za nyumba. Kwetu tuna na kodi ya ardhi ambayo inakwenda wizara ya ardhi na sidhani kama kuna VAT kwenye rent Tanzania.

That’s the starting point kuelewa njia sahihi ya kuikusanya hiyo kodi, as yet kodi ya ardhi tunajua inalipwaje; hizo zingine vitendawili (rent and income tax) na tathmini zake ni tofauti.

But then kama waziri alikuwa analenga council Tax hiyo kodi inalipwa na wapangaji
hata ivyo ina monthly limitations; whereas ‘rent’ ni income tax inalipwa kama sehemu ya mapato ya mwenye nyumba na kuna namna ya kumfanyia mtu hesabu za income tax kujua kiasi cha kodi anachotakiwa kulipa.

Na matumizi ya council tax na income tax ni tofauti. Council Tax ni kodi za halmashauri lengo ni kwenye kuboresha miundombinu kwa mapato yao; na income tax (rent) ni kodi ya serikali kuu.

How civil servants ascends to become PS, ministers secretaries, policy advisor and so forth wizarani in Tanzania is beyond me.

Ukiona waziri anaropoka jua hana washauri.

Wanasoma tu malalamiko ya mitandaoni na agenda za ovyo za upinzani wasizoweza kizijubu kwa hoja and sometimes wanachukua kama ideas hata kama ni upuuzi mtupu (serious Mbowe darasa la saba anaweza ishauri serikali maswala ya kodi kweli?)

But then kuna swali la msingi hapa hivi hawa wanafunzi wa accounts wanafundishwa nini vyuoni kwenye maswala ya taxation nini surely this is their area; any accountant needs to be shrewd in finance accounting, management accounting, taxation and auditing.

How come they don’t spot these flaws in government policies; only Tanzania.
 
Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.

Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?

Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .

Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
Kodi nyingi hapa Tanzania siyo shirikishi
 
Kitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.

Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?

Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .

Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
Lakini wapangaji wakishaharibu nyumba mwenye nyumba uingia gharama kukarabati.
Me naunga mkono ikatwe kwenye luku sababu hata huyo mpangaji kuna siku atakuwa baba mwenye nyumba
 
Bajeti iko poa sana. Vitu vingi vimeshuka kodi au kusamehewa kabisa. Ilikuwa ngumu na gharama kubwa kukusanya kodi za majengo (TRA WANAJUA HILO) Mtu atoke sinza aende KINONDONI KULIPA ELFU KUMI AU 50000 KWA MWAKA? bora waingize huko ambapo hakutakuwa na ukwepaji wa hiyo KODI.
TUWE WAZALENDO, SISI KILA KITU TUNALALAMIKA KAMA WAPUMBAVU HIVI.
Sio sinza kijijini je unalipa bodaboda hadi wilayani ukalipe kodi
 
Lakini wapangaji wakishaharibu nyumba mwenye nyumba uingia gharama kukarabati.
Me naunga mkono ikatwe kwenye luku sababu hata huyo mpangaji kuna siku atakuwa baba mwenye nyumba
Ndio maana tunataka kujua ni kodi gani; kama ni income tax mwenye nyumba kabla ajailipa ana kitu kinaitwa allowable expenditures.

Sehemu ya mapato ya rent akitumia kutengeneza nyumba kwa sababu wapangaji wameharibu anasamehewa hayo matumizi. That is to say kama umepokea rent million 5 kwa mwaka umetumia millioni 2 kwenye kutengeneza nyumba kwa sababu wapangaji wameharibu you are only entitled to pay 3 million of rent on income tax.
 
Back
Top Bottom