Baiskeli Afrika...usafiri wa kudumu.

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Jan 30, 2008
14,631
4,225
From Rwanda with love....:D

_46794617_dscf2163.jpg
 
From Rwanda with love....:D

_46794617_dscf2163.jpg
...Duh! Kule nyanda za juu kusini hasa kule kibena, mdandu, Ramazani wanaita Kibagadu na wale ndugu zangu wa magharibi kule sehemu za nyakitonto, rulenge, mubinyange huwa wanaita Ngologojo!!! Jamaa hatakiwi kukaa ni kuwa anaweka kamzigo kama vile kiroba cha mahindi au mkungu wa ndizi then anakokota sehemu yenye mlima akifika kwenye mteremko ndio hapo anaburudika!!!! KIla kitu na wakati wake jamani...
 
Back
Top Bottom