Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
From Rwanda with love....
hizi zinaitwa BAGADU!From Rwanda with love....
Atakaa wapi? hapo aliposhika na mkono wa kulia?
hizi zinaitwa BAGADU!
baiskeli za miti
BAGADU ni kibena/kihehe!Shukran kwa jina. Ni la kibongo au ki-Rwanda?
Duh!!!...Nguli banaeee..afu nd'o iweje?
...Duh! Kule nyanda za juu kusini hasa kule kibena, mdandu, Ramazani wanaita Kibagadu na wale ndugu zangu wa magharibi kule sehemu za nyakitonto, rulenge, mubinyange huwa wanaita Ngologojo!!! Jamaa hatakiwi kukaa ni kuwa anaweka kamzigo kama vile kiroba cha mahindi au mkungu wa ndizi then anakokota sehemu yenye mlima akifika kwenye mteremko ndio hapo anaburudika!!!! KIla kitu na wakati wake jamani...From Rwanda with love....