Bajeti 2019/2020: Asilimia kubwa ya watu mitaani hawaonyeshi kuguswa; ni tofauti na miaka ya nyuma

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
Baadhi ya mitaa niliyopitapita jana na leo mijadala ya watu ni ya mambo tuu yao ya maisha.
Ukizingatia, bajeti Kuu ya Taifa,imesomwa jana, tulitaraji mazungumzo mengi ya watu, yalenge huko.
Hata magazeti ya leo,sijaona hamasa ya ununuzi kama miaka iliyopita.
Ni nini kimeisibu jamii hii?
Hata TV zinaendelea na programmes nyingine za kawaida; tulizoea jana na leo TVs zingerusha matukio ya watu wakitoa maoni ya matarajio kwa bajeti hii.
 
Acheni kujidanganya, ujinga n mzigo.
Baadhi ya mitaa niliyopitapita jana na leo mijadala ya watu ni ya mambo tuu yao ya maisha.
Ukizingatia, bajeti Kuu ya Taifa,imesomwa jana, tulitaraji mazungumzo mengi ya watu, yalenge huko.
Hata magazeti ya leo,sijaona hamasa ya ununuzi kama miaka iliyopita.
Ni nini kimeisibu jamii hii?
Hata TV zinaendelea na programmes nyingine za kawaida; tulizoea jana na leo TVs zingerusha matukio ya watu wakitoa maoni ya matarajio kwa bajeti hii.
 
Bajeti ziliishapoteza maana kitambo sana na siku hizi zinasomwa kama "Annual Government Routine" tu, hazina kabisa maana.

The government through these boring budgets tries to look into the way on how it can run its bloated and largely inefficient civil service. That's all.
 
Bajeti za awamu hii hazina impact kubwa kwenye maisha ya Mtanzania,,, nchi imeishapoteza mwelekeo kila kitu ni propaganda zisizokuwa na mantiki. Tumeacha kuzungumza kama wenye ku-focus mbele yetu kama Watanzania,,, muda mwingi tunafikiria kuendelea kubaki madarakani tu. Tujifunze kwa wenzetu jinsi ambavyo wanavyoendesha nchi zao kitalaamu na ki-weredi tuachane na blablaa
 
Baadhi ya mitaa niliyopitapita jana na leo mijadala ya watu ni ya mambo tuu yao ya maisha.
Ukizingatia, bajeti Kuu ya Taifa,imesomwa jana, tulitaraji mazungumzo mengi ya watu, yalenge huko.
Hata magazeti ya leo,sijaona hamasa ya ununuzi kama miaka iliyopita.
Ni nini kimeisibu jamii hii?
Hata TV zinaendelea na programmes nyingine za kawaida; tulizoea jana na leo TVs zingerusha matukio ya watu wakitoa maoni ya matarajio kwa bajeti hii.
Tamaa imekatwa
 
Kwa mara ya kwanza kwenye utu uzima wangu sikuifuatilia bajeti mwaka huu kabisa....nilishaikatia tamaa!
Je, usipoifuatilia na inakuhusu, nini suluhisho ? Hii ni kwa vile vinavyopangwa vitakuhusu moja kwa moja katika maisha yako ya kila siku.
 
Yaani Zaman ulikuwa unakuta watu wamejazana baa, vibarazani kwenye magari Yao, daladala, kila Mahali ukipita wanasikiliza budget ya serikali juzi Haku a niliyemuona anafanya hivyo hata kujua tu budget inasomwa hawajui. Watu wamegundua budget iliyosomwa ni formalities tu anayeikamia budget mpitishe, msome, muikubali ni mmoja tu anafanya anavyotaka. Akiamua kugawa pesa anagawa Akiamua kupandisha mishaara anasema yeye yaani Hakuna umuhimu WA bunge kwetu wala Kwake.
 
Yaani Zaman ulikuwa unakuta watu wamejazana baa, vibarazani kwenye magari Yao, daladala, kila Mahali ukipita wanasikiliza budget ya serikali juzi Haku a niliyemuona anafanya hivyo hata kujua tu budget inasomwa hawajui. Watu wamegundua budget iliyosomwa ni formalities tu anayeikamia budget mpitishe, msome, muikubali ni mmoja tu anafanya anavyotaka. Akiamua kugawa pesa anagawa Akiamua kupandisha mishaara anasema yeye yaani Hakuna umuhimu WA bunge kwetu wala Kwake.
Ila bajeti ya mwaka huu ni tofauti kabisa na bajeti nyingine zilizopita. Bajeti kujengewa hoja na mijadala kila kona inatokana na aina ya Bajeti yenyewe. Tumezoea kuuliza wamepandisha bei bidhaa gani na vinywaji n.k... Hayo ndio yanayozungumzwa sana.

Ndio maana saivi kila mahali ni habari za mawigi tu. Bajeti iko Vizuri sana hii. Jipe muda ipitie, hutakosa mengi mazuri ya kujadili.
 
Nani anataka hadithi za elfulelaulela ,ngonjera na maigizo yasiyo na kichwa wala ,watu wana akili zao japo hawasemi lakini wameshajua kuwa serikali ya awamu hii ni hamna kitu zaidi ya maigizo uchwara .
 
Hiyo miaka ya nyuma kama ww ulikua unaguswaje ukiwa mtaani..?!
Tuanzie hapo..
Swali zuri: kwanza nimeeleza vigezo nilivyotumia kwa utafiti mdogo wa hapa mtaani kwangu. Kuwa, kuna reactions a, b,c kwa watu zilizozoeleka.
Pili, kuhusu mimi nilikuwa naguswaje ni jambo binafsi na lisiloendana na mada yangu.
 
Ni kweli kabisa, hii budget haina unafuu

Bora wangepunguza kodi kwenye gesi ya kupika

Na kupunguza kodi kwenye Diesel ili malori yasafirishe vyakula...na mfumuko wa bei ya chakula upungue

Kwa nchi masikini kama Tanzania, budget inatakiwa kuchochea uzalishaji na uchumi ushirikishe watanzania wengi kwenye uzalishaji

Hii Budget imegusa wafanya biashara tu

A - KILIMO

Hata Rais ameita wafanyabiashara tu, Kilimo kiko mbali sana...

Yaani bado Tanzania ni taifa la wachuuzi tu, Mataifa mengine yazalishe, then Tanzania ni masoko.

Tutumie fursa ya Kilimo kwenye ardhi kubwa na yenye rutuba...

Suluhisho/mapendekezo:

China wanaagiza corn/maize kutoka Marekani ..Why...

Serikali isingojee Kenya ipate Deal/Dili halafu ndio wao washtuke...Tuwe proactive

Yaani kila kitu tunangoja Kenya wagundue, ndio sisi tugombanie....Mfano ni Maparachichi na waalimu wa Kiswahili..

Tuwafuate wachina, tuwaulize ni Aina ipi ya Mahindi (Corn/Maize) wanataka, then tusambaze mbegu wananchi walime

Pili: Alizeti, tutafute masoko DRC congo, Zambia, Dubai, Oman etc (Sunflower)

B - Tourism

Yaani kwa vivutio vya utalii vilivyo Tanzania, hakuna nchi katika Africa itafika..

Vivutio vingi sana vipo dormant, havitatembelewa na kutangazwa... Hata Serengeti yenyewe bado haijapata watalii wa kutosha (according to carrying capacity).

Ni Aibu kufurahia ongezeko kdg la kufikia 1.5 million... Sasa tumewapita hata hao Kenya kwa kiasi gani?

Wakenya hawana vivutio hata robo ya Tanzania, sasa Kwa nini Kenya wawe na 1.3 million Tourists?

Serikali inatoza Tourism development levy, mabillion, lakini TTB haina budget.. Why...

Pesa za Tourism Development Levy malengo yake ni Kutangaza utalii. Kila mwaka TTB wana under budget. Tanzania tunapaswa kuwa na atleast 5 millions Tourists

Utalii ni soko kubwa la bidhaa za kilimo

Utalii ni ajira kubwa sana

Ni Foreign currency

Ni Direct income kwa wauzaji wa vinyago.

NB: Mods naomba muache hii thread, maana ni analytical kwa faida ya nchi.
 
Back
Top Bottom